Unafki wa karne wa Zitto Kabwe

Unafki wa karne wa Zitto Kabwe

Dah,

attachment.php

Kumbe bado Cheyo na Mrema bado wapo
 
Huyu jamaa ponea yake ahamie tu ccm ,vinginevyo anapoteza muda kama mrema
 
Kumbukeni Zito Kabwe hakuwa kwenye muungano wa waliotoka.
Haya fafanueni unafiki wa Zitto.

Ndio shida ya elimu rudi kasome alichoandika na alichokifanya leo ,huo ndio unafki unao ongelewa ,ni bora angekaa kimya tokea mwanzo ange eleweka
 
Chadema utoto mwingi,na uchu wa madaraka zitto kabwe ni geneus kweli,leo wanamuita mnafiki wakati zitto na slaa ndo walobadilisha sura ya upinzanj halisi bungeni mwaka 2005 to 2010 bila matusi,bila kuzomea na watu tukaanza kuifahamu chadema,na kuna wakati wa mahakama ya kadhi ndipo nilitambua akili kubwa ya zitto wabunge walitoka nje ya mada yeye akaongea mambo makubwa sana,ni kweli amekomaa na wala c unafiki,sasa hao waliotoka nje,je shein atajiuzulu au ataendelea?
 
Chadema acheni ujinga na utoto. Ivi kutokuafiki jambo ni lazima upige mikelele au uzomee zomee? Madada wa cdm achen ujinga. Wananchi hawataki hayo.
 
Lakin hata angetoka angeungana na nani ingali upinzani haumtambui km mpinzani mwenzao?
 
Huyu jamaa ni mnafiki kiwango cha juu kabisa anatafuta huruma ya ccm

Hawa sio aina ya viongozi tunaowataka wako radhi tutimiza matakwa yao na kuacha matakwa ya watz

Swala la znz sio la kulifumbia macho kabisa ni lazima watz tukatae huu ufinyangwaji wa katiba

Watu wanafuta uchaguzi bila sababu ya msingi leo mnakuja wasifu kuwa wanademokrasia huu ni ujinga

Na kweli mkuu, huyu zitto ni msaliti haswa na amepigiwa makofi naona roho yake saaaaafi wala haya haoni, ni majuzi tu alisema anaitaka tume ya uchaguzi znz kuendelea kutangaza matokeo, kama ni mpinzani unakuwa mpinzani na wenzio au chama tawala:what:
 
kuna wanafiki zaidi ya waliotuaminisha na kutuimbisha kwa miaka 8 kuwa luwasa ni fisadi lakini baadae wakageuka kuwa ni mtakatifu???

jamani kuweni na soni walau kidogo...duuuh
 
HALAFU WANASEMA CHAMA KINA MWANASHERIA SIJUI
KAZI YAKE NINI, AKILI ZA KUSHIKIWA MBAYA SANA
ALAFU BADO NA DOLI LAO KAMA POWER BANK, KAMA
NDIO MLIO TUMWA NA WANANCHI WENU HAYO
ENDELEENI, hawa jamaa wa cdm sio wastaharabu hata
kidogo ni
wahuni sijui nani anaendekeza huu upuuzi wao naona
kama wanawalealea sana, znz tume bado haijatangaza
raisi ni nani maana yake bado raisi ni yule yule
aliyekuwepo madarakani ss hapo kipi kigumu kuelewa,
mambo mengine si yakukariri ni ya kuelewa jamani

una govi? mh.... unachafua hewa
 
Wanafki baba zenu kudadadeki zenu nyinyi wote mnaomuandama mzalendo na shujaa wetu zitto.
 
Msiwe wapumbavu,sasa unafiki wa zitto uko wapi hapo...kwan ilikuwa ni lazima yy kutoka nje kwasababu tu ni mbunge wa upinzani?
 
Hakuna mwanasiasa asiye mnafiki...wanachotofautiana ni kiwango tu cha unafiki...

hapo umeongea bhandu8, watu wanautambua unafki wa zitto tu ila wanasahau unafki wa kumsafisha lowasa kuwa si fisadi
 
Back
Top Bottom