Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,134
- 159,020
Oooh! nilikuwa sijaona, shukran!mbona ameshaelezea mkuu
Oooh! nilikuwa sijaona, shukran!mbona ameshaelezea mkuu
Chukua nazi zako 3, 5, na kuendelea.
Kuna vizuri au kama huwezi kukuna waweza zibandua kisha ukakata vipande vidogo vidogo ukablend,
(me napendelea kukuna)
Ukishamaliza chuja upate tui zuri, waweza rudia tena kuchuja kama utaona tui lipo bado kwenye machicha,
Kisha tafuta mfuko wa nailon mweupe, (waweza tumia miwili au mitatu au hata mmoja, kutegemea na wingi wa tui lako)
Mimina tui kwenye mfuko huo, kisha ufunge kwa juu na uhifadhi sehem ambayo haitatikisika.
Acha kwa masaa kadhaa kuanzia ma 3,
Ukija kuangalia utakuta maji yapo chini na tui lipo juu, cha kufanya chukua mkasi kata kipande kidogo kwa chini kisha acha yale maji yamwagike (waweza kuelekezea kwenye sufuria au bakuli sio yamwagike chini.)
Mpaka ikikaribia na tui kutoka, bana lile tundu halafu elekezea kwenye sufuria unalotaka kuchemshia tui lako, achia lile tui lote, kisha tupia karafuu, au mdalasini au hiliki au vyote (kama utapenda kukata harufu kama mimi, kama hupendi acha usiweke hivyo viungo)
Chemsha tui lako huku unakoroga kwa mwiko usiache mpaka tui litakauka lote na kuonekana mafundo mafundo meupe na mafuta yatakuja juu. Endelea mpaka yale mafundo yaanze kua rangi ya kahawia (brown).
Shusha sufuria lako, acha kama dakika 10 yapoe kisha mimina kwenye chombo utakachotumia (chuja), tupia vile viungo kama uliweka.
Tayari kwa matumizi.
garnier inauzwa wapi jamaniGarnier ni nzuri sana, ninayo ya Shea butter na fresh gel (kwa ajili ya kusafisha uso)
Unistue namie...hapana ila kuna mdau nilimkuta anatengeneza yaani ni msoft balaa nitaenda kujifunza nitakushtua
ya naziHebu wanaukumbi tushee hii kitu, hebu tuambizane. Je unatumia mafuta gani mwilini/lotion/cream? Unaogea sabuni gani?
Mimi kuanzia natumia lotion ya Ingram, naogea sabuni ya Pearl na mafuta ya nazi niliyotengeneza mwenyewe. Kila Jumapili natengeneza.
Matokeo nipo soft mpaka najitamani.
Wewe je?
NB: Natafuta foundation nzuri sijapata naombeni idea
Unataka ugundue nini??Duuh! Una "aleji" kama mimi nini?
Me pia natumia sabuni hizo kama nikibadili ni dettol, kinyume na hapo ni majanga.
Mafuta ya nazi (nitangeneza mwenyewe, naweka na karafuu+mdalasini+hiliki)
SnowBabycare mpka nakufa
hiyo nzur sana naifahamu sanaNatumia fair $ white lotion no 2 ya rangi ya Gold...nilikua na vipele vimeisha vyote na nipo soft
hii bei ganHii lakini kiminyato sana isihishe.
Hii lotion inafaa kwa ngozi ya mafutahiyo nzur sana naifahamu sana
Hii lotion inafaa kwa ngozi ya mafutaNatumia fair $ white lotion no 2 ya rangi ya Gold...nilikua na vipele vimeisha vyote na nipo soft
Mm naweka maua ya asumini yaliokwisha kauka, basi mafuta yanakuwa na manukato mazuuri. Huyo wa mdalasini na hiliki atakuwa ananukia kama pilau sasa.mafuta ya nazi huwa unayawekeaje hvo vikorobwezo dear? mimi nayatumia tu hivohivo