cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,815
- 137,538
Tatizo sio dreads tatizo ni hizo helen ambazo wewe kwa upande wako umeona ni kawaida mwanaume kuvaa
Tatizo sio dreads tatizo ni hizo helen ambazo wewe kwa upande wako umeona ni kawaida mwanaume kuvaa
Saloon wanajaa hawa, ukienda unasubiri foleni. Wanajua mpaka nywele za kuongeza. Kuna expression, Afro Kinky, human hair nk
Kuchana nywele ni another underrated talent kwa kweli, japo mie sifagilii dreads zile kama kichaa.
Kwani mwanaume kuvaa hereni, ki maadili ikoje?Kuna mfano niliuweka hapo mwanzo naomba niutumie na hapa
Mleta mada angeanzisha mada yenye kichwa cha habari kinachosema "unamchukuliaje mtu aliyejikojelea mikojo"
Mpaka hapa hii habari inakua kwenye category ya "ustaarabu"
Halafu kunogesha habari, mtoa mada akaambatanisha na picha ambayo inaonesha mtu kajikojolea lakini pia kajinyea
Moja ya wadau akahoji kwanini mtu huyo amejinyea na hauja sema chochote kuhusu kitendo hicho je ina maana kwako wewe mtu akijinyea sio big issue?
Bila shaka swali litakua ni valid kwasababu lipo katika category moja kuzungumzia "ustaarabu"
Nikija sasa kwenye hoja kuu ya mdau, kwenye ishu ya dread na kwa namna alivyo li-represent ni kama anawaona watu wa namna hiyo ni watu wa ajabu "kimaadili"
Lakini hapo hapo kupitia picha yake, kimaadili imekaaje kwa mwanaume kuvaa heleni?
Kwasababu ishu ya dread unaweza kuitetea kwa hoja nzuri ambazo zikakubalika kimaadili. Tuna watu mitaani wanaimani ya kirastafarian hawa katika dini yao ni lazima kufuga nywele
Unapotaka kumtetea mwanaume anayevaa heleni utatumia hoja gani ambayo itakua supported na kimaadili?
Unamchukuliaje mwenye dread kama muhuni wakati waliopo magereza wana vipara?
Hao wanaoshinda kanisani ambao mnawaona wanaheshima ndy wapuuzi huku mtaani.
Huwezi muexplain mtu kisa hairstyles ifikie mahali hii kasumbaa muiache kama ulivoacha kusikiliza msondo ngoma sahivi mnamsikiliza Bieber na lil pump (mzee wa fvnckg fvnckng).
Sasa ukute hizo dread ni chafuu yan zimekua nyekundu alaf ndio bodaboda huyo,, kavaa kinjunga cha jinsi ukikisimamisha kinasimam aseee boda yake ina mlio kam chopper mbov alf anaendesha amekaa tako moja speed 120,,,
hicho ni kiwango kikubwa sana cha uhuni na kuporomoka kwa maadili.
Siku hizi vijana wanataka kuwa kama mabinti ndio maana wanaweka dred wanatoboa maskio
Huko mtaani maskani akija kijana kasuka dred mtimueni akikataa kuondoka mtieni kidole
Kimaadili haileti picha nzuri labda kama upo katika zone ya kimasaiKwani mwanaume kuvaa hereni, ki maadili ikoje?
Wamepata fame kizembe Sana ani kizazi cha kina 69 upuuzi mtupu .1. Kwanini umeweka picha za hao island boys? Hizo zao si hata locs, in madude tu kichwani.
2. Watu Wenye locs tuna tabia tofauti tofauti. Wahuni wastaarabu, wote wamo.
Nywele hazitupi uniformity yoyote kitabia.
Khaaaah ko masai wa kiume ni halali kuvaa hereni? Ila wa zone nyingne ni tatizo?Kimaadili haileti picha nzuri labda kama upo katika zone ya kimasai
mama ako na baba akoHivi hayo mauchafu mnauziaga wapumbavu gani
sijajibu swali.Kwa hiyo hapo ndio umejibu swali/cintent ya mtoa mada?!
kwa hiyo akija mtoto wako tumtie kidole pia?Siku hizi vijana wanataka kuwa kama mabinti ndio maana wanaweka dred wanatoboa maskio
Huko mtaani maskani akija kijana kasuka dred mtimueni akikataa kuondoka mtieni kidole
Ndio .. kama atakuwa kafanya hivyokwa hiyo akija mtoto wako tumtie kidole pia?
Wazazi wangu hawanunuagi matakataka na wala hawana muda wa kuongea na muuza takatakamama ako na baba ako