mangonifera indica
JF-Expert Member
- Dec 2, 2017
- 845
- 1,472
Hahahaaaaaa, ndio defence mechanism yaoWatu hamkosi maneno!! hv unafanyaje mpaka ukae nyuma ya mkyundu wa huyo mnyama akujambie
Hahahaaaaaa, ndio defence mechanism yaoWatu hamkosi maneno!! hv unafanyaje mpaka ukae nyuma ya mkyundu wa huyo mnyama akujambie
Kindi/kuchakuroKwa kiswahili wanaitwaje ?
Wafahamu SQUIRRELS, wanyama wadogo ambao Dume ndio hulazimishwa na jike kipindi cha Mating.
Hawa ni wanyama wadogo wanaopatikana sehemu zote hapa duniani, ila hapa Tanzania sijui wanaitwaje (tusaidiane hapo hata kwa kilugha
).[emoji23]
Ni wanyama wanaoishi katika makundi madogo yaani dume, jike na mtoto, Mara nyingi wanaoishi ardhini huchimba mashimo mfumo wa tanuli na kuishi humo. (huku hamna kuishi na wajomba wala shangazi kama kina nguchiro ).
Na wale waishio juu ya miti pia hutengezeza viota juu ya miti na kuhakikisha hakuna predator anayekuja kuwaharibia makazi yao, Squirrels ni Omnivores yaani wanakula chochote kama binadamu, majani pamoja na nyama.
wanaweza kumwangusha mpaka nyoka kama akikaa vibaya, hula sana mizizi na mbegu mbegu na pia hula minyoo ya chini ya ardhi.
Hawa ni kama sungura wana speed kali ya kula na wanatabia ya kuhifadhi chakula kwa vipindi vya njaa.
Squirrels ni CREPUSCULAR hii inamaanisha ni wanyama ambao wako active wakati wa asubuhi na jioni tu, Hivyo wakati wa mchana na usiku hukaa kwenye nyumba zao na kupanga maisha.[emoji23]
Wanatabia ya kuota jua ili kuwasaidia katika kuchangamsha damu.
Wakati wa uzao hakuna mashindano, maana wanakuwa tayari wameshajuana tangu ujanani,
Ila mara nyingi tatizo hutokea pale ambapo dume hajui kama bebi yupo tayari kwa uzao au laa..(yaani dume yupo yupo tu haelewi kitu kama wale wa Kinondoni)[emoji23]
Hali hiyo humlazimu jike kujiongeza kwa kumpeti peti, na baada ya mating jike hushika mimba kwa siku 30-66 na huzaa watoto 2-8 ambao huitwa KITS.Kwa wastani wanaishi miaka 6-20.
View attachment 1167636
Wanaitwa Nguchiro. Usukumani wapo wengi sana. Pia niliwahi kuwaona Longido, ArushaWafahamu SQUIRRELS, wanyama wadogo ambao Dume ndio hulazimishwa na jike kipindi cha Mating.
Hawa ni wanyama wadogo wanaopatikana sehemu zote hapa duniani, ila hapa Tanzania sijui wanaitwaje (tusaidiane hapo hata kwa kilugha
).[emoji23]
Ni wanyama wanaoishi katika makundi madogo yaani dume, jike na mtoto, Mara nyingi wanaoishi ardhini huchimba mashimo mfumo wa tanuli na kuishi humo. (huku hamna kuishi na wajomba wala shangazi kama kina nguchiro ).
Na wale waishio juu ya miti pia hutengezeza viota juu ya miti na kuhakikisha hakuna predator anayekuja kuwaharibia makazi yao, Squirrels ni Omnivores yaani wanakula chochote kama binadamu, majani pamoja na nyama.
wanaweza kumwangusha mpaka nyoka kama akikaa vibaya, hula sana mizizi na mbegu mbegu na pia hula minyoo ya chini ya ardhi.
Hawa ni kama sungura wana speed kali ya kula na wanatabia ya kuhifadhi chakula kwa vipindi vya njaa.
Squirrels ni CREPUSCULAR hii inamaanisha ni wanyama ambao wako active wakati wa asubuhi na jioni tu, Hivyo wakati wa mchana na usiku hukaa kwenye nyumba zao na kupanga maisha.[emoji23]
Wanatabia ya kuota jua ili kuwasaidia katika kuchangamsha damu.
Wakati wa uzao hakuna mashindano, maana wanakuwa tayari wameshajuana tangu ujanani,
Ila mara nyingi tatizo hutokea pale ambapo dume hajui kama bebi yupo tayari kwa uzao au laa..(yaani dume yupo yupo tu haelewi kitu kama wale wa Kinondoni)[emoji23]
Hali hiyo humlazimu jike kujiongeza kwa kumpeti peti, na baada ya mating jike hushika mimba kwa siku 30-66 na huzaa watoto 2-8 ambao huitwa KITS.Kwa wastani wanaishi miaka 6-20.
View attachment 1167636
Kimila Nzoka (kimeza nyoka) ni ndege siyo mnyama. Hawa wanaitwa NguchiroKimela nzoka
Haijapishana sana na kiswahili fasaha, ambalo ni chindiKilugha sisi tunawaita "vilochindi"
Hujafananisha na Skunk mkuuAkikujambia huyo squirrel utachoka
my bad!! it's skunks not squirrel aisee shukranHujafananisha na Skunk mkuu
TAke some Big and Some Pac and U miix them up in a pot,"I caught cases I copped out does that make me a quitter?
In this white man's world I'm similar to a squirrel
Lookin for a slut with a nice butt to get a nut."
Ahahaaaa.....! Wa kinondoni wamekuja juuu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]Fafanua hii kauli yako... wa Kinondoni ndo kina nani..
Hahahahaa Umetisha.TAke some Big and Some Pac and U miix them up in a pot,
Sprinkle a little big L on Top,and wat the **** d u got?
KichecheKwa kiswahili wanaitwaje ?
Nimewaona nchi za nordic ila Tanzania sijawahi kuwaona
Usije ukawafananisha na kombaUnaweza kuwaona kwenye nguzo za umeme na minazi
Sio kicheche, kicheche hana tabia ya kupanda juu ya mitiKicheche
KalambaytuKwa kiswahili wanaitwaje ?