Machozi ya mzazi nadra kuonekana mbele ya familia

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,640
697,994
Mara zote tunaowaamini sana ndio wanaotuangusha ama kutuumiza sana.. Waulize wote waliowahi kujitapa
Nina boda wangu
Nina fundi wangu
Nina mganga wangu
Nina mtu wangu nknk
Hawa ni watu walijihakikishia uamifu kwako lakini rohoni mwao ni umbwa mwitu wakali mno.. Na nyakati zinapotimia utawaona katika uhalisia wao

Wa kumwamini pekee kwa asilimia 100 ni Mungu mwenye enzi yote, lakini sisi viumbe wake tuna kasoro kubwa kwenye hilo eneo.. Tuaminiane kwa machale sana..
Mjomba ni mama lakini Saddam Hussein alisalitiwa na mjomba wake wa damu ziwa moja na mama yake mzazi toka nitoke!
Katika maisha pia ukiondoa kundi la unaowaamini, kuna makundi mengine ya namna hiyo hujiinua hasa pale yanapokuona una kitu cha kuwapa kutokana na nafasi yako ama uwezo wako.. Kamwe haya makundi hayaendi kwa fukara
Makundi ya kusifu na kuabudu
Makundi ya kujifanya watetezi wako
Makundi ya kujifanya walinzi wako nk

Kwenye mfumo wa viumbe hai kuna wazuri na wabaya.. Kiumbe hai kama chawa si kiumbe chema hata kidogo.. Hiki ni papasi ni kupe chenye kazi moja tuu kikunyonye damu kinenepe wewe ukonde upate maradhi hakijali...!

Pamoja na hulka ya binadamu kupenda kusifiwa( ni hitaji la kiasili la mwanadamu) epuka sana kuwa na kundi linaloitwa chawa! Kama chawa mdudu asivyo na faida mwilini ndio chawa mtu asivyo na faida yoyote katika maisha yako
Kama mzazi kuna nyakati kipimajoto cha changamoto hupanda na kufikia nyuzijoto 1000, si kutokana na makosa yako la hasha bali kutokana na kuangushwa na wale uliowaamini kwa asilimia 2000 huku wakipewa chapuo na makundi ya kusifu na kuabudu na chawa!

Kuna ukweli huja kujifunua mambo yakiwa yameshakorogeka na kuharibika mno!
Hata uwe na watoto 20 wenye ujuzi wa kila fani, unapowakasimu majukumu usiwaamini kwa asilimia zote! Nawe ujiridhishe kwa kuwafuatilia ili wasije kukuangushia jumba bovu

Maumivu ya kusalitiwa kimyakimya na wanafamilia ni makali kuliko kelele za unayedhani ni adui wa kutengenezewa anayejaribu kukuambia hapo unapigwaaa.. Gutukaaa...

SASA ufanyeje uchungu wa kuumizwa na kusalitiwa sometimes hupunguzwa na machozi! Lakini kama mzazi huwezi kutoa machozi yako mbele ya familia.. Wala huwezi kujifungia chumbani ulie.. Watajua tuu
Wala huwezi kukimbilia ukweni.. Huna hakika kama wana upendo wa dhati nawe!
Sasa ufanyeje? Kuponya haya majeraha? Utamtafuta mama ukalie weee mpaka uchoke na kama mama hayupo utamatafuta mjomba hata kama yuko mbali
Utaenda huko ukapumzike kwa muda na kujitafakari, ujitafute na kumlilia Mola wako kwenye mitihani ya walimwengu..!

