Kuishi kwa mishahara yetu kwa MAHITAJI MUHIMU pekee tunaweza. Kinachotuponza Watanzania ni matumizi ya ziada na yasiyo ya lazima kama vile nyumba kubwa(sio ndogo, maana ni ghali sana kuziendesha!), pombe, michango na sadaka za kijinga kama vile harusi, birthday, vipaimara,..., utalii wa ndani, umiliki wa vyombo kama magari bila kuzingatia uwezo wako, kutokuwa wakweli kuhusu vipato vyetu kwenye familia na mambo mengine mengi ya kipuuzi.