Unakumbuka kufanya kituko gani during foolish age?

Ahsante sana Boss, sijawahi kucheka hapa jukwaani tangu niingie kama nilivyocheka leo yaaani! lol! we mtundu sana hahahahahaha. Naona unapenda Warembo kweli. Nini hasa kilikuvutia na huyo mdada guu la kihaya, **** la kukata, sura ya kuvutia sana au shingo ya upanga?


aisee vyote alikuwa navyo
guu guu.sheou shepu...
 
Mimi nakumbuka nilikuwa na safari yakutoka kariakoo
kwenda mwenge ,kufika kariakoo nikaona mwanamke mrembo...
Nikaanza kumfata nyuma nyum,a ili nipate nafasi ya kumtongoza...
Yule mwanamke akaingia kwenye basi,na mimi nikaingia bila kujua basi linaenda wapi

kumbe basi linaenda mlandizi....

Nikauchuna hivyo hivyo mpaka mlandizi....ile kushuka tu mwanamke akaingia kwenye gari ya mumewe na mimi tamaa ikaishia hapo hapo

nikaanza utaratibu wa kurudi na hiyo ni kutoka saa sita mpaka karibu saa kumi.....

Yaaani..............................

ukome kuparamia vya watu Boss!!!yani umeenda mlandizi kisa mwanamke,ha ha
 
WE WERE BOY SCOUTS.....LATE MANENO IDD MARITE WAS OUR SCOUT MASTER......THE TRIP TO BAHATI CAMP MOROGORO WAS MADE......I WAS AMONG THE TROUPE THAT HEADED TO THE CAMP......ON ARRIVAL....ONE SCOUT PRASHANT STARTED CRYING........I WAS GIVEN THE TASK TO CONSOLE THE GUY......AND GIVEN FOOD TO MAKE HIM EAT(instead I ate it all) ASKED WHETHER THE INDIAN SCOUT ATE....I SAID THE BOY ENJOYED THE FOOD GREATLY AND ASKED THE ADDITIONAL.......THE SECOND DAY.....THE THIRD DAY.....AT NOON THEY FOUND THE BOY IS SO WEAK, THEY DECIDED TO ASK HIM......IN TEARS HE EXPLAINED HOW WE TRY TO GIVE HIM MEAT WHICH IN THEIR RELIGION IS FORBIDEN....! MASTER NJIGE LOOKED AT ME...(small toilet ran down the trousers) ......!it was great adventure!
 
aisee vyote alikuwa navyo
guu guu.sheou shepu...

Eh! Kumbe ndiyo ugonjwa wako huo! hahahahahaha yaani kila nikikumbuka nacheka sana. Unajua ulikuwa unamtafutia nafasi ili umuuzie lugha lakini tangu ulipomuona nafasi ilikuwa haikuruhusu kumwaga mistari yako maana kulikuwa na kadamnasi sasa ukaamua kulala mbele naye mpaka upate nafasi ya kufanya vitu vyako. Kuja kushtuka mwanaume uko Mlandizi hahahahahahaha lol! ushapoteza masaa kama manne au hata zaidi na mawindo yako hayakufanikiwa lol! sasa sijui ulikuwa mkiwa kiasi gani katika safari yako ya kurudi Dar? we Boss mtundu sana na bado utundu wako unauendeleza hadi hii leo.
 
eh! Kumbe ndiyo ugonjwa wako huo! Hahahahahaha yaani kila nikikumbuka nacheka sana. Unajua ulikuwa unamtafutia nafasi ili umuuzie lugha lakini tangu ulipomuona nafasi ilikuwa haikuruhusu kumwaga mistari yako maana kulikuwa na kadamnasi sasa ukaamua kulala mbele naye mpaka upate nafasi ya kufanya vitu vyako. Kuja kushtuka mwanaume uko mlandizi hahahahahahaha lol! Ushapoteza masaa kama manne au hata zaidi na mawindo yako hayakufanikiwa lol! Sasa sijui ulikuwa mkiwa kiasi gani katika safari yako ya kurudi dar? We boss mtundu sana na bado utundu wako unauendeleza hadi hii leo.

mkuu mimi mwenyewe nikikumbuka huwa nacheka sana....
Siku hizi hizi simu zinasaidia sana....ukipewa namba tu.
Unaendelea zako na shughuli nyingine....
 
mkuu mimi mwenyewe nikikumbuka huwa nacheka sana....
Siku hizi hizi simu zinasaidia sana....ukipewa namba tu.
Unaendelea zako na shughuli nyingine....

