CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,253
- 12,869
- Thread starter
- #21
baridi kali... Li
lindi na vita... Ta
tausi ndege wangu, ndege wangu wa fahari, ndege umekwisha hali sasa wataka nini?.??
Duh... bonge la mchakachuo!!!
baridi kali... Li
lindi na vita... Ta
tausi ndege wangu, ndege wangu wa fahari, ndege umekwisha hali sasa wataka nini?.??
Kwanza rudia kuimba ule mwimbo wako, uliokua unamuimbia mwanao, kwakua kuna wenzangu wengine wameshausahau! Then tutafanya majumuisho.
Wembe wa kucha,,,cha,
chakula kitamu,,,mu
Mungu mkubwa ...bwa
Mock..mtihani..ning'inia unye,nyerere,.rembua macho,.chozi la babu..buriani baba wa taifa.
mimi mdogo,,,go
gogo la mti....ti
tina na mjuba...ba.
Baba wa kambo...mbo
mbona wanitesa...sa
sasa naondoka...ka.
Kaa peke yako...ko
koma kunipiga...ga
Mock..mtihani..ning'inia unye,nyerere,.rembua macho,.chozi la babu..buriani baba wa taifa.
Ok... nilikuwa nshasahau... Duh una kumbukumbu lol!!!! Btw how r u my shem??
Duh... bonge la mchakachuo!!!