Mchina mmoja alienda sokoni kununua doriani ila hajuwi doriani linavyoitwa kwa kiswahili na maongezi yalikuwa hivi:- Mchina: jambo? Muuzaji: sijambo karibu. Mchina: mm nataka ile kitu tamu lakini ina harufu mbaya...... jee kama ww ni Muuzaji unafikiri anataka nini? Utamchukuliaje!