wadau nnaombeni mchango wenu:
hivi ingekuwaje wanaume nao wangekuwa wanabeba mimba? mkisha fanya ngono mimba ni fifte fifte kwa mwanaume au mwanamke. maza aliniambia wangekuwa wanabomoa nyumba kwa kula udongo!! we unaona ingekuwaje ?
wadau nnaombeni mchango wenu:
hivi ingekuwaje wanaume nao wangekuwa wanabeba mimba? mkisha fanya ngono mimba ni fifte fifte kwa mwanaume au mwanamke. maza aliniambia wangekuwa wanabomoa nyumba kwa kula udongo!! we unaona ingekuwaje ?
Hata kwa sasa inawezekana inawezekana ukitaka kuamini mpatie bint mimba afu nenda sumbawanga waambie unataka ikuhamia athama vyema kabisa na utakuwa amebeba mimba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.