Unajiandaa kuangalia fainali ya kukumbukwa ukiwa wapi?

Unajiandaa kuangalia fainali ya kukumbukwa ukiwa wapi?

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
359,880
Reaction score
828,435
Leo ni siku muhimu na maalum sana kwenye ulimwengu wa soka Tanganyika pale Mnyama Simba mwakilishi pekee wa kimataifa Tanganyika... Atakaposhuka dimbani huko Morroco kumenyana kwenye fainali za CAF

Ni siku maalum sana kwa SIMBA kwakuwa ilifanikiwa kufika hatua hii miaka 30 iliyopita
Ni siku maalum pia kwakuwa mpaka kufika hapo ametoka mbali sana

Basi itengenezee umaalum wake kwakuwa huna hakika ya kuja kuona fainali nyingine.. Ifanye siku ya leo kuwa tukio la kipekee sana..

Mimi nimeshatua Bukoba hapa tangu jana lakini final destination ni hapo kwa M7 Kampala kiwanja maarufu cha PLAN B mtaa wa Mengo
Kwakuwa SIMBA anaenda kuushangaza ulimwengu wa soka..basi siku ya leo ifanye maalum sana kwa wivu mkubwa kabisa
Wabongo mlioko Kampala see you baadae PLAN B .. Tutatambuana kwa mavazi na lafudhi
Mungu ibariki SIMBA❤💕❤💕
 
Vibanda umiza leo havina nafasi😀
Mechi kubwa kama hii inafaa uangalizie sehem nzur na kubwa.

Sio unaangalia kwenye TV hadi ufunge jicho moja ndio unaona mpira.

Big screen au projector ndio mpango mzima.
Huku unapata kimea taratibu.
 
Niko Mtwara, shughuli zimenibana ila ikifika mida ya mechi, ntaoga, nivae kijora kisha nijongee kunakooneshwa mtanange wa Simba.

Nakunywa maji ya tangawizi kwa wingi kuweka koo na sauti sawa ili nipige ukunga wa kutosha kila goli litapoingia....😊.

Amsha amsha kama kawa, kama dawa...😅.

Sijui nimeanza kumiksi madesa au niko kwenye mstari eehehe.

Poa poa, midamida 😉.
 
Niko Mtwara, shughuli zimenibana ila ikifika mida ya mechi, ntaoga, nivae kijora kisha nijongee kunakooneshwa mtanange wa Simba.

Nakunywa maji ya tangawizi kwa wingi kuweka koo na sauti sawa ili nipige ukunga wa kutosha kila goli litapoingia....😊.

Amsha amsha kama kawa, kama dawa...😅.

Sijui nimeanza kumiksi madesa au niko kwenye mstari eehehe.

Poa poa, midamida 😉.
Nakunywa maji ya tangawizi kwa wingi kuweka koo na sauti sawa ili nipige ukunga wa kutosha kila goli litapoingia😂😂😂
 
Leo ni siku muhimu na maalum sana kwenye ulimwengu wa soka Tanganyika pale Mnyama Simba mwakilishi pekee wa kimataifa Tanganyika... Atakaposhuka dimbani huko Morroco kumenyana kwenye fainali za CAF

Ni siku maalum sana kwa SIMBA kwakuwa ilifanikiwa kufika hatua hii miaka 30 iliyopita
Ni siku maalum pia kwakuwa mpaka kufika hapo ametoka mbali sana

Basi itengenezee umaalum wake kwakuwa huna hakika ya kuja kuona fainali nyingine.. Ifanye siku ya leo kuwa tukio la kipekee sana..

Mimi nimeshatua Bukoba hapa tangu jana lakini final destination ni hapo kwa M7 Kampala kiwanja maarufu cha PLAN B mtaa wa Mengo
Kwakuwa SIMBA anaenda kuushangaza ulimwengu wa soka..basi siku ya leo ifanye maalum sana kwa wivu mkubwa kabisa
Wabongo mlioko Kampala see you baadae PLAN B .. Tutatambuana kwa mavazi na lafudhi
Mungu ibariki SIMBA
Mkuu unasoma taarifa za CAF

CAF wanasema for the first time ,Wewe unasema miaka 30 iliyopita

Heshima taarifa za wahusika,Chanzo cha taarifa za mpira wa mashindano ya Afrika yanatoka CAF

Nenda website ya CAF.
 
Leo ni siku muhimu na maalum sana kwenye ulimwengu wa soka Tanganyika pale Mnyama Simba mwakilishi pekee wa kimataifa Tanganyika... Atakaposhuka dimbani huko Morroco kumenyana kwenye fainali za CAF

Ni siku maalum sana kwa SIMBA kwakuwa ilifanikiwa kufika hatua hii miaka 30 iliyopita
Ni siku maalum pia kwakuwa mpaka kufika hapo ametoka mbali sana

Basi itengenezee umaalum wake kwakuwa huna hakika ya kuja kuona fainali nyingine.. Ifanye siku ya leo kuwa tukio la kipekee sana..

Mimi nimeshatua Bukoba hapa tangu jana lakini final destination ni hapo kwa M7 Kampala kiwanja maarufu cha PLAN B mtaa wa Mengo
Kwakuwa SIMBA anaenda kuushangaza ulimwengu wa soka..basi siku ya leo ifanye maalum sana kwa wivu mkubwa kabisa
Wabongo mlioko Kampala see you baadae PLAN B .. Tutatambuana kwa mavazi na lafudhi
Mungu ibariki SIMBA❤💕❤💕
Kweli kabisa ..huenda itachukua miaka mingi tena kujirudia....
 
Mkuu unasoma taarifa za CAF

CAF wanasema for the first time ,Wewe unasema miaka 30 iliyopita

Heshima taarifa za wahusika,Chanzo cha taarifa za mpira wa mashindano ya Afrika yanatoka CAF

Nenda website ya CAF.
Halijui hilo.
 
Back
Top Bottom