Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,603
- 29,748
Sakata la kukamatwa mchora vibonzo Optter Fwema limetokea huku kukiwa na kilio cha kukosekana kwa uhuru wa maoni na ukandamizaji haki za raia.
Ukiondoa mitandao ya kijamii, hakuna chombo cha habari kilichoratibu mtiririko wa kesi ya ugaidi dhidi ya Mbowe.
Na kibaya zaidi kwenye hili sakata la mchora katuni Optter hakuna chombo cha habari kilichoripoti, hakuna tamko hata kutoka kwa Baraza la Habari Tanzania (TMC) wala MISA-Tan
Mashirika kama BBC, DW na mengineyo wameshaanza kutoa updates za kinachoendelea nchini.
Hii ndoa ya mitala baina ya vyombo vya habari na serikali ni wazi itapelekea ugumba kwenye uzishaji wa habari zenye mantiki.
Mitandao ya kijamii inageuka kuwa reliable source kwa taarifa nyingi muhimu kijamii.
Idumu JamiiForums
Ukiondoa mitandao ya kijamii, hakuna chombo cha habari kilichoratibu mtiririko wa kesi ya ugaidi dhidi ya Mbowe.
Na kibaya zaidi kwenye hili sakata la mchora katuni Optter hakuna chombo cha habari kilichoripoti, hakuna tamko hata kutoka kwa Baraza la Habari Tanzania (TMC) wala MISA-Tan
Mashirika kama BBC, DW na mengineyo wameshaanza kutoa updates za kinachoendelea nchini.
Hii ndoa ya mitala baina ya vyombo vya habari na serikali ni wazi itapelekea ugumba kwenye uzishaji wa habari zenye mantiki.
Mitandao ya kijamii inageuka kuwa reliable source kwa taarifa nyingi muhimu kijamii.
Idumu JamiiForums