OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,128
- 24,065
Cheki hii takataka inaropoka ropoka tu bila kutumia akili.Hivi hayo mauchafu mnauziaga wapumbavu gani
Cheki hii takataka inaropoka ropoka tu bila kutumia akili.Hivi hayo mauchafu mnauziaga wapumbavu gani
za juu peke ama za juu pia???
Hizo s dreadlocks aseee, n wamesuka mavitu kichwani.salute comrades ,
kama mada tajwa hapo juu baadhi ya watu wamekuwa na mitazamo tofauti juuView attachment 2049403
ya watu walio na dread kichwani au marasta kwa lugha nyingine…vijana wengi now days wameifanya hali hii kama lifestyle. kwa mtizamo wako aina hii ya hairstyle unaichukulia vp hasa ukionana ama kukutana na mtu wa aina hii????View attachment 2049404
koment yako nmeipenda 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Picha uliyoweka ina wanaume wenye heleni pia hujaona?
Yani ni sawa uje na hoja uulize "ni sahihi mtu kujikojolea" halafu uka ambatanisha na picha ya mtu ambaye kajikojolea na kajinyea pia, halafu ukawa unataka watu wajikite kuujadili mkojo
Hapo watu lazima wapate mashaka ina maana kwako swala la mtu kujinyea unalichukulia fresh tu?
Kwa hiyo hapo ndio umejibu swali/cintent ya mtoa mada?!Mimi Nina dread ndefu Sana mkuu. Nimekata na kuuzia wengine maana ni nene halafu zinakuwa fasta.
Punguza ubishi..Kuna mfano niliuweka hapo mwanzo naomba niutumie na hapa
Mleta mada angeanzisha mada yenye kichwa cha habari kinachosema "unamchukuliaje mtu aliyejikojelea mikojo"
Mpaka hapa hii habari inakua kwenye category ya "ustaarabu"
Halafu kunogesha habari, mtoa mada akaambatanisha na picha ambayo inaonesha mtu kajikojolea lakini pia kajinyea
Moja ya wadau akahoji kwanini mtu huyo amejinyea na hauja sema chochote kuhusu kitendo hicho je ina maana kwako wewe mtu akijinyea sio big issue?
Bila shaka swali litakua ni valid kwasababu lipo katika category moja kuzungumzia "ustaarabu"
Nikija sasa kwenye hoja kuu ya mdau, kwenye ishu ya dread na kwa namna alivyo li-represent ni kama anawaona watu wa namna hiyo ni watu wa ajabu "kimaadili"
Lakini hapo hapo kupitia picha yake, kimaadili imekaaje kwa mwanaume kuvaa heleni?
Kwasababu ishu ya dread unaweza kuitetea kwa hoja nzuri ambazo zikakubalika kimaadili. Tuna watu mitaani wanaimani ya kirastafarian hawa katika dini yao ni lazima kufuga nywele
Unapotaka kumtetea mwanaume anayevaa heleni utatumia hoja gani ambayo itakua supported na kimaadili?
Staki kuamini kama nawewe unaamini rasta sio maadili ila kuvaa heleni ndio maadiliPunguza ubishi..
Kiufupi umezingua..habari za hereni anzisha uzi.
Unaleta utoto
Si ndo akina mods hao!
Bob Marley angekuwa hai angekufa kwa sonona kwa namna dreads zinazovyotumiwa vibaya na vijana wa sasa.