Unakumbuka hizi game consoles?

Unakumbuka hizi game consoles?

My ex alikua anakesha na call of duty modern warfare na 2k17 humwelezi kitu. Sijui kama bado anachezaga since we broke up. It was fun, maan tulikua tunashinda ndani mwendo wa gemu tuu tukichoka ni mwendo wa series kumchek Jack Bauer anavopambana na mbabe Vladimir gredenko

Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh inapendeza sana mkuu,yaani mi nikiskiag tu girl anaongelea games namuona wa maana sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Game boy Advance kitu cha Nintendo [emoji452]
 
Back
Top Bottom