Unafuata nini kwa mwanaume unapoolewa?

Unafuata nini kwa mwanaume unapoolewa?

Ndoa ni package!
Kuna Platinum, Gold, Silver, Wood, Feather etc kila Moja na uzito wake.

Nionavyo Mimi, ndoa ni kwa watu wasiokamilika (imperfect people). Ikiwa mtu anajihisi ni perfect person, aachane na ndoa aendelee na biashara zingine. Itamfaa!
Exactly.
 
...unaposema "jinsia mbili kinzani" unamaanisha nini?
Mwanaume na Mwanamke,hakuna ndoa ya jinsia moja, huo ni upunguani na matumizi mabaya ya akili bali ni hila za wajinga na wazandiki.Mola wa Ulinwengu huu awalaani.
 
sijui chengine zaidi ya pesa ..unakuwa na mtu unafikiri hivi huyu ataweza kweli kuendeleza hhichi nachofanya au....au atanisindikiza mapema kaburini arithi na kuuza....au atakuharibu akili umkimbie na kumwachia...
 
Ofcourse, it can not be neccessarily money if you both have a mutual understanding. Kukosekana kwa pesa ghafla wakati ilikuwepo kuna solvika kwa mipango yenu wawili tu.

The problem is when one of the spouses gets annoyed with the situation and decides to be harsh and unsupportive while pushing blames to the other partner.

But if both parties decide to take responsibility during such tough times then the bond gets even more better.

NB: Siongei kwa kukandamiza ila ni ukweli kuwa wanawake wa kileo hawako tayari ku take responsibility kama ilivyokuwa kwa mama zetu huko kitambo. Haimaanishi walikuwa hawapitii ugumu wa kiuchumi ila they were supportive patners na sio walalamishi.

Ila kwa sasa mwanaume ukioa kama breadwinner ikatokea namna mipango imeyumba ukawa huna kitu i assure you that you are just 1 step before divorce. Utakuwa very depressed na mke badala ya kuwa supported emotionally. Mwanamke atakunyanyasa mno during that hard time.
Doooh...KWELI.kuna ndugu yangu kayumba kiuchumi...mke wake anayotufanyia...Mh
Mungu ndo anajua.
 
Mwanaume na Mwanamke,hakuna ndoa ya jinsia moja, huo ni upunguani na matumizi mabaya ya akili bali ni hila za wajinga na wazandiki.Mola wa Ulinwengu huu awalaani.
.."Matumizi mabaya ya Akili."
 
Umasikini wako usiniletee mimi hunijui,nipo kwenye ndoa kabla hujazaliwa na upunguze kimbelembele kurukia rukia watu hovyo.
Tuliza mzuka mtoto wa kiume. Huhitaji kuwa na hasira ili pointi yako ieleweke. Unaweza kutumia ustaarabu na ikawa smart kwako.
 
Nashukuru umeweza kudadavua kwa undani uhalisia wa mambo. Mi huwa nashauri bure tu kamwe tusikubali kuoa wake wabinafsi. Mpenzi wako akiwa mtu wa kudemand apewe tu bila yeye kutoa in the same manner huyo ni parasitic patner. Hafai maana siku ukiwa katika nafasi ambayo huwezi toa atakutesa. Tuepuke wapenzi wabinafsi.
Foundation ya social life ya mwanadamu imejengwa kwenye TRANSACTION mchezo wa NIPE NIKUPE,iwe urafiki wa kawaida ama muungano wa ndoa,urafiki successful ni ule ambao hakuna yeyote anayefeel kuwa burdened na huo urafiki/umoja,the same applies kwenye ndoa, iwe financial matters,emotional issues ,biological issues, psychological issues,kila mtu ahakikishe anajitoa kwa kadri awezavyo bila kuhisi anakuwa exploited,pakishaanza kuwepo na sense ya exploitation,either financial au biological hapo Friction lazima iwepo,ile mtu kuhisi unafunjwa kibiologia,au unafujwa kipesa,hii feeling hua ipo KWA binadamu,huwa tunatabia ya kuhisi tunastahili kuliko uhalisia uliopo,deep down kila mmoja ni defensive,anadefend vya kwake,anadefend uhai wake,huo ndio uhalisi

