CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,257
- 12,875
Wembe wa kucha,,,cha,
chakula kitamu,,,mu
Mungu mkubwa ...bwa
hii utakua umecheza mitaa ipi tena...???
mie naifahamu hii hapa....
Wanaume wanapenda kum'a... kum'a... kumaliza shule
Wanawake wanapenda mbo... mbo... mboga za majani
......bwawa la samaki...... KI...... King Majuto....... TO.......... toto la paka.......... KA.......... kaka na babu........... BU.............. bubu hasemi ..........MI.......... mimi na wewe......... WE.......... wembe wa kucha......... CHA......... chakul................
......bwawa la samaki...... KI...... King Majuto....... TO.......... toto la paka.......... KA.......... kaka na babu........... BU.............. bubu hasemi ..........MI.......... mimi na wewe......... WE.......... wembe wa kucha......... CHA......... chakul................
daddy kumbe umo ingawa huvumi lolest!!!!!!
Daddy huna!
Kwishney!
mimi mdogo,,,go
gogo la mti....ti
tina na mjuba...ba.
mimi mdogo,,,go
gogo la mti....ti
tina na mjuba...ba.
Baba wa kambo...mbo
mbona wanitesa...sa
sasa naondoka...ka.
Kaa peke yako...ko
koma kunipiga...ga
Oooo maaamaaa unamzomea wii wako meeen!!!!
Nitakunyima kaka yangu meeeen.
Kwa hiyo ndio unanitukana kijanja au?