Master of the game
JF-Expert Member
- Sep 1, 2016
- 5,858
- 2,680
Habari za masiku wakuu? Natumai nyote mpo salama, kwa wale waliotangulia mbele za haki tuwaombee kwa Mungu awaweke pema, na wale wagonjwa Mungu awape ponyo.
Tulipoteana kitambo kirefu kidogo baada ya uzi wetu pendwa wa “Wapenzi Wa Magari Mazuri” kupata misukosuko, kabla ya uzi wetu kupotea tulifanikiwa kutengeneza jamii kubwa sana na ndani ya hiyo jamii nilipata marafiki ambao nipo nao karibu mno kama ndugu zangu wa damu.
Sio vibaya kuanza moja, vibaya ni kukata tamaa, sijakata tamaa wakuu na sijawaacha, nitawapostia kazi nzuri zaidi, tutafanya kazi kwa uaminifu na tutafanya kila linalowezekana kukidhii mahitaji yako.
Usiache kupitia huu uzi nakuhakikishia gari ya ndoto yako ipo humu, kama usipoiona kwenye huu uzi mawasiliano yangu ni 0658124554 napatikana pia WhatsApp kwa namba hiyo hiyo nitafute uniambie ni gari gani unahitaji.
Tulipoteana kitambo kirefu kidogo baada ya uzi wetu pendwa wa “Wapenzi Wa Magari Mazuri” kupata misukosuko, kabla ya uzi wetu kupotea tulifanikiwa kutengeneza jamii kubwa sana na ndani ya hiyo jamii nilipata marafiki ambao nipo nao karibu mno kama ndugu zangu wa damu.
Sio vibaya kuanza moja, vibaya ni kukata tamaa, sijakata tamaa wakuu na sijawaacha, nitawapostia kazi nzuri zaidi, tutafanya kazi kwa uaminifu na tutafanya kila linalowezekana kukidhii mahitaji yako.
Usiache kupitia huu uzi nakuhakikishia gari ya ndoto yako ipo humu, kama usipoiona kwenye huu uzi mawasiliano yangu ni 0658124554 napatikana pia WhatsApp kwa namba hiyo hiyo nitafute uniambie ni gari gani unahitaji.