Unafki wa karne wa Zitto Kabwe

Unafki wa karne wa Zitto Kabwe

Umeona unafki wa zito mbona wa kubenea huusemi kumkashif lowasa na leo anamsifia juu ya kuwa alilambishwa tindikali
 
Hivi Zitto wanaweza kua mnafiki kuliko msigwa,mnyika,lema,mdee na Mbowe waliotumbia Lowasa fisadi papa kwa miaka 8 baadae wakaja kutumbia sio?

nawashangaa sana wanajifanya kuufunika unafiki wa wabunge wao wanakalia kumsema mtoto wa watu zitto. Hawa jamaa kweli marofa
 
Kwa yaliyotokea leo bungeni wakati wapinzani wakipinga uwepo wa rais wa zanzibar bungeni,
nimeona mtajwa amewawakilisha vyema
mzee wa kiraracha na bwana mapesa,
maana tungewamis sana kwenye bunge hili la 11
lakini naona leo wamewakilishwa vyema.
 
Zitto alishatoa msimamo wake kuhusu Zanzibar tena in writings haungi mkono kinachoendelea kule. Siwalaumu wala kuwabeza waliotoka lakini pia uamuzi wa zitto uheshimiwe tatizo lenu mmezoe uny..umbu kila kitu mnataka kufuatana tu..........badilikeni please
 
Wananchi wa Kigoma wamemtuma bungeni kupiga kazi, sio kupiga kelele kama wanywa viroba walio toka!!!

Anachotafuta Zitto kama hujui ni uenyekiti wa ile kamati muhimu ya mahesabu ya Serikali na ili aupate mpaka aungwe mkono na CCM. Subiri January utaniambia
 
That dude is more than oppurtunist duh anachefua kwa kweli he act like a B!*h siku zote naamini kijana kama yeye akianza unafiki wa kiwango hiki ni janga maana kuna watu wanamuangali.
 
Kweli kabisa Zitto alitimuliwa Chadema bila kujali haki na marupurupu yake. Leo mnategemea aungane nao. Huo ndiyo ungekuwa unafiki.
 
Humu kuna watu wapumbavu wa hali ya juu kabisa...
Kwanza mheshimuni zzk kwa maamuzi yke yaliyotukuka.. mlitaka awaunge mkono wkt mlimukataaaa ninyi ????
 
Huyu Ni Mnafki Sana Hadi Kauwa Upinzani Kigoma!

. Unajua nimewashangaa na kuendelea washangaa mpaka nashindwa.....yaanibhiki chama hakijui kinataka nn kwa masilah yake na wanachama wake.....wamekuwa wa kubuluzwa tu.....Mungu tujalie upinzani wa kweli mana!!!!!
 
Wacheni na chama chake kwani vyenu vya ukawa visafi?

Ana chama chake wanaamua wao mlidhani mtapelekesha kila wa upinzani poleni acheni mae ajijenge
 
Wacheni na chama chake kwani vyenu vya ukawa visafi?

Ana chama chake wanaamua wao mlidhani mtapelekesha kila wa upinzani poleni acheni mae ajijenge

Kuna hivi vibunge vilivyochaguliwa juzi vinamuiga mbowe ,mwenye biashara zake ,subiri vipigwe ban ya miezi mitatu hivi ,lazima vipige magoti
 
Back
Top Bottom