Yote KWA yote peace ni STATE ya mind,muhusika mkuu wa kuregulate state ya mind ni mwenye mind,marriage iko na mind. Mbili,kila mind ina DO's zake na DONT's zake
Kazi kubwa ni kuzimerge hizi Do na DONT's za mind mbili kufika muafaka na kukubali madhaifu ya kila mmoja na kucelerebrate strength zenu pamoja,sio kazi rahisi ni kazi ngumu ambayo inaweza chukua maisha yako yote kurealize nini unatakiwa kufanya,bahati mbaya Sana wisdom inakuja uzeeni wakati physicality imeshakuwa dhaifu,Arrogance ya ujana ina changamoto zake

Maisha ni KUSHARE sio KUDEMAND na KUEXPLOIT
 
Je mwanamke anapo olewa..Anachofuata Ni Mali za mwanaume Yaaani Magari, magorofa na mfanowe?

Je anafuata urafiki, uhusiano, Mapenzi ya dhati, kufanya Mapenzi, Utulivu wa nafsi au Heshima?

Je ukipewa Hizo pesa na magari na majumba..ukawa tajiri alafu mwanaume akawa anaonekana kwa nadra Sana utakuwa na furaha?

Je furaha ya kweli katika Mapenzi / ndoa Ni pesa?
Kuna usemi nausikiaga... When poverty enters the door love flies out of the window.

Tell me guys...what makes a happy marriage... Is it money or is it the man?

I like to think I need a man first, his presence is Vital then other factors can be considered.

What do you guys think?

N.B Hiyo English Tia maji Tia maji nilifundishwa na mwalimu wangu Ticha** Shamim... Mlosoma kayumba msianze maneno yenu.

M B O O
 
Ofcourse, it can not be neccessarily money if you both have a mutual understanding. Kukosekana kwa pesa ghafla wakati ilikuwepo kuna solvika kwa mipango yenu wawili tu.

The problem is when one of the spouses gets annoyed with the situation and decides to be harsh and unsupportive while pushing blames to the other partner.

But if both parties decide to take responsibility during such tough times then the bond gets even more better.

NB: Siongei kwa kukandamiza ila ni ukweli kuwa wanawake wa kileo hawako tayari ku take responsibility kama ilivyokuwa kwa mama zetu huko kitambo. Haimaanishi walikuwa hawapitii ugumu wa kiuchumi ila they were supportive patners na sio walalamishi.

Ila kwa sasa mwanaume ukioa kama breadwinner ikatokea namna mipango imeyumba ukawa huna kitu i assure you that you are just 1 step before divorce. Utakuwa very depressed na mke badala ya kuwa supported emotionally. Mwanamke atakunyanyasa mno during that hard time.
Both-side problem. When people get married bila kujua wanaenda kufanya nini ndoani, ndiyo madhara hayo. Mara nyingi ni watu ambao wanatanguliza maslahi, wanafanya ndoa ni one of the investements & business enterprise.
 
Nashukuru umeweza kudadavua kwa undani uhalisia wa mambo. Mi huwa nashauri bure tu kamwe tusikubali kuoa wake wabinafsi. Mpenzi wako akiwa mtu wa kudemand apewe tu bila yeye kutoa in the same manner huyo ni parasitic patner. Hafai maana siku ukiwa katika nafasi ambayo huwezi toa atakutesa. Tuepuke wapenzi wabinafsi.
You are talking as though hakuna wanaume wabinafsi!??? Ni mara ngapi wanaume wanawatelekeza wake zao!??? Wanawanyima haki zao --- elimu, fursa za biashara, nafasi za kazi, nk. Hapa hata sijazungumzia bahari nyumba ndogo!!!
 
Nashukuru umeweza kudadavua kwa undani uhalisia wa mambo. Mi huwa nashauri bure tu kamwe tusikubali kuoa wake wabinafsi. Mpenzi wako akiwa mtu wa kudemand apewe tu bila yeye kutoa in the same manner huyo ni parasitic patner. Hafai maana siku ukiwa katika nafasi ambayo huwezi toa atakutesa. Tuepuke wapenzi wabinafsi.
Yule mdada wa kuitwa Karma namuona amepanda boda Yuko mbio mbio kuja kupinga hichi ulicho andika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu hupendelea kununua vitu kwa bei ya jumla kwakuwa bei inakuwa imepoa kidogo. Ukichambua hiyo sentensi kuna majibu yako.
 
Back
Top Bottom