Mjomba ni mama lakini hawezi kuaminika kwa asilimia 100 kama mama.. Ni vema kuwa makini mzazi asije akaruka ndogo na kukanyaga kubwa.
FB_IMG_1690935371651.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mara zote tunaowaamini sana ndio wanaotuangusha ama kutuumiza sana.. Waulize wote waliowahi kujitapa
Nina boda wangu
Nina fundi wangu
Nina mganga wangu
Nina mtu wangu nknk
Hawa ni watu walijihakikishia uamifu kwako lakini rohoni mwao ni umbwa mwitu wakali mno.. Na nyakati zinapotimia utawaona katika uhalisia wao

Wa kumwamini pekee kwa asilimia 100 ni Mungu mwenye enzi yote, lakini sisi viumbe wake tuna kasoro kubwa kwenye hilo eneo.. Tuaminiane kwa machale sana..
Mjomba ni mama lakini Saddam Hussein alisalitiwa na mjomba wake wa damu ziwa moja na mama yake mzazi toka nitoke!
Katika maisha pia ukiondoa kundi la unaowaamini, kuna makundi mengine ya namna hiyo hujiinua hasa pale yanapokuona una kitu cha kuwapa kutokana na nafasi yako ama uwezo wako.. Kamwe haya makundi hayaendi kwa fukara
Makundi ya kusifu na kuabudu
Makundi ya kujifanya watetezi wako
Makundi ya kujifanya walinzi wako nk

Kwenye mfumo wa viumbe hai kuna wazuri na wabaya.. Kiumbe hai kama chawa si kiumbe chema hata kidogo.. Hiki ni papasi ni kupe chenye kazi moja tuu kikunyonye damu kinenepe wewe ukonde upate maradhi hakijali...!

Pamoja na hulka ya binadamu kupenda kusifiwa( ni hitaji la kiasili la mwanadamu) epuka sana kuwa na kundi linaloitwa chawa! Kama chawa mdudu asivyo na faida mwilini ndio chawa mtu asivyo na faida yoyote katika maisha yako
Kama mzazi kuna nyakati kipimajoto cha changamoto hupanda na kufikia nyuzijoto 1000, si kutokana na makosa yako la hasha bali kutokana na kuangushwa na wale uliowaamini kwa asilimia 2000 huku wakipewa chapuo na makundi ya kusifu na kuabudu na chawa!

Kuna ukweli huja kujifunua mambo yakiwa yameshakorogeka na kuharibika mno!
Hata uwe na watoto 20 wenye ujuzi wa kila fani, unapowakasimu majukumu usiwaamini kwa asilimia zote! Nawe ujiridhishe kwa kuwafuatilia ili wasije kukuangushia jumba bovu

Maumivu ya kusalitiwa kimyakimya na wanafamilia ni makali kuliko kelele za unayedhani ni adui wa kutengenezewa anayejaribu kukuambia hapo unapigwaaa.. Gutukaaa...

SASA ufanyeje uchungu wa kuumizwa na kusalitiwa sometimes hupunguzwa na machozi! Lakini kama mzazi huwezi kutoa machozi yako mbele ya familia.. Wala huwezi kujifungia chumbani ulie.. Watajua tuu
Wala huwezi kukimbilia ukweni.. Huna hakika kama wana upendo wa dhati nawe!
Sasa ufanyeje? Kuponya haya majeraha? Utamtafuta mama ukalie weee mpaka uchoke na kama mama hayupo utamatafuta mjomba hata kama yuko mbali
Utaenda huko ukapumzike kwa muda na kujitafakari, ujitafute na kumlilia Mola wako kwenye mitihani ya walimwengu..!

Mjomba ni mama lakini hawezi kuaminika kwa asilimia 100 kama mama.. Ni vema kuwa makini mzazi asije akaruka ndogo na kukanyaga kubwa.View attachment 2705897

Sent using Jamii Forums mobile app
Wameacha neno wapambe na yeye akawaita chawa hilo neno chawa linakata kote kote na ni dhihaka na dharau, unamtukuza chawa na unampa tafsiri nzuri si ukichaa huo.

Ukiabudu vichaa utakuwa kichaa pia
 
Ndiyo, kujua amesalitiwa ni kwenda kulilia ujombani.

Sawa, je machozi yatabadili kitu ?

