Unakuta mbaba mtu mzima naye anakaa heti mama mama mama msituletee ujinga na umama kwenye vitu msingi

Unakuta mbaba mtu mzima naye anakaa heti mama mama mama msituletee ujinga na umama kwenye vitu msingi

Genius Man

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2024
Posts
3,560
Reaction score
7,914
Unakuta mbaba mtu mzima naye anakaa heti mama mama mama msituletee ujinga na umama kwenye vitu msingi.

Ulekeo wa umama mnaofanya hauna msingi wowote bali ni ujinga na upumbavu mbona mlikuwa amumuiti mama akiwa makamu wa rais.

Kwahiyo mnampenda samia kweli au mnataka vyeo na rushwa ? ukiona mtu sijui mama mama hujue ni mtu wa dili na rushwa sio kingine.
 
Unakuta mbaba mtu mzima naye anakaa heti mama mama mama msituletee ujinga na umama kwenye vitu msingi.

Ulekeo wa umama mnaofanya hauna msingi wowote bali ni ujinga na upumbavu mbona mlikuwa amumuiti mama akiwa makamu wa rais.

Kwahiyo mnampenda samia kweli au mnataka vyeo na rushwa ? ukiona mtu sijui mama mama hujue ni mtu wa dili na rushwa sio kingine.
Dr.Samia Suluhu Hassani ni mama na kiongozi wa kila mTanzania hata kama una chuki au mihemko kiasi gani gentleman :HAhaa:
 
Dr.Samia Suluhu Hassani ni mama na kiongozi wa kila mTanzania hata kama una chuki au mihemko kiasi gani gentleman :HAhaa:
Ukisema kiongozi ongezea kiongozi wa magenge ya mauwaji na utekaji sio mimi
 
Ukisema kiongozi ongezea kiongozi wa magenge ya mauwaji na utekaji sio mimi
na kwakweli gentleman,
magaidi na mamaluki watakaojaribu kujaribu kutikisa amani miongoni mwa waTanzania watafurahishwa bila kucheweshwa hata sekunde moja.

hii kawaeleze na political bandits wenzako bila kificho :HAhaa:
 
Back
Top Bottom