Mhandisi Mzalendo
JF-Expert Member
- Aug 23, 2010
- 6,052
- 9,855
Altenator ya miss tz
Salaam ndugu zangu,kwanza napenda kuwashukuru kwa kuunga mkono uzi wetu pendwa wa, "Wapenzi wa magari mazuri ”. Ahadi yangu kwenu ni kuendeleza mazuri.
Ili magari yetu yaendelee kuwa mazuri tutahitaji spare,unaonaje ukinipa oda yako kisha nikutumie spare huko huko mkoani na utalipia mzigo wako ukishapokea kwa wakala wetu ?
Spare yoyote ile kwetu inapatikana iwe body part kama bampa, taa n.k au hata engine , gearbox na spare nyenginezo.
Unaweza kuniPm oda yako au nitumie ujumbe kwa WhatsApp au text ya kawaida .
Namba yangu ya simu ni 0658124554View attachment 1072803View attachment 1072804View attachment 1072805View attachment 1072807
Sent using Jamii Forums mobile app
Nahitaji bampa la mbele na taa ya mbele kushoto, TOYOTA WISH nyeusi niko MBEYA. Naomba bei tafadhali
170,000/=Nahitaji show ya mbele ya rav 4 kilitime. Bei gan mkuu
Ipo kwenye engine gani mkuuAltenator ya miss tz
Bila shaka tumewasiliana kwa namba yangu,nakupa mrejesho muda simrefuGear box ya honda crv -rd7 bei gani
1ZZ na Gearbox ni 3000,000/=Engine na Gearbox yake,
1ZZ bei gani,
Na Mfano nikitaka nitoe Engine yangu na Gearbox ya 1AZ unitafutie mteja waweza pia?
Hizi hutumika kwenye Rav4, OPA etc
Umenicheki WhatsApp,nimekuomba nitumie picha nione bampa lako ni lipiNahitaji bampa la mbele na taa ya mbele kushoto, TOYOTA WISH nyeusi niko MBEYA. Naomba bei tafadhali
Shukran mkuuHongera mkuu maana naona mpaka fb umetuwekea.
Naomba picha mkuuSide mirror used za Hilux pickup ambao hazitumii umeme.
600,000/=Nahitaji steering rack ya vanguard
NimeshatumaUmenicheki WhatsApp,nimekuomba nitumie picha nione bampa lako ni lipi
Hii haipungui?600,000/=
Bamba la ist la mbele linaendaje. Bi dada anayehitaji yuko dahSalaam ndugu zangu,kwanza napenda kuwashukuru kwa kuunga mkono uzi wetu pendwa wa, "Wapenzi wa magari mazuri ”. Ahadi yangu kwenu ni kuendeleza mazuri.
Ili magari yetu yaendelee kuwa mazuri tutahitaji spare,unaonaje ukinipa oda yako kisha nikutumie spare huko huko mkoani na utalipia mzigo wako ukishapokea kwa wakala wetu ?
Spare yoyote ile kwetu inapatikana iwe body part kama bampa, taa n.k au hata engine , gearbox na spare nyenginezo.
Unaweza kuniPm oda yako au nitumie ujumbe kwa WhatsApp au text ya kawaida .
Namba yangu ya simu ni 0658124554View attachment 1072803View attachment 1072804View attachment 1072805View attachment 1072807
Sent using Jamii Forums mobile app