Hhahhh ngumu kuamini kwa kweliHiyo ya rings and blocks niliinunua kwenye trafic lights kwa wamachinga.
Paw huyo huyo. Na ndio mjanja wangu yaani. Ngumu kuamini eh?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe Paw nae ni mtu wa games
Hhahhh ngumu kuamini kwa kweliHiyo ya rings and blocks niliinunua kwenye trafic lights kwa wamachinga.
Paw huyo huyo. Na ndio mjanja wangu yaani. Ngumu kuamini eh?
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes mkuu, though it didnt last for longNi rare sana kukuta girls wapo interested na games basi ulikuwa na bahati nzuri.
HahahaGame boy hyo ya juu.kuna jamaa alikuwa wa kishua alikuwa nayo.alikuwa anatutesa kweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sana san kwa machnga huwa naona au maduk ya jumlaMaduka gani?
Duuh inapendeza sana mkuu,yaani mi nikiskiag tu girl anaongelea games namuona wa maana sanaMy ex alikua anakesha na call of duty modern warfare na 2k17 humwelezi kitu. Sijui kama bado anachezaga since we broke up. It was fun, maan tulikua tunashinda ndani mwendo wa gemu tuu tukichoka ni mwendo wa series kumchek Jack Bauer anavopambana na mbabe Vladimir gredenko
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu upo chuo ?Umenikumbusha mbali sana,nikitoka class tu ni magame
Mbeya nilimkuta machinga stand ya kabwe anauzaMaduka gani?
lipo kwenye playstore linaitwa brick gameHilo la pili kutoka chini ndo lenyewe,batteries zako tu
Alafu sijawahi kujua yanauzwa wapi
Nilikuwa namaanisha kama lile katika pichalipo kwenye playstore linaitwa brick game
She is fanatic wa gaming world.Duuh inapendeza sana mkuu,yaani mi nikiskiag tu girl anaongelea games namuona wa maana sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kipindi hiko mkuu not now,but still paka now I play games
Saivi nina kiporo cha gta iv na v ,nina hamu nazo sna ,nataka ni change pcKipindi hiko mkuu not now,but still paka now I play games
Zote nimeziplay sema sijazimaliza. ..I like horror games kama resident evilSaivi nina kiporo cha gta iv na v ,nina hamu nazo sna ,nataka ni change pc
Sent using Jamii Forums mobile app