Powell Gonzalez
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 1,662
- 3,017
- Thread starter
- #41
Noma kweli
Kuna tabia za kuzoea hela, hasa ukiwa unazishika mara kwa mara. Sema jamaa ni fala. Kuna kupata ajali, watu wakafaidika na mpunga wako.Jamaa karudi na milioni 80 nyumbani, kiunoni ana bastola lakini kakuta majambazi wameshafika kwake tena wapo chumbani na mkewe wameshamfunga kamba na plasta mdomoni. Jamaa kaingia na begi lake kapigwa kisu cha Moyo kafa Jamaa wakachukua pesa wakasepa.
Polisi kufika na taratibu zao, walipoanza kusearch wanakuta pesa zingine zipo kwenye ndoo ya maji zimejaa, zingine zipo juu ya dari zingine kwenye begi, eti hadi kwenye kabati la nguo. Ina maana huyu Jamaa anabifu na bank au haziamini?
Kiukweli mimi hata laki mbili sikai nayo cash achilia mbali millions.
TUBADILIKE!
Kwenye movie si ndioDar es Salaam, ubungo.
Nchi gani tukio limetokea?Jamaa karudi na milioni 80 nyumbani, kiunoni ana bastola lakini kakuta majambazi wameshafika kwake tena wapo chumbani na mkewe wameshamfunga kamba na plasta mdomoni. Jamaa kaingia na begi lake kapigwa kisu cha Moyo kafa Jamaa wakachukua pesa wakasepa.
Polisi kufika na taratibu zao, walipoanza kusearch wanakuta pesa zingine zipo kwenye ndoo ya maji zimejaa, zingine zipo juu ya dari zingine kwenye begi, eti hadi kwenye kabati la nguo. Ina maana huyu Jamaa anabifu na bank au haziamini?
Kiukweli mimi hata laki mbili sikai nayo cash achilia mbali millions.
TUBADILIKE!
Huyo mke wake akihojiwa vizuri, anaweza kutoa mwanga mzuri wa namna tukio lilivyo andaliwa.Dar es Salaam, ubungo.
Exactly, ila hili tukio lilishafanyika na hiyo ilikuwa report ya polisi kwa familiaHuyo mke wake akihojiwa vizuri, anaweza kutoa mwanga mzuri wa namna tukio lilivyo andaliwa.