mwanazuoni mgeni
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 1,944
- 1,712
Ahaaahaaahaa we jamaa una akili sanaKwanza mwanamke anayevaa wigi kisaikolojia ana matamanio ya kuwa mwanamke anayeakisiwa na wigi alilolivaa, sasa unaanzaje kumfukuzia mwanamke anayetamani kuwa kama mhindi, mzungu au msomali wakati kuna wahindi na wazungu kibao tunabanana nao hapa hapa?..
Halafu hawafanyi kwa ajili ya wanaume ila sisi tunahangaika kuwakosoa.Wanawake wana mambo mengi,
Wanaume mnapenda tusuke nywele zipi???Ni kweli unaweza kabisa comfortably ukawa na mwanamke aliyevaa wigi jamani?
Shame on you guys.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanamke anayenyoa anapendeza na yuko sexy sana. Hasa akibandika na hereni za duara zile.Wanaume mnapenda tusuke nywele zipi???
Tukinyoa mtasema tuko sawa na vidume
Tukisuka za mkono twende kilioni mtasema washamba
Tukivaa mawigi ndo haya Sasa mpo kushusha vipondo hadi muda huu hamjamaliza
Swali:mnataka wadada wawe na nywele zipi...mbona hamueleweki jmn
Sent using Jamii Forums mobile app
ni kweli kabsa,Halafu hawafanyi kwa ajili ya wanaume ila sisi tunahangaika kuwakosoa.
Wanashindana wao kwa wao
Sisi tunaangalia vingine
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Kwa hiyo mnapenda tunyoe...Mwanamke anayenyoa anapendeza na yuko sexy sana. Hasa akibandika na hereni za duara zile.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kusuka hautaki! Mara mia usuke rasta kuliko wigi!Kwa hiyo mnapenda tunyoe...
Vipi kwa tusiopenda hereni na kunyoa hatutaki inakuwaje hapo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii makitu hata mimi najishangaa nilikuwa navaaje wigi miaka hiyo ya zamani..... Puuuuuu..... Mwaka wa nne huu sijaweka wigi wala yebo yebo kichwani. Life is cheaper and beautiful indeedNi kweli unaweza kabisa comfortably ukawa na mwanamke aliyevaa wigi jamani?
Shame on you guys.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana mawig mengine yana harufu fulani hivi za perfume ambazo siyo nzuri hasa mnapokua mmelala wote na mengine yanadondoshaga vinywele vyake kitandaniNi kweli unaweza kabisa comfortably ukawa na mwanamke aliyevaa wigi jamani?
Shame on you guys.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nasikia kuna watu wanajichubua mpaka kuna kauvundo fulani hivi kanatoka kwenye ngozi.... Can you imagine na hili joto la Mujini.... Wanawake tuache kujichubua jamani. Mungu ana sababu za kukuumba kwa rangi aliyokupatia. Tujiamini, Tujipende.Halafu hawajui tu! Mbona nywele ukizitunza shampoo kidogo, zikila na ufuta wa nazi mbona zinakuwa shega tu.
Kingine kinachokera wanajichubua mpaka bhasi! Na kuna wale wa manukato makali umbali wa mita 6 tayari umeshaanza kuyanusa.
Yaani wamezidi! wamekuwa kama majini, na mikucha yao ndiyo usiseme.
Na mi' make up yao bora tuhamie Neptune! Uso umejaa jaa mimng'ao kama vitumbua vilivyochomwa na mafuta mengi.
Jasho + Perfume za bei rahisi + Vumbi = Uvundo Mkali sanaHapana mawig mengine yana harufu fulani hivi za perfume ambazo siyo nzuri hasa mnapokua mmelala wote na mengine yanadondoshaga vinywele vyake kitandani
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahqhqhqhaha mkuu umenichekesha sana, na hapo kny kucha sasa nyingine hadi zinatisha kuangalia, kope nazo dooh😎Nyie midada mna tabu sana, unakuta lidada limevaa minywele yamechanua utazani kabeba dume la tausi kichwani, wengine mawigi utazani wamevaa vyungu kichwani.
alafu kuna hawa wengine wanavaa mikucha utazani misukule, hivi mnajisafishaga kweli? achenini uchafu wasechu nyie
Nakuwa namchykulia kama mwanasesere/puppet/doll!Dubwana tu la maonesho.Ni kweli unaweza kabisa comfortably ukawa na mwanamke aliyevaa wigi jamani?
Shame on you guys.
Sent using Jamii Forums mobile app