Unafki wa karne wa Zitto Kabwe

Unafki wa karne wa Zitto Kabwe

Nyie ndio washamba kazi kuchukua posho halafu hamfanyi tulicho watuma ushamba umewazidi ngoja muone watanzania si washamba kma kweli tunataka mabdiliko ila si kwanamna hiyo vijitu vyenyewe hata pesa ya suti mmekopeshwa bado mnakelele
 
zzk yupo sahihi Angeungana na ukawa walio mkataa watu wengi zaidi wangemshangaa kwa kujipendekeza kwa walio mkataa,
 
Na kweli mkuu, huyu zitto ni msaliti haswa na amepigiwa makofi naona roho yake saaaaafi wala haya haoni, ni majuzi tu alisema anaitaka tume ya uchaguzi znz kuendelea kutangaza matokeo, kama ni mpinzani unakuwa mpinzani na wenzio au chama tawala:what:

si alifukuzwa chadema sa kinachowauma ni nini?
 
Binafsi si mara yangu kumuona zitto kufanya maamuzi kama haya kwanza ilikuwa ngumu kuchukua uamuzi ule kwa sababu anauhusiano mzuri and CUF but ilibidi achague career yake au asimame pamoja na upinzani.....Zitto anategemea wabunge wa CCM kumpigia kura kuwa mwenyekiti wa hesabu za serikali(PAC) anajua fika akisimamisha jina lake upinzani hawatampa kura so ilibidi achague awatose rafiki zake wa CUF au awapigie magoti CCM apate kura akigombea uenyekiti this is very calculated risk move kwa sababu ni ngumu kutenganisha Zanzibar na CUF........Vyama vyote include CCM plus ACT plus CHADEMA wanahitaji ushirikiano wa CUF kutawala vizuri Zanzibar...uamuzi huu utamcost zitto maisha yake yote ya kisiasa ndio hivyo maji yameshamwagika.
 
angeondoka angeambiwa anajipendekeza amebaki et mnafki kua mchg ni ujinga mtupu nashukuru kuepushiwa hilo kbl
 
huyu mtu ni ndumirakuwiri mkubwa sana.
 
Zitto Kabwe hesabu zake ni za mbele sana. Tunaomjua toka enzi za Daruso hatupi tabu. Hesabu zake zipo Kamati ya Bunge ya PAC-kamati ya mashirika ya umma. Huko ndiko kuna NSSF na TANAPA. Tu-NGO twake tunapata pesa kupitia huko baada ya yeye kufanya lobbying kwa niaba ya mashirika hayo. Mfano ni pale alipokuwa akishawishi mgodi wa Kiwira wapewe NSSF ili wazalishe umeme bila kutoa sababu za kwanini NSSF na sio PPF, PSPF au NHIF au shirika lingine lolote la umma lenye mtaji? Wengine tuliiona pembetatu ya NGO-Zitto-Dau(NSSF).

Zitto anawahitaji CCM wampe uenyekiti wa PAC ili walau nyota yake na ACT isimezwe na ukawa kama ilivyokuwa ktk uchaguzi mkuu ambapo chama chake kiliambulia mbunge mmoja na chini ya 1% ya kura za urais. Ndoa yake na CCM itadumu kwa muda kama zilivyodumu ndoa za Mrema na CCM, Cheyo na CCM.
 
Watu walisema zitto ndo kafia pale alipokuwa amefukuzwa chadema,tena hatakuja tena kurudi bungeni,lakn watz wanajua zzk alipoutoa upinzani hadi hapa palipojaa watoto wa kuzomea zomea,si level ya zzk siasa za chadema za sasa c za wale wajenga hoja wa miaka ile ya nyuma,na ndo anakuja juu,act inapanda hivyo
 
Kwahiyo ulitaka apige makelele pale bungeni kama mvuta bangi ndio aonekane siyo mnafiki? Mtu mwenye akili na busara hawezi kufanya upumbavu uliofanywa na wapinzani leo.ndio maana tunasema upinzania kuja kutawala nchi hii itachukuwa miaka mingi sana.
 
Zitto ameweka wazi msimamo wake kuhusu ZNZ tena in Black and White kwani kaukanusha? kama amekanusha hapo ningemuona kigeugeu lakini kwa kuendelea kukaa Bungeni hiyo ni Uhuru wake,mbona kuna wapinzani wengine waliendelea kusikiliza hotuba ya Mhe Rais Magufuli kwenye Redio na kuangalia TV hawakususa.
 
Chadema acheni ujinga na utoto. Ivi kutokuafiki jambo ni lazima upige mikelele au uzomee zomee? Madada wa cdm achen ujinga. Wananchi hawataki hayo.

teh teh teh..hawa jamaa ni hopeless kabisa!...ila waache waendelee na mikelele na zomeazomea kama wehu,sisi tuna- #TumbuaMajipuTu!
 
Back
Top Bottom