Hata ulie sana haisaidii, watasema tumemkomesha, watasema hana uwezo, watasema tulijua.

Hapo juzi nilienda kijijini kwetu, kukuta mapokezi ya wakati wazazi wapo na ya sasa ni tofauti kubwa.

Ikabidi nikalie kaburini kwao,

Hiyo haiondoi uchungu pia.

🤣🤣 nimechanganya walau nipunguze makali.
 
Hata wale wa aongezewe muda Tena Tena hatuwaoni sijui hizi wakienda kuhiji baada tu ya maziko wakalitelekeza kaburi
 
Mara zote tunaowaamini sana ndio wanaotuangusha ama kutuumiza sana.. Waulize wote waliowahi kujitapa
Nina boda wangu
Nina fundi wangu
Nina mganga wangu
Nina mtu wangu nknk
Hawa ni watu walijihakikishia uamifu kwako lakini rohoni mwao ni umbwa mwitu wakali mno.. Na nyakati zinapotimia utawaona katika uhalisia wao

Wa kumwamini pekee kwa asilimia 100 ni Mungu mwenye enzi yote, lakini sisi viumbe wake tuna kasoro kubwa kwenye hilo eneo.. Tuaminiane kwa machale sana..
Mjomba ni mama lakini Saddam Hussein alisalitiwa na mjomba wake wa damu ziwa moja na mama yake mzazi toka nitoke!
Katika maisha pia ukiondoa kundi la unaowaamini, kuna makundi mengine ya namna hiyo hujiinua hasa pale yanapokuona una kitu cha kuwapa kutokana na nafasi yako ama uwezo wako.. Kamwe haya makundi hayaendi kwa fukara
Makundi ya kusifu na kuabudu
Makundi ya kujifanya watetezi wako
Makundi ya kujifanya walinzi wako nk

Kwenye mfumo wa viumbe hai kuna wazuri na wabaya.. Kiumbe hai kama chawa si kiumbe chema hata kidogo.. Hiki ni papasi ni kupe chenye kazi moja tuu kikunyonye damu kinenepe wewe ukonde upate maradhi hakijali...!

Pamoja na hulka ya binadamu kupenda kusifiwa( ni hitaji la kiasili la mwanadamu) epuka sana kuwa na kundi linaloitwa chawa! Kama chawa mdudu asivyo na faida mwilini ndio chawa mtu asivyo na faida yoyote katika maisha yako
Kama mzazi kuna nyakati kipimajoto cha changamoto hupanda na kufikia nyuzijoto 1000, si kutokana na makosa yako la hasha bali kutokana na kuangushwa na wale uliowaamini kwa asilimia 2000 huku wakipewa chapuo na makundi ya kusifu na kuabudu na chawa!

Kuna ukweli huja kujifunua mambo yakiwa yameshakorogeka na kuharibika mno!
Hata uwe na watoto 20 wenye ujuzi wa kila fani, unapowakasimu majukumu usiwaamini kwa asilimia zote! Nawe ujiridhishe kwa kuwafuatilia ili wasije kukuangushia jumba bovu

Maumivu ya kusalitiwa kimyakimya na wanafamilia ni makali kuliko kelele za unayedhani ni adui wa kutengenezewa anayejaribu kukuambia hapo unapigwaaa.. Gutukaaa...

SASA ufanyeje uchungu wa kuumizwa na kusalitiwa sometimes hupunguzwa na machozi! Lakini kama mzazi huwezi kutoa machozi yako mbele ya familia.. Wala huwezi kujifungia chumbani ulie.. Watajua tuu
Wala huwezi kukimbilia ukweni.. Huna hakika kama wana upendo wa dhati nawe!
Sasa ufanyeje? Kuponya haya majeraha? Utamtafuta mama ukalie weee mpaka uchoke na kama mama hayupo utamatafuta mjomba hata kama yuko mbali
Utaenda huko ukapumzike kwa muda na kujitafakari, ujitafute na kumlilia Mola wako kwenye mitihani ya walimwengu..!

