Yote nakubaliana na wewe kasoro aya hii hapa;
"Kimsingi, haki haitolewi bure, hupiganiwa. Ndio maana Kenya wako vizuri zaidi kwa sababu walipambana, wakamwaga damu, sio tu wakati wa uhuru, bali pia kipindi cha katiba mpya."
Kumwaga damu kwa ajili ya wachache wanaogombea kutawala HAPANA. Wakenya waligombana na Kikwete na Mkapa ndiyo walihusika kuwapatanisha. Burundi, Rwanda, Uganda hawa wote wakipata shida wanasuluhishwa Tanzania. Sisi tutakwenda wapi? Kisa tu Mbowe awe Rais?