Unakijua Chama Cha KADIMA?


Tutakunasa kwenye phase two.
 

Wewe mlaghaika, AMKA. Acha kulaghaika hovyo.

Umeshawahi kusikia sentensi "Kilimo ni Uti wa Mgongo?" . Mara ya kwanza ulipoisikia kauli hiyo, chama cha KADIMA kilikuwa kimeshasajiliwa?
 
Kwa kuwa mtoa hoja ni wewe ze!wa lumumba i can't waste waste my time
 
Zemarcopolo ninakupongeza kwa jitihada zako za kuchota busara na hekima kutoka kwa Dkt. Slaa. Kitendo cha wewe kuacha majukumu yako yote na kumsikiliza Dkt. Slaa akihojiwa na radio WPFW ya Washington DC.

Haya mengine unayoyaeleza ni ngonjera tu za kawaidaa mbazo mmeelekezwa hapo lumumba katika kujipatia ujira wenu kwakuwa kumkosoa ama kumuandika kwa ubaya Dkt. Slaa ndio uhakika wa posho zenu buku saba fc!

Mwenyekiti wa chama chenu hana hata uthubutu wa kufanya mahojiano kama hayo kwakuwa kila mara akifungua kinywa chake kuongea anaishia kuiaibisha nchi.

Hebu fikiria raisi anasema hajui sababu za umasikini wa nchi yake na yeye tunaambiwa ni mchumi. Raisi anasema manufacturing of teachers! Hizo ndiyo aibu kubwa tulizowahi kuzipata kutoka kwa raisi JK - tour guide/operator!
 

Mwita,

Kadi yako ya KADIMA ni namba ngapi?

Slaa amekuta Marekani sera za CCM zinasifiwa na yeye amebadilisha msimamo. Sasa hivi anazisifia sera za CCM alizozunguka maeneo mbalimbali nchini kuziponda majukwaani.

Hizi ni siasa za kilaghai.
 

Unaongeleaje kitendo cha Dr. Slaa (Boss wako) kukiri CCM ni chama chenye sera nzuri?
 
Zemarcopolo ninakupongeza kwa jitihada zako za kuchota busara na hekima kutoka kwa Dkt. Slaa. Kitendo cha wewe kuacha majukumu yako yote na kumsikiliza Dkt. Slaa akihojiwa na radio WPFW ya Washington DC.

Haya mengine unayoyaeleza ni ngonjera tu za kawaidaa mbazo mmeelekezwa hapo lumumba katika kujipatia ujira wenu kwakuwa kumkosoa ama kumuandika kwa ubaya Dkt. Slaa ndio uhakika wa posho zenu buku saba fc!

Mwenyekiti wa chama chenu hana hata uthubutu wa kufanya mahojiano kama hayo kwakuwa kila mara akifungua kinywa chake kuongea anaishia kuiaibisha nchi.

Hebu fikiria raisi anasema hajui sababu za umasikini wa nchi yake na yeye tunaambiwa ni mchumi. Raisi anasema manufacturing of teachers! Hizo ndiyo aibu kubwa tulizowahi kuzipata kutoka kwa raisi JK - tour guide/operator!
 
Mwita,

Kadi yako ya KADIMA ni namba ngapi?

Slaa amekuta Marekani sera za CCM zinasifiwa na yeye amebadilisha msimamo. Sasa hivi anazisifia sera za CCM alizozunguka maeneo mbalimbali nchini kuziponda majukwaani.

Hizi ni siasa za kilaghai.



ZeMarcopolo

Kuna jamaa anatafuta wafanyakazi amefuga mbwa wengi sasa anatafuta vijana wa kutoambwa wake bandani are u interested na nafikiri kazi hii itakuwa nzuri sana kutoambwa kila siku asubuhi na kuwarudisha jioni
 
Hata ka phonology kameshinda mleta mada!!!!

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
ZeMarcopolo

Kuna jamaa anatafuta wafanyakazi amefuga mbwa wengi sasa anatafuta vijana wa kutoambwa wake bandani are u interested na nafikiri kazi hii itakuwa nzuri sana kutoambwa kila siku asubuhi na kuwarudisha jioni

Je, huyo jamaa ni mwanachama wa KADIMA?
 
Hata ka phonology kameshinda mleta mada!!!!

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Kusema kuwa sera za CCM ni nzuri sio phonology.

Slaa alipofika Marekani amekuta sera za CCM zinasifiwa, mwishowe na yeye ameamua kubadilisha msimamo na kuzisifia sera hizo.

Walaghaika itafika wakati watabaki njia ya panda.

Slaa ni mwanasiasa mlaghai...
 
Eti na wewe ni great thinker dah! ume think nini katika uzi huo sasa.
 

Mwenzako Mohamedi Mtoi ameshakata tamaa na hizi siasa za kilaghai za Chadema.

Leo Slaa amebadilisha Tanzanian demographics ghafla kwa kusema kuwa KADIMA ina wafuasi wengi zaidi vijijini kuliko mijini. This is NEW!!!
 
Wewe mlaghaika, AMKA. Acha kulaghaika hovyo.

Umeshawahi kusikia sentensi "Kilimo ni Uti wa Mgongo?" . Mara ya kwanza ulipoisikia kauli hiyo, chama cha CHDEMA kilikuwa kimeshasajiliwa?

1.CCM ndio walaghai

2.CDM ilikua bado haijasajiliwa..Kama ni hivyo tuzungumzie 'KILIMO KWANZA'

Sio cha msimu ..tulitegemea cha umwagiliaji..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…