Simu zinatesa sana mkuu, we acha tu, Ni hapo upige halafu unasikia upande wa pili kuna sauti ya njemba na wakati ulikuwa unategemea kuisikia sauti ya mrembo lol! unaminya kimya kimya au unajitia wrong number hahahahahah

 
simu zinatesa sana mkuu, we acha tu, ni hapo upige halafu unasikia upande wa pili kuna sauti ya njemba na wakati ulikuwa unategemea kuisikia sauti ya mrembo lol! Unaminya kimya kimya au unajitia wrong number hahahahahah


ha ha ha ha
mimi nikipiga nikisikia sauti ya kiume
huwa najifanya nilikuwa napiga simu muhimbili
au dawasco.....nauliza haloo hapo dawasco???????
Kesho mwanamke lazima abaki hoi,
kama ni mke wa mtu huwa wanabaki wanacheka tu...
Hatari nakuwa nimewaaepushia....lol
 
ha ha ha ha
mimi nikipiga nikisikia sauti ya kiume
huwa najifanya nilikuwa napiga simu muhimbili
au dawasco.....nauliza haloo hapo dawasco???????
Kesho mwanamke lazima abaki hoi,
kama ni mke wa mtu huwa wanabaki wanacheka tu...
Hatari nakuwa nimewaaepushia....lol

hahahahahaha naomba kuongea na Dawasco/Muhimbili hahahahahahaha. Mapenzi haya we acha tu kuna vijimambo kweli kweli. Mkiongea na mrembo ukimwambia nilipiga jana nikawa naulizia kama ni Dawasco baada ya kukutana na sauti ya njemba anweza kuangua kicheko cha hali ya juu lol! Kumbe ulikuwa wewe!
 
ha ha ha ha
mimi nikipiga nikisikia sauti ya kiume
huwa najifanya nilikuwa napiga simu muhimbili
au dawasco.....nauliza haloo hapo dawasco???????
Kesho mwanamke lazima abaki hoi,
kama ni mke wa mtu huwa wanabaki wanacheka tu...
Hatari nakuwa nimewaaepushia....lol

This is fun!..kweli techniques za wizi unazo!!
Tatizo tu usikute umeseviwa kwenye simu kama fundi dawasco au nesi muhimbili..
unahitaji maombia kuacha kutamani wake za watu,lol
 
this is fun!..kweli techniques za wizi unazo!!
Tatizo tu usikute umeseviwa kwenye simu kama fundi dawasco au nesi muhimbili..
Unahitaji maombia kuacha kutamani wake za watu,lol


kuna mmoja huwa ameni save
kwa jina la fundi bomba....
Aliwahi kuni introduce kwa mumewe kama fundi bomba...
Mumewe akaniuliza mbona fundi wewe uko smart sana
nikamwambia mimi msimamizi tu,kazi wanafanya vijana wangu..
Hapo ilikuwa nyumbani kwao niko mezani nakula pilau...
Wanawake bana we acha tu....lol
 
siwezi hata kuendelea kusoma,
hahahahahaha uwiiiiiiiiiiiii nyela kiki?
 
kuna mmoja huwa ameni save
kwa jina la fundi bomba....
Aliwahi kuni introduce kwa mumewe kama fundi bomba...
Mumewe akaniuliza mbona fundi wewe uko smart sana
nikamwambia mimi msimamizi tu,kazi wanafanya vijana wangu..
Hapo ilikuwa nyumbani kwao niko mezani nakula pilau...
Wanawake bana we acha tu....lol

hahahahahahaha We Boss mkali sana hahahahahahah fundi bomba siyo lol! kumbe huku wazima taa. Haya bwana fundi bomba lol! lakini angalia mwingine anaweza kukurushia maswali mrefu (marefu) ofisi zako ziko wapi blah blah blah naweza kupita katika ofisi zako kesho? Hapo itakuwa balaa maana hakuna fundi bomba wa kweli lol!
 
kuna mmoja huwa ameni save
kwa jina la fundi bomba....
Aliwahi kuni introduce kwa mumewe kama fundi bomba...
Mumewe akaniuliza mbona fundi wewe uko smart sana
nikamwambia mimi msimamizi tu,kazi wanafanya vijana wangu..
Hapo ilikuwa nyumbani kwao niko mezani nakula pilau...
Wanawake bana we acha tu....lol


...Please, tell me this is only a Joke !!!....:shocked: :pound:

 
mimi nakumbuka nilikuwa na safari yakutoka kariakoo
kwenda mwenge ,kufika kariakoo nikaona mwanamke mrembo...
Nikaanza kumfata nyuma nyum,a ili nipate nafasi ya kumtongoza...
Yule mwanamke akaingia kwenye basi,na mimi nikaingia bila kujua basi linaenda wapi

kumbe basi linaenda mlandizi....

Nikauchuna hivyo hivyo mpaka mlandizi....ile kushuka tu mwanamke akaingia kwenye gari ya mumewe na mimi tamaa ikaishia hapo hapo

nikaanza utaratibu wa kurudi na hiyo ni kutoka saa sita mpaka karibu saa kumi.....

Yaaani..............................


ha ha ha ha ha ha ha he he he he he he hii yako kali ...
 
NasDaz u must be crazy hahahahaha nimecheka mwanzo mwisho ..
duniani kuna vituko ..u made my day :A S 8:
 
Ngoja niongeze la kwangu:

Kuna siku ilikuwa asubuhi ya saa tatu siku ya jumamosi ,nilikuwa naelekea school kwa ajili tuition ya form IV, basi njiani nilimwona mdada mrembo mzuri sana mweupe Mhehe, huyo dada aliniangalia sana kiasi kilichonifanya nimwangalie na kujiuliza kulikoni kuniangalia kiasi hicho?
basi sikutoa macho yangu kwake huku niliendelea kutembea.

Kwa bahati mbaya kwa mbele kulikuwa na mtaro na sikuliona mtaro wakati natembea huku namwangalia mdada,nikatumbukia mtaroni bahati ilikuwa ya udongo ingekuwa ya simenti ingekuwa balaa, wacha yule dada alinicheka saaana, nikanyanyuka taratibu na kusepa kimyakimya,tuition mambo hayakuingia akilini.

Niliporudi nilipita njia hiyohiyo,bahati nilimkuta mdada tena njiani,alinisimamisha na kuniongelesha

Mdada: Pole kwa mtaroo!!
Mimi: Ahsante!
Mdada: Viiipiii?
Mimi: Sijakuelewa!
Mdada: Hunielewi?
Mimi: Lipi ulinitaka nikuambie?
Mdada: Hujanielewa mpaka saa hizi?
Mimi: Shida yako ni nini?
Mdada: Si hii!!

Khaaa! Hapo nikagundua alichotaka...!!!!
 
kuna mmoja huwa ameni save
kwa jina la fundi bomba....
Aliwahi kuni introduce kwa mumewe kama fundi bomba...
Mumewe akaniuliza mbona fundi wewe uko smart sana
nikamwambia mimi msimamizi tu,kazi wanafanya vijana wangu..
Hapo ilikuwa nyumbani kwao niko mezani nakula pilau...
Wanawake bana we acha tu....lol

ha ha ha h aha ha ha ha ha The boss we ni noma, yaani nimecheka mpaka basi.
yaani umekaa kwa kujiamini kabisa??? eti mimi ni msimamizi tu, kazi wanafanya vijana, una vituko sana wewe!!!
 
kuna mmoja huwa ameni save
kwa jina la fundi bomba....
Aliwahi kuni introduce kwa mumewe kama fundi bomba...
Mumewe akaniuliza mbona fundi wewe uko smart sana
nikamwambia mimi msimamizi tu,kazi wanafanya vijana wangu..
Hapo ilikuwa nyumbani kwao niko mezani nakula pilau...
Wanawake bana we acha tu....lol

Mkuu ! Mkuuu! Mkuu! Nashindwa hata kuongea manake nahofia kuna siku atakukuta live unakaza bomba baada ya kuanza kutoa majimaji!
 
kuna mmoja huwa ameni save
kwa jina la fundi bomba....
Aliwahi kuni introduce kwa mumewe kama fundi bomba...
Mumewe akaniuliza mbona fundi wewe uko smart sana
nikamwambia mimi msimamizi tu,kazi wanafanya vijana wangu..
Hapo ilikuwa nyumbani kwao niko mezani nakula pilau...
Wanawake bana we acha tu....lol

Duniani kweli balaa..
 
Back
Top Bottom