Leo kadhihirisha rangi zake halisi hata kwa waliokuwa hawajamwelewa. Kwa hiyo uhalisia kati ya Usaliti na uzalendo umekuwa katika 'Blacka and white'
Ulitaka wabunge wafanye nini labda ni lini njia za kidiplomasia zimezaa matunda tz kuna migogoro kibao lakin ikiwa upande wa serikal tu ujue haki ni lazima ipindishwe au wewe hauoni haya?
Sasa wewe ambae unasupport haya na ambae ametoka na kuzomea bungeni nani hovyo?
Ili ilikuwa ni njia ya kuweza fikisha ujumbe kwa maana njia zote zimeshindikana hivyo iyo ilikuwa ni last resort
Zitto kwa kusimamisha wagombea ubunge 240 na kushinda kiti kimoja, pamoja na kusimamisha mgombea urais mwanamke na kumtembeza nchi nzima na kuambulia kura 96,000 (Sawa na kura za Janken Kasambala na Fahmi Dovutwa aliyepiga kampeni Kilwa Kivinje pekee) ilitakiwa apate fundisho la namna ya kuendana na siasa za Tanzania. Kwa sasa ni bora aachane na siasa za upinzani na kujiunga na CCM kwa vile habari yake ndio inaisha katika bunge hili. Kwa kweli leo amechanga karata zake vibaya na ameanza vibaya. Bora angelala nyumbani asiingie bungeni kuliko kubaki na kuonekana ni CCM
HALAFU WANASEMA CHAMA KINA MWANASHERIA SIJUI
KAZI YAKE NINI, AKILI ZA KUSHIKIWA MBAYA SANA
ALAFU BADO NA DOLI LAO KAMA POWER BANK, KAMA
NDIO MLIO TUMWA NA WANANCHI WENU HAYO
ENDELEENI, hawa jamaa wa cdm sio wastaharabu hata
kidogo ni
wahuni sijui nani anaendekeza huu upuuzi wao naona
kama wanawalealea sana, znz tume bado haijatangaza
raisi ni nani maana yake bado raisi ni yule yule
aliyekuwepo madarakani ss hapo kipi kigumu kuelewa,
mambo mengine si yakukariri ni ya kuelewa jamani
Huyu jamaa ponea yake ahamie tu ccm ,vinginevyo anapoteza muda kama mrema
Lakin hata angetoka angeungana na nani ingali upinzani haumtambui km mpinzani mwenzao?
Na kweli mkuu, huyu zitto ni msaliti haswa na amepigiwa makofi naona roho yake saaaaafi wala haya haoni, ni majuzi tu alisema anaitaka tume ya uchaguzi znz kuendelea kutangaza matokeo, kama ni mpinzani unakuwa mpinzani na wenzio au chama tawala:what: