Unakumbuka kufanya kituko gani during foolish age?

Mnakumbuka Kinguo nguo? Nilimpenda dada mmoja ambaye alikuwa anakaa nyumba ya nne kutoka kwetu, Wakati huo nilikuwa na miaka 8, Yeye alikuwa na miaka 9, tulikuwa tunapanga miadi yetu tunakutana stoo ya nyumbani kwao basi tunakumbatiana Kinguo kinguo ndo stahili ya Mapenzi. Baadaye tukaona haitoshi , tukawa tunaingia chumbani kwao uvunguni tunavua nguo uko uko uvunguni tunamalizana .
 
teh teh teh yaani mmenifurahisha c mchezo!nimecheka mpaka bac!
 
Ebana Nasdaz Turuka alikuwepo enzi hizo.....Kama ye ndo angepewa hiyo issue angekuganda hadi ajue ukweli...Mtata sana yule mzee!!!

Hahahahahaha!!!! Kuna siku alinikosa bonge la ngumi!!!!!! KISA?! Nilichelewa bana, nimefika skonga wakati geti lishafungwa! Turuka akaniuliza naishi wapi hadi nachelewa; nikamwambia naishi mbali sana!
TURUKA: We mtoto, mbona kila siku unachelewa!
MIMI: Naishi mbali sana mwalimu!
TURUKA: Mbali wapi?
Jamaa akazidi kunikomalia nitaje ninakoishi, wakati mimi nilikuwa nasita kutaja coz' hapo hapo kulikuwa na ticha mmoja amabe alikuwa anakufahamu home!
TURUKA: Unaishi mbali wapi?
MIMI: mnh, anh! Naishi Kurasini mwalimu!
Bana ile kutaja kurasini tu, Turuka wacha arushe kibao lakini nikakiona!
 
Hahahahahaha!!!! Kuna siku alinikosa bonge la ngumi!!!!!! KISA?! Nilichelewa bana, nimefika skonga wakati geti lishafungwa! Turuka akaniuliza naishi wapi hadi nachelewa; nikamwambia naishi mbali sana!
TURUKA: We mtoto, mbona kila siku unachelewa!
MIMI: Naishi mbali sana mwalimu!
TURUKA: Mbali wapi?
Jamaa akazidi kunikomalia nitaje ninakoishi, wakati mimi nilikuwa nasita kutaja coz' hapo hapo kulikuwa na ticha mmoja amabe alikuwa anakufahamu home!
TURUKA: Unaishi mbali wapi?
MIMI: mnh, anh! Naishi Kurasini mwalimu!
Bana ile kutaja kurasini tu, Turuka wacha arushe kibao lakini nikakiona!

Ebana nasdaz,wewe ni noma!nimekukubali mkuu...!
 
Back
Top Bottom