unamchukuliaje mtu mwenye dread kichwani…?!!

Kuna mfano niliuweka hapo mwanzo naomba niutumie na hapa

Mleta mada angeanzisha mada yenye kichwa cha habari kinachosema "unamchukuliaje mtu aliyejikojelea mikojo"

Mpaka hapa hii habari inakua kwenye category ya "ustaarabu"

Halafu kunogesha habari, mtoa mada akaambatanisha na picha ambayo inaonesha mtu kajikojolea lakini pia kajinyea

Moja ya wadau akahoji kwanini mtu huyo amejinyea na hauja sema chochote kuhusu kitendo hicho je ina maana kwako wewe mtu akijinyea sio big issue?

Bila shaka swali litakua ni valid kwasababu lipo katika category moja kuzungumzia "ustaarabu"

Nikija sasa kwenye hoja kuu ya mdau, kwenye ishu ya dread na kwa namna alivyo li-represent ni kama anawaona watu wa namna hiyo ni watu wa ajabu "kimaadili"

Lakini hapo hapo kupitia picha yake, kimaadili imekaaje kwa mwanaume kuvaa heleni?

Kwasababu ishu ya dread unaweza kuitetea kwa hoja nzuri ambazo zikakubalika kimaadili. Tuna watu mitaani wanaimani ya kirastafarian hawa katika dini yao ni lazima kufuga nywele

Unapotaka kumtetea mwanaume anayevaa heleni utatumia hoja gani ambayo itakua supported na kimaadili?
Kwani mwanaume kuvaa hereni, ki maadili ikoje?
 
Unamchukuliaje mwenye dread kama muhuni wakati waliopo magereza wana vipara?

Hao wanaoshinda kanisani ambao mnawaona wanaheshima ndy wapuuzi huku mtaani.

Huwezi muexplain mtu kisa hairstyles ifikie mahali hii kasumbaa muiache kama ulivoacha kusikiliza msondo ngoma sahivi mnamsikiliza Bieber na lil pump (mzee wa fvnckg fvnckng).
 
Sasa ukute hizo dread ni chafuu yan zimekua nyekundu alaf ndio bodaboda huyo,, kavaa kinjunga cha jinsi ukikisimamisha kinasimam aseee boda yake ina mlio kam chopper mbov alf anaendesha amekaa tako moja speed 120,,,

hicho ni kiwango kikubwa sana cha uhuni na kuporomoka kwa maadili.
 
1. Kwanini umeweka picha za hao island boys? Hizo zao si hata locs, in madude tu kichwani.

2. Watu Wenye locs tuna tabia tofauti tofauti. Wahuni wastaarabu, wote wamo.
Nywele hazitupi uniformity yoyote kitabia.
Wamepata fame kizembe Sana ani kizazi cha kina 69 upuuzi mtupu .
 
Ilivyozoeleka kijamii ni uhuni /Tania Mbaya ila Mimi siishi kimazoea.
Ninao Wana mabrothers Wana dreads ila ni wastaarabu na Wana heshima mno.
Uhuni upo rohoni siyo nje.

Ila hai island boys watoe
 
Kimaadili haileti picha nzuri labda kama upo katika zone ya kimasai
Khaaaah ko masai wa kiume ni halali kuvaa hereni? Ila wa zone nyingne ni tatizo?
Kupatwa kwa maadili woiiiiiiih
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom