Unakumbuka hizi game consoles?

Unakumbuka hizi game consoles?

100 others

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2017
Posts
10,178
Reaction score
36,367
Wale tuliokuwa tunapenda game consoles mnakumbuka?
Nilianguka mtihani wangu wa darasa la nne kwa kucheza gameboy catridge ya supermario bros yaani nilikuwa sisomi.
61vi4-7L0qL.jpg

1200px-Nintendo-Game-Boy-Advance-Purple-FL.jpg

132ae16c38ef49147ebce7f5be56b1fb.png

1200px-Sega-Genesis-Mk2-6button.jpg

StreetFighter2.jpg

61fF2JW5QpL._SY355_.jpg

6159188_f496.jpg
 
Hizi kwetu sisi wahenga tulikua tunawanunulia watoto na tujukuu zetu kuwakip busy huku sie tukitafakari nchi yetu inavyoliwa na kuangamia huku kina laki si pesa,lizabon nk wakishangilia.
 
Da game boy advance ilinipatia sana wachumba hyo naweka super mario bros finding nemo fantastic 4 etc ilikuwa hataree daaa game boy advance siwezi kulisahau.
 
Wow,napnd sna kuona girls wanajua kuhusu games ,mko wachache sana

Sent using Jamii Forums mobile app
My ex alikua anakesha na call of duty modern warfare na 2k17 humwelezi kitu. Sijui kama bado anachezaga since we broke up. It was fun, maan tulikua tunashinda ndani mwendo wa gemu tuu tukichoka ni mwendo wa series kumchek Jack Bauer anavopambana na mbabe Vladimir gredenko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
My ex alikua anakesha na call of duty modern warfare na 2k17 humwelezi kitu. Sijui kama bado anachezaga since we broke up. It was fun, maan tulikua tunashinda ndani mwendo wa gemu tuu tukichoka ni mwendo wa series kumchek Jack Bauer anavopambana na mbabe Vladimir gredenko

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni rare sana kukuta girls wapo interested na games basi ulikuwa na bahati nzuri.
 
Hivi karibuni niliinunua hiyo kwenye foleni. Kuna mtoto akaniganda nikamuachia.

Games ukiziendekeza unakuwa teja. Naziogopa kwa Dhabi. Game ya super Mario ndio ilininasisha kwa paw[emoji13]
Hilo la pili kutoka chini ndo lenyewe,batteries zako tu
Alafu sijawahi kujua yanauzwa wapi


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi karibuni niliinunua hiyo kwenye foleni. Kuna mtoto akaniganda nikamuachia.

Games ukiziendekeza unakuwa teja. Naziogopa kwa Dhabi. Game ya super Mario ndio ilininasisha kwa paw[emoji13]



Sent using Jamii Forums mobile app
Uliinunua kwenye foleni?

Game ya super mario ilikunasisha kwa Paw??
Paw huyu huyu tunayemfahamu?😛
 
Back
Top Bottom