Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 13,481
- 26,357
Umezungumza kilekile nilichosema, kwa maneno mengine. Tatizo tu huwa unawaigi kujikurupusha kabla hakujakucha.Unaelewa nini naposema kumsimamia ? Kijalizio maana yake ni mtu wa ziada ? Hii lugha chafu na ya kejeli na isiyo na uhalisia, sababu nafasi ya Mwanamke kwetu sisi ni kubwa mno, na sisi ni vazi kwao na wao ni mavazi kwetu.


