Unafuata nini kwa mwanaume unapoolewa?

Unafuata nini kwa mwanaume unapoolewa?

Je mwanamke anapo olewa..Anachofuata Ni Mali za mwanaume Yaaani Magari, magorofa na mfanowe?

Je anafuata urafiki, uhusiano, Mapenzi ya dhati, kufanya Mapenzi, Utulivu wa nafsi au Heshima?

Je ukipewa Hizo pesa na magari na majumba..ukawa tajiri alafu mwanaume akawa anaonekana kwa nadra Sana utakuwa na furaha?

Je furaha ya kweli katika Mapenzi / ndoa Ni pesa?
Kuna usemi nausikiaga... When poverty enters the door love flies out of the window.

Tell me guys...what makes a happy marriage... Is it money or is it the man?

I like to think I need a man first, his presence is Vital then other factors can be considered.

What do you guys think?

N.B Hiyo English Tia maji Tia maji nilifundishwa na mwalimu wangu Ticha** Shamim... Mlosoma kayumba msianze maneno yenu.
Foundation ya social life ya mwanadamu imejengwa kwenye TRANSACTION mchezo wa NIPE NIKUPE, iwe urafiki wa kawaida ama muungano wa ndoa, urafiki successful ni ule ambao hakuna yeyote anayefeel kuwa burdened na huo urafiki/umoja, the same applies kwenye ndoa, iwe financial matters, emotional issues, biological issues, psychological issues, kila mtu ahakikishe anajitoa kwa kadri awezavyo bila kuhisi anakuwa exploited, pakishaanza kuwepo na sense ya exploitation, either financial au biological hapo Friction lazima iwepo, ile mtu kuhisi unafunjwa kibiologia,au unafujwa kipesa,hii feeling hua ipo KWA binadamu,huwa tunatabia ya kuhisi tunastahili kuliko uhalisia uliopo,deep down kila mmoja ni defensive,anadefend vya kwake,anadefend uhai wake,huo ndio uhalisi

Yote KWA yote peace ni STATE ya mind,muhusika mkuu wa kuregulate state ya mind ni mwenye mind,marriage iko na mind. Mbili,kila mind ina DO's zake na DONT's zake
Kazi kubwa ni kuzimerge hizi Do na DONT's za mind mbili kufika muafaka na kukubali madhaifu ya kila mmoja na kucelerebrate strength zenu pamoja,sio kazi rahisi ni kazi ngumu ambayo inaweza chukua maisha yako yote kurealize nini unatakiwa kufanya,bahati mbaya Sana wisdom inakuja uzeeni wakati physicality imeshakuwa dhaifu,Arrogance ya ujana ina changamoto zake

Maisha ni KUSHARE sio KUDEMAND na KUEXPLOIT
 
ha ha haa

Ukiwa Dar, tembea kwa miguu toka Ocean Road Hospital, pita IFM na wizara ya afya. Ukifika Imalaseko Supermarket nijulishe umeona warefu wangapi? Hiyo ni cluster Moja hapo Dar. Bado Kule Mlimani, Mabibo Hostel...njoo mikoani huku Mwanza, Arusha etc etc etc


Acha uvivu Legendary

Naona Mzee target zako maeneo ya vyuo tu!
 
Wanawake wengi siku hizi wanaolewa ili kujibanza(asaidiwe maisha) na sio dyudyu kama baadhi wa wavulana wanavyosema humu.

Wanaume wa zamani walikuwa wanaoa ili afaidi utamu wa mbunye pasipo kuhangaika maana zamani kupata mbunye za kuchezea ilikuwa tabu sana.

Wanaume wa siku hizi wanasababu mbalimbali za kuoa:-
wengine wanahitaji wasaidizi wa shughuli ndogo ndogo kama kufua, kupika, n.k
wengine hasa wa vijijini kama Kigoma, wanaoa kisa umri umefika(miaka 18-20+)
 
Ndoa ni package!
Kuna Platinum, Gold, Silver, Wood, Feather etc kila Moja na uzito wake.

