okyo
JF-Expert Member
- Mar 16, 2013
- 2,003
- 1,508
Lakini sidhani kama Zitto amefanya kosa nyinyi si mlimfukuza chadema kwanini mnataka afuate sera zenu wakati yeye siyo mwana ukawa anajua alichotumwa na wananchi wake, kitendo cha wabunge wa upinzani kuzomea ni cha kijinga sana na kwa mtu anayeshabikia hili naye ni.......... hovyo kabisa.
Ulitaka wabunge wafanye nini labda ni lini njia za kidiplomasia zimezaa matunda tz kuna migogoro kibao lakin ikiwa upande wa serikal tu ujue haki ni lazima ipindishwe au wewe hauoni haya?
Sasa wewe ambae unasupport haya na ambae ametoka na kuzomea bungeni nani hovyo?
Ili ilikuwa ni njia ya kuweza fikisha ujumbe kwa maana njia zote zimeshindikana hivyo iyo ilikuwa ni last resort