Unajiona una mikosi?

Unajiona una MKOSI Kumbe Ulivyokua SHULE Ulikua Unaandika Jina Lako Kwenye Kuta za CHOO!

Alikwambia nani CHOONI kuna Baraka?
Ndo Niko mbioni naenda kutafuta maana si kwa kupigwa kibuti huku..🏃🏃🏃
 
wapi kiki tu izo kuna jamaa tunasoma nae aliandika kwa kutumia mavi kabisa lakini asaivi ni mbunge Jimbo flani uko MBEYA
Yeye sio wewe... Usipende kusafiria nyota ya mtu
Kwani wewe unamwambia Nani mkuu!?
Hebu fafanua hapo. Maana nimemuelewa kuwa swala la kuandika jina Chooni halihusiani na maikosi ya mtu. Akatolea mfano wa huyo mbunge. Sasa wewe wasema yeye sio huyo.. Ndio. Lkn huyo aliandika na hakukutana na mikosi na zaidi yupo poa, na yeye huenda hakuandika lkn ndio mikosi imemuandama...
 
Kwani wewe unamwambia Nani mkuu!?
Hebu fafanua hapo. Maana nimemuelewa kuwa swala la kuandika jina Chooni halihusiani na maikosi ya mtu. Akatolea mfano wa huyo mbunge. Sasa wewe wasema yeye sio huyo.. Ndio. Lkn huyo aliandika na hakukutana na mikosi na zaidi yupo poa, na yeye huenda hakuandika lkn ndio mikosi imemuandama...
Nilimaanisha huyo aliyemtaja sio yeye
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom