Unajisikiaje kuwa na mwanamke mwenye 'Wigi'

Kwanza mwanamke anayevaa wigi kisaikolojia ana matamanio ya kuwa mwanamke anayeakisiwa na wigi alilolivaa, sasa unaanzaje kumfukuzia mwanamke anayetamani kuwa kama mhindi, mzungu au msomali wakati kuna wahindi na wazungu kibao tunabanana nao hapa hapa?..
Ahaaahaaahaa we jamaa una akili sana

From profile picture to proper future
 
Ni kweli unaweza kabisa comfortably ukawa na mwanamke aliyevaa wigi jamani?

Shame on you guys.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaume mnapenda tusuke nywele zipi???
Tukinyoa mtasema tuko sawa na vidume
Tukisuka za mkono twende kilioni mtasema washamba
Tukivaa mawigi ndo haya Sasa mpo kushusha vipondo hadi muda huu hamjamaliza

Swali:mnataka wadada wawe na nywele zipi...mbona hamueleweki jmn

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaume mnapenda tusuke nywele zipi???
Tukinyoa mtasema tuko sawa na vidume
Tukisuka za mkono twende kilioni mtasema washamba
Tukivaa mawigi ndo haya Sasa mpo kushusha vipondo hadi muda huu hamjamaliza

Swali:mnataka wadada wawe na nywele zipi...mbona hamueleweki jmn

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanamke anayenyoa anapendeza na yuko sexy sana. Hasa akibandika na hereni za duara zile.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu hawajui tu! Mbona nywele ukizitunza shampoo kidogo, zikila na ufuta wa nazi mbona zinakuwa shega tu.

Kingine kinachokera wanajichubua mpaka bhasi! Na kuna wale wa manukato makali umbali wa mita 6 tayari umeshaanza kuyanusa.

Yaani wamezidi! wamekuwa kama majini, na mikucha yao ndiyo usiseme.

Na mi' make up yao bora tuhamie Neptune! Uso umejaa jaa mimng'ao kama vitumbua vilivyochomwa na mafuta mengi.
Nasikia kuna watu wanajichubua mpaka kuna kauvundo fulani hivi kanatoka kwenye ngozi.... Can you imagine na hili joto la Mujini.... Wanawake tuache kujichubua jamani. Mungu ana sababu za kukuumba kwa rangi aliyokupatia. Tujiamini, Tujipende.
 
Nyie midada mna tabu sana, unakuta lidada limevaa minywele yamechanua utazani kabeba dume la tausi kichwani, wengine mawigi utazani wamevaa vyungu kichwani.

alafu kuna hawa wengine wanavaa mikucha utazani misukule, hivi mnajisafishaga kweli? achenini uchafu wasechu nyie
Hahqhqhqhaha mkuu umenichekesha sana, na hapo kny kucha sasa nyingine hadi zinatisha kuangalia, kope nazo dooh😎
 
Mi binafs mawigi stumi ila naona kuvaa wigi au kupaka make up once in a while kujifrahisha sio mbaya. Ishu ni pale mtu hajikubali na yupo always na mawigi, make up fake lash. Hata uhalsia wake haujulikani tena. Hiyo ndo tatizo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nachukiaga tabia ya mwanamke kuvaa wigi na kuniuliza kama amependeza, wananisababisha nitende dhambi ya uongo
 
17 Reactions
Reply
Back
Top Bottom