unamchamba nan mkuuWanadamu wachokozi, wazandiki na makuhani tena wanahiyana....unakifua gani cha kuhoji unywaji wangu,kisa wewe hunywi.
Majukumu yangu yooote huyaoni bia mbili tatu kesi
Hii comment inafaa kuwa laminatedMwaya kunywaaa etii
Anywe kabisa aachane nao hao wapuuziHii comment inafaa kuwa laminated
Maisha yenyewe mafupiAnywe kabisa aachane nao hao wapuuzi
Ukweli mchunguUnamchamba nani?
Ushauri tu kulipa ada ya mamilion sio ujanja kama hao unawaolipia ada uwaandalii pia assets za urithi wao. Elimu peke yake haitoshi zama hizi. Ada kubwa bila mali binafsi za familia ni ujinga
Kina mo wamelipiwa ada milioni 50 shule ya IST na asset pia wakawa wanaandaliwa. Mohamed enterprises waliandaliwa pia
Sio umlipie mtu mamilioni halafu aje zungusha bahasha huku hata nyumba ya urithi hana
Unamchamba nani?
Ushauri tu kulipa ada ya mamilion sio ujanja kama hao unawaolipia ada uwaandalii pia assets za urithi wao. Elimu peke yake haitoshi zama hizi. Ada kubwa bila mali binafsi za familia ni ujinga
Kina mo wamelipiwa ada milioni 50 shule ya IST na asset pia wakawa wanaandaliwa. Mohamed enterprises waliandaliwa pia
Sio umlipie mtu mamilioni halafu aje zungusha bahasha huku hata nyumba ya urithi hana
Unawaza urithi, ni hasara kwa wazazi wako.
Mimi nawaza kuwaachia wanangu urithi.. sio kuachiwa urithi..
Unajuaje ikiwa wanao watawaza kuachiwa au laah!
Unajuaje ikiwa wanao watawaza kuachiwa au laah!