Nionavyo Mimi, ndoa ni kwa watu wasiokamilika (imperfect people). Ikiwa mtu anajihisi ni perfect person, aachane na ndoa aendelee na biashara zingine. Itamfaa!
Upo sahihi kabisa, kwa msingi huo huwa tunakamilishana.
 
Je mwanamke anapo olewa..Anachofuata Ni Mali za mwanaume Yaaani Magari, magorofa na mfanowe?

Je anafuata urafiki, uhusiano, Mapenzi ya dhati, kufanya Mapenzi, Utulivu wa nafsi au Heshima?

Je ukipewa Hizo pesa na magari na majumba..ukawa tajiri alafu mwanaume akawa anaonekana kwa nadra Sana utakuwa na furaha?

Je furaha ya kweli katika Mapenzi / ndoa Ni pesa?
Kuna usemi nausikiaga... When poverty enters the door love flies out of the window.

Tell me guys...what makes a happy marriage... Is it money or is it the man?

I like to think I need a man first, his presence is Vital then other factors can be considered.

What do you guys think?

N.B Hiyo English Tia maji Tia maji nilifundishwa na mwalimu wangu Ticha** Shamim... Mlosoma kayumba msianze maneno yenu.
Umeamua leo kufukua makaburi, Kuna watu mood zimeshaharibika, sasa wana miaka kadhaa ndani ya ndoa na akili zimetulia ndio wamejua waliolewa kwa wrong reasons.
 
Umeamua Leo kufukua makaburi, Kuna watu mood zimeshaharibika, Sasa Wana miaka kadhaa ndani ya ndoa na akili zimetulia ndio wamejua waliolewa kwa wrong reasons.
Inawezekana....
 
Toa ujinga wako hapa na kingereza chako cha kuunga unga na super glue,
Usichukulie kila comment serious hapa JF.
Na hii pia naichukulia kuwa siyo serious, au siyo!!??? Unabeza English wakati wewe pia umekifinyanga??? Karibu tu mwaka 2021 maana 2020 haijawakalia sawa wengine.
 
Foundation ya social life ya mwanadamu imejengwa kwenye TRANSACTION mchezo wa NIPE NIKUPE,iwe urafiki wa kawaida ama muungano wa ndoa,urafiki successful ni ule ambao hakuna yeyote anayefeel kuwa burdened na huo urafiki/umoja,the same applies kwenye ndoa, iwe financial matters,emotional issues ,biological issues, psychological issues,kila mtu ahakikishe anajitoa kwa kadri awezavyo bila kuhisi anakuwa exploited,pakishaanza kuwepo na sense ya exploitation,either financial au biological hapo Friction lazima iwepo,ile mtu kuhisi unafunjwa kibiologia,au unafujwa kipesa,hii feeling hua ipo KWA binadamu,huwa tunatabia ya kuhisi tunastahili kuliko uhalisia uliopo,deep down kila mmoja ni defensive,anadefend vya kwake,anadefend uhai wake,huo ndio uhalisi

Yote KWA yote peace ni STATE ya mind,muhusika mkuu wa kuregulate state ya mind ni mwenye mind,marriage iko na mind. Mbili,kila mind ina DO's zake na DONT's zake
Kazi kubwa ni kuzimerge hizi Do na DONT's za mind mbili kufika muafaka na kukubali madhaifu ya kila mmoja na kucelerebrate strength zenu pamoja,sio kazi rahisi ni kazi ngumu ambayo inaweza chukua maisha yako yote kurealize nini unatakiwa kufanya,bahati mbaya Sana wisdom inakuja uzeeni wakati physicality imeshakuwa dhaifu,Arrogance ya ujana ina changamoto zake

Maisha ni KUSHARE sio KUDEMAND na KUEXPLOIT
Well-said. Mutual relationship inayoleta tija lazima kuwepo na innocent compromises kwa pande zote mbili. Ndiyo maana ya kuondoa ubinafsi na kukuza umoja wa upendo & commitment
 
Back
Top Bottom