Mjomba ni mama lakini hawezi kuaminika kwa asilimia 100 kama mama.. Ni vema kuwa makini mzazi asije akaruka ndogo na kukanyaga kubwa.View attachment 2705897

Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ni ukweli baba kitu nilichojifunza maishani
Kwangu ni kwamba ni kuwa makini na watu haswa wale ukiwanao utawasikia

1.Nitakutafutia kazi nipe cv zako

2.kuna hela naisubili nikiipata nitakupa mtaji wa biashara .

3.kuna mchongo nausililizia nitakufanyia mpango uje ulaya .



Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Umesema ukweli mwamba, maudhui ya thread yako nimeelewa sana ngazi ya uongozi Taifani na pia ngazi ya familia na maisha yetu kwa ujumla.
ukweli ni kwamba kumwamini mtu ni tatizo sasa Mshana Jr tufanyeje mkuu ili tuweze kuishi nao katika mazingira ya kuendelea kudumisha mahusiano?
 
Umesema ukweli mwamba, maudhui ya thread yako nimeelewa sana ngazi ya uongozi Taifani na pia ngazi ya familia na maisha yetu kwa ujumla.
ukweli ni kwamba kumwamini mtu ni tatizo sasa Mshana Jr tufanyeje mkuu ili tuweze kuishi nao katika mazingira ya kuendelea kudumisha mahusiano?
Litambue hili kwa makini mno na katika uhalisia wake
FB_IMG_1690933738760.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ni ukweli baba kitu nilichojifunza maishani
Kwangu ni kwamba ni kuwa makini na watu haswa wale ukiwanao utawasikia

1.Nitakutafutia kazi nipe cv zako

2.kuna hela naisubili nikiipata nitakupa mtaji wa biashara .

3.kuna mchongo nausililizia nitakufanyia mpango uje ulaya .



Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Umechelewa kidogo tu nimeshaitumia kwenye kadharula fulani...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndiyo, kujua amesalitiwa ni kwenda kulilia ujombani.

Sawa, je machozi yatabadili kitu ?

Hata ulie sana haisaidii, watasema tumemkomesha, watasema hana uwezo, watasema tulijua.

Hapo juzi nilienda kijijini kwetu, kukuta mapokezi ya wakati wazazi wapo na ya sasa ni tofauti kubwa.

Ikabidi nikalie kaburini kwao,

Hiyo haiondoi uchungu pia.

nimechanganya walau nipunguze makali.
Pole mtani wiki hii nipo nitakuwa mgeni wako niandalie kwio mwenye kichungi wa madoa mekundu na blue

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumuona mzazi analia, ni nadra na akilia wewe mtoto huumia sana. Niliwahi mshuhudia baba yangu akitokwa chozi. Baba yangu alikuwa mwamba hasa, nikua nikimtazama kama alama ya uanaume, nilipomuona akitoa chozi, nilifunza wote tuna limit ya umwamba. We all have a breaking point! Yakikufika nenda 'pangoni', 'nyikani' au 'jangwani' ambapo utakuwa pekee yako, lia. YOU WILL BE HEALED.
 
Smiling faces don't always tell the truth, the truth is in the eyes because the eyes don't lie.
Hata sikumbuki nimeisoma wapi nukuu hii.
 
Kumuona mzazi analia, ni nadra na akilia wewe mtoto huumia sana. Niliwahi mshuhudia baba yangu akitokwa chozi. Baba yangu alikuwa mwamba hasa, nikua nikimtazama kama alama ya uanaume, nilipomuona akitoa chozi, nilifunza wote tuna limit ya umwamba. We all have a breaking point! Yakikufika nenda 'pangoni', 'nyikani' au 'jangwani' ambapo utakuwa pekee yako, lia. YOU WILL BE HEALED.

Hata wanaume hulia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom