Strong and Fearless
JF-Expert Member
- Apr 24, 2017
- 692
- 1,570
Kuna mambo tunayafanya ambayo sio mazuri ambayo either tunajutia au hatujutii na hatujawahi kumueleza mtu yeyote zaidi ya nafsi zetu Au mtu ambae ulieshirikiana nae. Nianze mwenyewe ku confess mambo yangu
1. Niliwahi kukuta 20k ofisini chooni then nikatoka kwa nia ya kwenda kutangaza ya nani but nikakutana na staff mwenzangu mwanamke nikamueleza then akasema tugawane halafu hamna kumuambia mtu. Kumbe ilikuwa ya muhasibu kasahau chooni, ilitangazwa kwenye group na tukakaa kimya.
2. Niliwahi kuhave sex na staff mwenzangu ofisini, we both had feelings for each other so in a coincidence niliwahi na yeye akawahi ofisini then ikatokea hivyo and hakuna aliejuaga mpaka leo.
3. Niliwahi ku watch porn na my brother nilivokuwa na age kama 6 and my brother was 10. Ilikua jana yake usiku our parents walisema laleni mapema kumbe wao walikuwa wanaangalia huo mkanda so my brother sijui alijua then kesho tulivoridi kutoka school my brother akachukua ule mkanda room kwao akaweka tuangalie, but nothing happened nilikuwa tu namuuliza my bro hawa wanafanya nini akawa tu anacheka. My parents hawakujua hadi leo na sikuwahi kumuuliza my bro hadi leo hii.
Share yours too members if you don’t mind…..
1. Niliwahi kukuta 20k ofisini chooni then nikatoka kwa nia ya kwenda kutangaza ya nani but nikakutana na staff mwenzangu mwanamke nikamueleza then akasema tugawane halafu hamna kumuambia mtu. Kumbe ilikuwa ya muhasibu kasahau chooni, ilitangazwa kwenye group na tukakaa kimya.
2. Niliwahi kuhave sex na staff mwenzangu ofisini, we both had feelings for each other so in a coincidence niliwahi na yeye akawahi ofisini then ikatokea hivyo and hakuna aliejuaga mpaka leo.
3. Niliwahi ku watch porn na my brother nilivokuwa na age kama 6 and my brother was 10. Ilikua jana yake usiku our parents walisema laleni mapema kumbe wao walikuwa wanaangalia huo mkanda so my brother sijui alijua then kesho tulivoridi kutoka school my brother akachukua ule mkanda room kwao akaweka tuangalie, but nothing happened nilikuwa tu namuuliza my bro hawa wanafanya nini akawa tu anacheka. My parents hawakujua hadi leo na sikuwahi kumuuliza my bro hadi leo hii.
Share yours too members if you don’t mind…..