Unalalaje na zaidi ya milioni 100 ndani?

Unalalaje na zaidi ya milioni 100 ndani?

Powell Gonzalez

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2023
Posts
1,631
Reaction score
2,954
Jamaa karudi na milioni 80 nyumbani, kiunoni ana bastola lakini kakuta majambazi wameshafika kwake tena wapo chumbani na mkewe wameshamfunga kamba na plasta mdomoni. Jamaa kaingia na begi lake kapigwa kisu cha Moyo kafa Jamaa wakachukua pesa wakasepa.
Polisi kufika na taratibu zao, walipoanza kusearch wanakuta pesa zingine zipo kwenye ndoo ya maji zimejaa, zingine zipo juu ya dari zingine kwenye begi, eti hadi kwenye kabati la nguo. Ina maana huyu Jamaa anabifu na bank au haziamini?
Kiukweli mimi hata laki mbili sikai nayo cash achilia mbali millions.
TUBADILIKE!
 
Jamaa karudi na milioni 80 nyumbani, kiunoni ana bastola lakini kakuta majambazi wameshafika kwake tena wapo chumbani na mkewe wameshamfunga kamba na plasta mdomoni. Jamaa kaingia na begi lake kapigwa kisu cha Moyo kafa Jamaa wakachukua pesa wakasepa.
Polisi kufika na taratibu zao, walipoanza kusearch wanakuta pesa zingine zipo kwenye ndoo ya maji zimejaa, zingine zipo juu ya dari zingine kwenye begi, eti hadi kwenye kabati la nguo. Ina maana huyu Jamaa anabifu na bank au haziamini?
Kiukweli mimi hata laki mbili sikai nayo cash achilia mbali millions.
TUBADILIKE!
Pesa za manyoka
 
Jamaa karudi na milioni 80 nyumbani, kiunoni ana bastola lakini kakuta majambazi wameshafika kwake tena wapo chumbani na mkewe wameshamfunga kamba na plasta mdomoni. Jamaa kaingia na begi lake kapigwa kisu cha Moyo kafa Jamaa wakachukua pesa wakasepa.
Polisi kufika na taratibu zao, walipoanza kusearch wanakuta pesa zingine zipo kwenye ndoo ya maji zimejaa, zingine zipo juu ya dari zingine kwenye begi, eti hadi kwenye kabati la nguo. Ina maana huyu Jamaa anabifu na bank au haziamini?
Kiukweli mimi hata laki mbili sikai nayo cash achilia mbali millions.
TUBADILIKE!
Tz au?
 
Kwa kunyoosha maelezo ni mpumbavu!
Huenda alietoa Kodi kwa majambazi ni mke wake au rafiki yake wa karibu.

Unless mtu awe na maximum level ya security nyumbani kwa ndo aweke icho kiasi cha muokoto. vinginevyo ni kuiweka familia kwenye risk inayoepukika
 
Kwa kunyoosha maelezo ni mpumbavu!
Huenda alietoa Kodi kwa majambazi ni mke wake au rafiki yake wa karibu.

Unless mtu awe na maximum level ya security nyumbani kwa ndo aweke icho kiasi cha muokoto. vinginevyo ni kuiweka familia kwenye risk inayoepukika
Exactly, labda aliamini bastola
 
Polisi kufika na taratibu zao, walipoanza kusearch wanakuta pesa zingine zipo kwenye ndoo ya maji zimejaa, zingine zipo juu ya dari zingine kwenye begi, eti hadi kwenye kabati la nguo.
Wao wamejigawia ngapi
 
Back
Top Bottom