Aliwazalo mtu ndio huwa... Mwandiko wake umebeba dhima na uhalisia wake... Kuna mahusiano ya moja kwa moja kiroho na majina tunayojipa imagine unajiita Magonjwa Mtambuka....Nashukuru Mungu huu ujinga ulinipitia kushoto.
Lakini Mkuu Mshana Jr shule kule kwenye kuta za choo si walikuwa wanaandika majina yao ya kibaharia tu , inamaana mkosi unajua mpaka jina la a.k.a?
Tena unaandika "KUKATA GOGO NI RAHA ASIKUAMBIE MTU"Unajiona una MKOSI Kumbe Ulivyokua SHULE Ulikua Unaandika Jina Lako Kwenye Kuta za CHOO!
Alikwambia nani CHOONI kuna Baraka?
wapi kiki tu izo kuna jamaa tunasoma nae aliandika kwa kutumia mavi kabisa lakini asaivi ni mbunge Jimbo flani uko MBEYAUnajiona una MKOSI Kumbe Ulivyokua SHULE Ulikua Unaandika Jina Lako Kwenye Kuta za CHOO!
Alikwambia nani CHOONI kuna Baraka?
Sijawahi andika, ila ninayopitia naona ni changamoto tuu!!
Sichoki kumwambia Mungu Asante, kwani hata pumzi niliyonayo ni Neema!
naona umeamua kujificha kwenye kichaka kingne ulicho comment hakina tofauti na kuwaga ugari na kususiana mboga.Yeye sio wewe... Usipende kusafiria nyota ya mtu
Duh....imagine unajiita Magonjwa Mtambuka....