Dah..kwa uzi huu..tutegemee kuta za mabenki na nyumba za ibada kuchafuka....kwa kifupi ni uzi wa KICHOCHEZI 🤣 🤣 🤣 🤣Unajiona una MKOSI Kumbe Ulivyokua SHULE Ulikua Unaandika Jina Lako Kwenye Kuta za CHOO!
Alikwambia nani CHOONI kuna Baraka?
Ndo Niko mbioni naenda kutafuta maana si kwa kupigwa kibuti huku..🏃🏃🏃Unajiona una MKOSI Kumbe Ulivyokua SHULE Ulikua Unaandika Jina Lako Kwenye Kuta za CHOO!
Alikwambia nani CHOONI kuna Baraka?
Auntie!! Missed you.
wapi kiki tu izo kuna jamaa tunasoma nae aliandika kwa kutumia mavi kabisa lakini asaivi ni mbunge Jimbo flani uko MBEYA
Kwani wewe unamwambia Nani mkuu!?Yeye sio wewe... Usipende kusafiria nyota ya mtu
si halisi hata kidogoLakini nilichoandika ni halisi ama si halisi?
Hii wewe Upo? Nilikuwa sikuoni 🌚Tena unaandika "KUKATA GOGO NI RAHA ASIKUAMBIE MTU"
Hahahahahaaa
Nipo mkuu, nimekuwa nikikomenti kidogo kidogo sana ubusy umekuwa mwingi sana huku kitaaHii wewe Upo? Nilikuwa sikuoni
Nilimaanisha huyo aliyemtaja sio yeyeKwani wewe unamwambia Nani mkuu!?
Hebu fafanua hapo. Maana nimemuelewa kuwa swala la kuandika jina Chooni halihusiani na maikosi ya mtu. Akatolea mfano wa huyo mbunge. Sasa wewe wasema yeye sio huyo.. Ndio. Lkn huyo aliandika na hakukutana na mikosi na zaidi yupo poa, na yeye huenda hakuandika lkn ndio mikosi imemuandama...
hio avatar yako ni kipindi uko mtoto ulikua umesimisha masikio kama sungura wa sizitaki mbichi hiziTena unaandika "KUKATA GOGO NI RAHA ASIKUAMBIE MTU"
Hahahahahaaa