Unafiki wa Waarabu wadhihirika duniani

Unafiki wa Waarabu wadhihirika duniani

Status
Not open for further replies.
"The Lucifer Principle" cha Howard Bloom kinaelezea yote haya. Ukukisoma wala huwezi kushangaa shangaa hawa sijui waaarabu wamefanya hivi, hawa sijui waafrika wamefanya hivi.

en.m.wikipedia.org/wiki/The_Lucifer_Principle
 
Tushawapa jibu,wanakwenda kule kimkakati,au hujui kuna sharia law sikuhizi hata uingereza?..hivi vitu vinaenda taaaaratibu hadi watajaa huko
Nawapa sana pongezi hawa waarabu wanaokimbili Ulaya unachofanya ni mkakati maalumu.

Kama hawa wazungu walitumia hiyo hiyo bahari ya Mediterranean kusafirishia makombora na ndege za kivita kwenye Manowali zao na kuzishambulia nchi za kiarabu kama Libya, Iraq na Afghanistan pamoja na Mali.

Waarabu wanatumia bahari hiyo hiyo kwenda kwao Ulaya, toka lini Libya ilikuwa na wakimbizi.

Wakimbizi 25.000 walipewa hifadhi UK na 75.000 Germany hawa baada ya miaka kumi lengo lao litatimia Ulaya itakuwa mali yako na hivi wazungu hawataki kuzaa.
 
Wao walivyoua maelfu ya watu World Trade Center ulitegemea nini? Tena waliua watu wa kila taifa duniani watu wasio na hatia. Na watahangaika sana na hii dunia. Wao walishangilia sana. Na kumbuka maneno ya Saddam na Gadafi baada ya tukio lile!. Wamejikataa wenyewe sasa. Aibu
Libya, Syria, Iraq walishambulia world trade centre?
 
Zamiluni

Mfano wangu wa Qatar kutokana na utajiri wao.

Sasa Africa nchi gani wakimbilie hao ndugu zetu kama nia ni kutafuta maisha bora? Manake mkimbizi wa vita hachagui nchi ya kuomba hifadhi, ppopote pale anapokaribishwa anashukuru.
 
Huu unyama wa haya mabomu ya drones watu hawaoni wanasema waarabu wana laana daa!!

Kwahio drones ikianguka nyumbani kwako unaenda kumchukua mwanao unamchinja au jirani yako?

tatizo kusema waarabu wana laana mmechukulia waislamu wana laana; ndio maana nikawakumbusha kwamba sio waarabu Wote ni waislamu kuna wakristo pia.
 
Hili swala tulikuwa tunazungumzia juzi tu kazini.

Nchi kama Qatar,utajiri wote kwanini hawawachukui hawa ndugu zao?

Cha ajabu hao waarabu leo wanasaidiwa kesho wanaenda kujilipua kwenye nchi hio hio waliombaa hifadhi.

Hawa watu laana ya kuwa na chuki inawaangamiza vibaya.
Matatizo tulionayo watanzania ni kutokujua vita,hivi unadhani kuna option ya kuchagua ukimbilie nchi unayotaka wewe? Mkimbizi anayekimbia vita anaangalia ni wapi salama kwa wakati huo, wengi wanaoenda Europe kutoka syria njia pekee salama kwa watu wa aleppo ni baharini na kuelekea baharini na Qatar lazima upite Iraq kwenye vita, wale wa damascus wanaingia Lebanon.

Sasa ndugu yangu, hiyo vitu unavyoongea wewe ni ya kupanda ndege na siyo majini angalia ramani umbali kwenda Qatar na europe,vita ikitokea mbeya tanga morogoro kote vita, kama uko Dar utakimbilia Madagascar au comoro, ndiyo nchi I like karibu nawe.

Kwa wa mbeya wataenda Malawi na Zambia wa rukwa wanaenda kongo hiyo hauna option. Nawashauri kabla hujazungumzia kama ni professional basi volunteer kambi ya wakimbizi hata mwezi moja katika maisha na utajifundisha mengi.
 
Ajabu ni kwamba hata mswahili wa Mbagala akisikia mwarabu anasemwa naye anakasirika utadhani wanashare baba. Utumwa wa kifikra nao ni mbaya sana

Nakubaliana nawe kwa hili mkuu.. Nadhani kuna haja ya kutofautisha uarabu na uislamu. Sipo biased kabisa na lawama zangu nyingi kwa wazungu kwa kuharibu maisha ya watu wa mashariki ya kati. Lakini upande wa pili vipi kuhusu vita ya waarabu kwa waarabu(ama nisomeke waislam ndo sawa?) naongelea Yemen ambapo wa saudia (ambao ni ma sunni) wanalipua miji kwa magruneti ya kurushwa toka angani dhidi wakiwapiga wa yemen wa madhebu ya shia wanaoungwa mkono na Iran..

Hapo pia ni makafiri wanapigana? Vipi misri? Muslim brotherhood ambao ni sunni wakipambana na serikali yao? Makafiri pia hapa? Vipi waturuki ma sunni dhidi ya wa kurdi? Hapo makafiri pia?

Vipi qatar kumpiga gaddafi kwa midege na mibomu hapo ni makafiri pia? Vipi saddam kuwatwanga kuwait? ( ingawa hii ni zaman kidogo).. Vipi lebanon ma shia wa hizbolla kutandikana na hamas wa gaza? Hapa pia makafiri wanahusika?
 
Mfano wangu wa Qatar kutokana na utajiri wao.

Sasa Africa nchi gani wakimbilie hao ndugu zetu kama nia ni kutafuta maisha bora? Manake mkimbizi wa vita hachagui nchi ya kuomba hifadhi, ppopote pale anapokaribishwa anashukuru.
Ndg. OC, acha nipate wasaa, ntakujibu kuhusu Qatar na utajiri wao uutakao.... mie nimeishi miaka kadhaa. !!

Kusema kweli wengi tumeathrika na kuhuzunika kwa jangaa hili na macho kufumbia.....
 
hiI ishu imeongelewa mpaka katika gazeti la washington post,,,,hii maana yake ni kuwa wazungu wanahisi kubanwa na hao waarabu huko kwao ndo wameanza kama kampeni fulani,sasa kwa bahati mbaya ni kama wanampigia mbuzi gitaa
 
Mimi sina dini na wala siamini uwepo wa mungu. Mambo ya kiparokia niliyoyazoea yapi?

Nisome kitu gani wakati articles zako hazi address swali langu?

Wapi katika articles zako kuna jibu la swali langu?

Mungu ndio nani au nini?

Na dini ni nini?
 
Nakubaliana nawe kwa hili mkuu.. Nadhani kuna haja ya kutofautisha uarabu na uislamu. Sipo biased kabisa na lawama zangu nyingi kwa wazungu kwa kuharibu maisha ya watu wa mashariki ya kati. Lakini upande wa pili vipi kuhusu vita ya waarabu kwa waarabu(ama nisomeke waislam ndo sawa?) naongelea Yemen ambapo wa saudia (ambao ni ma sunni) wanalipua miji kwa magruneti ya kurushwa toka angani dhidi wakiwapiga wa yemen wa madhebu ya shia wanaoungwa mkono na Iran..

Hapo pia ni makafiri wanapigana? Vipi misri? Muslim brotherhood ambao ni sunni wakipambana na serikali yao? Makafiri pia hapa? Vipi waturuki ma sunni dhidi ya wa kurdi? Hapo makafiri pia?

Vipi qatar kumpiga gaddafi kwa midege na mibomu hapo ni makafiri pia? Vipi saddam kuwatwanga kuwait? ( ingawa hii ni zaman kidogo).. Vipi lebanon ma shia wa hizbolla kutandikana na hamas wa gaza? Hapa pia makafiri wanahusika?

Asante mkuu.

Tatizo liko hapo watu wanashindwa kutengenisha uislamu na uarabu. Wanahisi kwamba ukiwazungumzia waarabu basi unazungumzia uislamu.

Hao hao ukizungumzia ukristo wanahisi unazungumzia wazungu.

Dini zimetutenganisha sana, imefikia wakati sasa turudishe ubinadamu wetu na tuheshimiane kwa ubinadamu wetu na sio rangi, makabila au dini zetu.

Kuna mambo mengi muhimu ya kufanya kuendeleza maisha yetu na kupata furaha zaidi ya chuki ya makabila, dini au rangi.
 
Waliosababisha ukosefu wa utulivu katika hayo mataifa ya waarabu ni wakina nani? Hao waliopeleka vita Iraq, Syria, Libya n.k ndio wabebe mzigo wa wakimbizi.
ni wenyewe waarabu! Sawa?
 
Umesahau Tariq Aziz [alikuwa Wazir wa Mambo ya Nje wa Iraq chin ya Saddam Hussein] alikuwa mkristo Mkatoliki?

Mkuu uko sawa. Kimsingi kuna waarabu wengi sana ndani ya mashariki ya kati ambao ni wakristo.. Wapo jordan wapo syria wapo iran nakadhalika.. Angalia hapa kwa ufahamu zaidi. ..

en.m.wikipedia.org/wiki/Arab_Christians
 
Wao walivyoua maelfu ya watu World Trade Center ulitegemea nini? Tena waliua watu wa kila taifa duniani watu wasio na hatia. Na watahangaika sana na hii dunia. Wao walishangilia sana. Na kumbuka maneno ya Saddam na Gadafi baada ya tukio lile!. Wamejikataa wenyewe sasa. Aibu

Hivi bado unaamin osama ndo alilipua pale? hakuwa na jeuri hiyo,
 
Waliosababisha ukosefu wa utulivu katika hayo mataifa ya waarabu ni wakina nani? Hao waliopeleka vita Iraq, Syria, Libya n.k ndio wabebe mzigo wa wakimbizi.
Umesema kweli,nchi za magharibi,Ulaya na America,ndio waliochechea vita.
 
Hao wazungu kubebeshwa huo mzigo ni Sawa kwani hayo matatizo wao ndo wamesababisha
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom