Unamfahamu DCI Manumba wewe?

Unamfahamu DCI Manumba wewe?

rosemarie

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2011
Posts
6,887
Reaction score
3,439
Huyu jamaa ni mtenda kazi shupavu kabisa
kwa taarifa tulizo ni kwamba amejiingiza kwenye 18 za watu,,kwi kwi kwi,,,,,,,,,,,,,,,,,,
hapa tunasubiri dakika tu,,ndio tujue Mwenyenzi Mungu Muumba wa Mbingu na Dunia siyo ASUMANI!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mpe pole na Familia yake.................Ina maana wamemnaniiiiiiiiiiiiiiiiiiii..................teheeee tehee tehee: Si wanasemaga maaskali hawa.......................tehe tehee..........??? na yule Kamuandaeeeeeeee vipi? Yule si ndio alishuhudia mwanahabari akilipuliwa mbele yake?
 
Huyu jamaa ni mtenda kazi shupavu kabisa
kwa taarifa tulizo ni kwamba amejiingiza kwenye 18 za watu,,kwi kwi kwi,,,,,,,,,,,,,,,,,,
hapa tunasubiri dakika tu,,ndio tujue Mwenye Mungu Muumba wa Mbingu na Dunia siyo ASUMANI!!!!!!!!!!!!!!!!

Niwe mkweli tu nitafurahia sana aki.... maana alikuwa anafurahia na kupotosha watu katika sakata la kupigwa sumu Mwakyembe
 
Mungu ni mwema na atapona haraka sana ili aendelee na kazi. hamna cha uchawi ila ni malaria tu. kwani nani hajawahi ugua?
 
Nimeshtuka sana niliposkia eti ana malaria jumla ya vijududu 500 yaani ana malaria 500!!!!!!!!!!!!!!!!! Sijawahi kuskia kitu kama hii bhana
 
Huyu jamaa ni mtenda kazi shupavu kabisa
kwa taarifa tulizo ni kwamba amejiingiza kwenye 18 za watu,,kwi kwi kwi,,,,,,,,,,,,,,,,,,
hapa tunasubiri dakika tu,,ndio tujue Mwenyenzi Mungu Muumba wa Mbingu na Dunia siyo ASUMANI!!!!!!!!!!!!!!!!

stupidiest post/thread of the past 24 months

unachekelea roho za watu kwa mtaji wa kipumbavu??

remember law ya KARMA!!!!
 
Huyu jamaa ni mtenda kazi shupavu kabisa
kwa taarifa tulizo ni kwamba amejiingiza kwenye 18 za watu,,kwi kwi kwi,,,,,,,,,,,,,,,,,,
hapa tunasubiri dakika tu,,ndio tujue Mwenyenzi Mungu Muumba wa Mbingu na Dunia siyo ASUMANI!!!!!!!!!!!!!!!!

Ingawa unapaswa kumwombea adui yako aishi siku nyingi ili aone unavyofanukiwa, lakini hawa viongozi wa PT nisingependa waone ninavyofanikiwa.
 
Duh! Kwakweli taifa lilipo fikia ni pabaya sana, yani mpaka tuna ombeana kufa? Duh! Hiikali, hebu pata pc angekua ni babaako hata kama angekua muuaji kiasi gani usinge furahi na post hii. Tuache maskhara kwenye mambo ya kweli
 
Kama kaingia kumi na nane za watu acha ale jeuri yake....ila nasikiaga eti askari huwa ni "wazito sana"
 
Mungu ni mwema na atapona haraka sana ili aendelee na kazi. hamna cha uchawi ila ni malaria tu. kwani nani hajawahi ugua?

hivi hawa wakubwa maleria ndo inawaonea sana au?maana sie walala hoi tukigonga ALU TUNAENDELEA NA MAISHA ILA WAO MMMMH
 
wewe uliyeandika ndiyo utamfahamu DCI Manumba atakapopona, subiri tu. siyo vizuri kabisa kumuombea mwenzio kifo.

Wako wengi wa namna yake. Kifo kiwapate wao ASAP!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom