Unafiki wa Sitta na Mwakyembe

Unafiki wa Sitta na Mwakyembe

Watu wa JF wanamwabudu mwakyembe kama Mungu na wanamwita JEMBE. Hawawezi kukuelewa kama mwakyembe ni janga kuliko maelezo lakini anajua kucheza na media na akili za watanzania.
bado sijaamini pamoja na kumkoboa magamba yote nufu mfu lakini bado anajipendekeza kwa ccm? nafikiri msumari wa mwisho wa yeye na pacha wake sitta ndiyo huu kwamba waliudanganya umma kuhusu Richmond - nasubiri movie ianze.

ningekuwa mimi ningeachana na siasa na kurudi kwa familia yangu niwaombe radhi kwa yote yaliyotokea.
 
NI MIMI NA WEWE TU WENYE UPEO MDOGO WA KUFIKIRI TULIOJAA UPUMBAVU NDO TUNAONA ILIFAA SERIKALI IINUNUE MITAMBO HII TOKA MWANZO LAKINI WENYE AKILI PEVU NA PANA KIMTAZAMO WALISHAONA KUWA MITAMBO HII ILIPASWA KUBINAFSISHWA BURE BILA YA KUTOA HATA SHILINGI ILA KWA KUWA TUNA VIONGOZI WEPESI NA DHAIFU KIUTENDAJI NDO WALIOSABABISHA YOTE HAYA MPAKA TUNATAKIWA KULIPA FIDIA NA GHARAMA ZA KESI ZA DOWANSI. SASA KOSA NI LA NANI HAPO?

1. Mwakyembe na Sita - waliounda na kuwa katika tume ya kubaini ukweli wa jambo husika Richmond
2. Lowasa na Rostam - wamiliki wa Richmond na Dowans
3. Bunge - Taasisi iliyojadili na kutolea uamuzi suala hisika la Richmond na Dowans
4. Serikali - Taasisi iliyotakiwa kutekeleza maazimio ya bunge ikiwemo kubinafsisha mitambo

SASA KAMA UNA AKILI PANA UTAPATA JIBU KUWA NI NO.4 LAKINI KAMA NA WEWE UNA AKILI SAWA NA MIMI KIAKILI JIBU LAKE HAPO NI NO.1

NA WENYE JIBU NO. 1 WOOOTE NDIO HAO WALIYOKO CCM WANAOTULETEA MAJANGA NDANI YA TAIFA LETU.

Hoja za wengi kwenye thread hii zimetolewa kishabiki bila kufikirisha vichwa vyao... Lakini hii iko bomba sana. Big up!
 
Hivi hapa kosa la Mwakyembe na Sitta ni lipi? Kamati ya bunge iliyoongozwa na Mwakyembe kazi yake kubwa ilikuwa ni kuchunguza uhalali wa mkataba wa Richmond pamoja na uwezo wa kampuni yenyewe wa kuzalisha umeme na ilidhihirika kwamba mkataba ulikuwa na matatizo na kampuni yenyewe haikuwa na uwezo, kwa hiyo hapo kosa la hao watu ni lipi?

Kama ni kumsafisha huyo Lowasa basi rudi ukamwambie akufungashie na brush kabisa

Kosa lao kubwa ni kumwangusha Lowasa pekee na kuilinda serikali kwa kuficha mambo waliyoyaona. Kama serikali wakati ule ingeanguka, ni kweli tungepata hasara fulani lakini pia watu wangejifunza kuwajibika na huu utapeli usingeenelea kama ilivyo leo.

Haya ni maneno ya msingi!... Ufisadi wa RICHMOND na DOWANS hauwezi kamwe kusafishwa kwa ujanja ujanja tu!... Hili ni lazima wananchi wote wajue na kulisimamia.
 
Tatizo ni Uwaziri Mkuu,nimemwandikia Barua Mh Rais ya kuomba kujiuzuru"E.N.Lowasa
"VV"
 
Tatizo ni Uwaziri Mkuu,nimemwandikia Barua Mh Rais ya kuomba kujiuzuru"E.N.Lowasa
"VV"
 
OBAMA ni nani hasa yeye asiingizwe kwenye mchezo huu ili afunike aibu ya wakubwa?
Kwa ufupi hata angeletwa papa kubariki mitambo hiyo UKWELI unabaki palepale LOWASA na wenzake walikula Rushwa na kuingia mkataba wa utapeli wa Richmond, baada ya hapo kampuni Halali kama Symbion leo ndio wanaendesha mitambo hiyo kutokea Marekani, SASA kama Lowasa alisingiziwa basikwanini Richmond ilifutwa kwenye ramani ya biashara haraka hapa TZ?
Wether Mwakyembe na Wenzake wanamakosa au walishauri vibaya baada ya hapo(siwatetei) lakini haiwezekani LOWASA akakwepa dhambi ya RUSHWA aliyoshiriki kwa kampuni FEKI ya RICHMOND.
This game is known.
 
Ndiyo maana kuna wakati ninafika naona kwa kweli pamoja na mambo mengine rais Kikwete ni mvumilivu. Ebu jaribu kuwaza jinsi watu hawa walivyokuwa wanatangaza kila mahali wanataka kuuliwa na kwamba wanachukiwa sana kwa kuwa ni wapenda haki na wafichua mafisadi. Lakini rais kwa kujua ni njaa zao tu na uchu wa madaraka alipowapa uwaziri wote wametulia kana kwamba hawajawahi kuliletea taifa hili hasara za ajabu. Hivi mitambo hii si ndiyo ile Zitto alisema serikali iinunue wakamjia juu. Sasa kiko wapi? Sitta na Mwakyembe wana kesi ya kujibu kama siyo hapa duniani basi mbinguni. Halafu mbaya zaidi sana wote ni wanasheria.

Edo's project
 
Mitambo kununuliwa na Symbion hadi kuzinduliwa na Obama haihalalishi ufisadi uliofanywa na kina EL na kundi lake. Kama walionewa waende mahakamani.

Tujiulize, wako wapi wale vijana, maafisa wa TAKUKURU waliochunguza awali halafu bosi wao akaichakachua, kwa nini walishughulikiwa hadi wengine wakaamua kuacha kazi???

Walichobaini Kamati Teule ya Bunge ndicho kile kile kilichoibuliwa na vijana wale, lakini badala ya kupewa heshima yao kama wazalendo wa kweli wakashughulikiwa hadi leo wanaongopa kulizungumzia suala hilo na wengine waliacha kazi kuhofia maisha yao.

EL aliingilia mchakato wa manunuzi wa mamlaka asiyokuwa na legal authority nayo, kama angependa basi ofisi yake ya WM ingenunua hiyo mitambo na kuikabidhi TANESCO na sio kuwalazimisha TANESCO ambayo ni mamlaka tofauti ya manunuzi asiyokuwa na nguvu nayo kisheria.
 
Dowans wameshinda kesi ya Kimataifa , fedha wanalipwa, mitambo walioisema chakavu imeuzwa na ndiyo inatumika mpaka leo.

Hawa wameisababishia taifa hasara kubwa sana. Kama serikali ingenunua hii mitambo tungekuwa tumekwepa kununua umeme kwa gharama kubwa sana.

Hawa watu hawastaili kuwa viongozi kabisa. Chuki walizokuwa nazo kwa Lowassa zimekuja kuigharimu nchi.

HAWA WATU NI HATARI KWA TAIFA HILI NI WAKUOGOPWA KULIKO UKIMWI
Acha uchonganishi na kupandikiza chuki, nani kasema kuwa Richmond haikuwa kampuni feki na ya kubumba? kwani Lowasa alijiudhuru kwa sababu ya Dowans au Richmond? acha kujenga chuki kwa jamii bial kuwa na sababu za msingi.
 
Hivi hapa kosa la Mwakyembe na Sitta ni lipi? Kamati ya bunge iliyoongozwa na Mwakyembe kazi yake kubwa ilikuwa ni kuchunguza uhalali wa mkataba wa Richmond pamoja na uwezo wa kampuni yenyewe wa kuzalisha umeme na ilidhihirika kwamba mkataba ulikuwa na matatizo na kampuni yenyewe haikuwa na uwezo, kwa hiyo hapo kosa la hao watu ni lipi?
Sitta na Mwakyembe hawana kosa kama mleta maada anavyotaka kutuaminisha, acha ushabiki wakisiasa mwenye chuki mbaya unaoweza kubomoa umoja wa nchi.
 
Kweli nimeamini waTanzania ni bure kabisa.Obama kutembelea mitambo ya Dowans kumehalalisha kila kitu !.Tafadhali tupunguze uvivu wa kufikiri.
 
Kweli mkuu hawa jamaa wanakesi ya kujibu. Siku zote njia za waongo ni fupi.

Suala halikuwa mitambo chakavu au mipya, walichokuwa wanachunguza ni Tender Procedure zilifuatwa? je kampuni ilikuwa na uwezo wa kutoa huduma hiyo? ukipata majibu hayo ndio utasema kuwa hawakuwa fair, kama si hivyo maamuzi ya kipindi hicho ni sahihi.
 
NI MIMI NA WEWE TU WENYE UPEO MDOGO WA KUFIKIRI TULIOJAA UPUMBAVU NDO TUNAONA ILIFAA SERIKALI IINUNUE MITAMBO HII TOKA MWANZO LAKINI WENYE AKILI PEVU NA PANA KIMTAZAMO WALISHAONA KUWA MITAMBO HII ILIPASWA KUBINAFSISHWA BURE BILA YA KUTOA HATA SHILINGI ILA KWA KUWA TUNA VIONGOZI WEPESI NA DHAIFU KIUTENDAJI NDO WALIOSABABISHA YOTE HAYA MPAKA TUNATAKIWA KULIPA FIDIA NA GHARAMA ZA KESI ZA DOWANSI. SASA KOSA NI LA NANI HAPO?

1. Mwakyembe na Sita - waliounda na kuwa katika tume ya kubaini ukweli wa jambo husika Richmond
2. Lowasa na Rostam - wamiliki wa Richmond na Dowans
3. Bunge - Taasisi iliyojadili na kutolea uamuzi suala hisika la Richmond na Dowans
4. Serikali - Taasisi iliyotakiwa kutekeleza maazimio ya bunge ikiwemo kubinafsisha mitambo

SASA KAMA UNA AKILI PANA UTAPATA JIBU KUWA NI NO.4 LAKINI KAMA NA WEWE UNA AKILI SAWA NA MIMI KIAKILI JIBU LAKE HAPO NI NO.1

NA WENYE JIBU NO. 1 WOOOTE NDIO HAO WALIYOKO CCM WANAOTULETEA MAJANGA NDANI YA TAIFA LETU.
....Buchoo! jibu basi hoja za huyu great thinker!
 
EL arudishiwe uPM wake,

Kama akiwa PM alisema wafanyakazi wakiongezewa Mishahara nchi haitatawalika na mfumuko ndio huo wa bei, akirudishiwa watapona? Shame on you? Sasa wafanyakazi wariongezewa na imekuwa afadhali japo bado tulifanyiziwa saaana.
 
Kama akiwa PM alisema wafanyakazi wakiongezewa Mishahara nchi haitatawalika na mfumuko ndio huo wa bei, akirudishiwa watapona? Shame on you? Sasa wafanyakazi wariongezewa na imekuwa afadhali japo bado tulifanyiziwa saaana.
EL ni kichwa kuliko ma'CCM yote wewe.
 
Hili mapema zitto
aliliona akashauri serikali inunue ile mitambo,lakini kwa sababu nchi ya
wanasiasa kila kitu kinaendeshwa kwa siasa hakuna cha maana,tunakuja
kukumbuka shuka kushakucha,mambo mengine yakitaalamu wangeachiwa
wataalamu wanasiasa wangekaa pembeni,lakini kila kitu tunaamuliwa na
wanasiasa maendeleo yatakuja mwaka 3000

na huo mwaka 3000 hakutakuwa na vizazi vya hawa wafalme panya, watakuwa wameshahamia usa
 
Mkurugenzi mkuu wa TANESCO wakati ule alisema mitambo ile mizuri tununue. Wanasiasa uchwara sasa "oooh mitambo mitumba ile mibovuuu imechokaa hatuwezi kununua mitumba", huyu mwanasiasa anayewaambia hivi hata hana ushahidi wowote au hajatumia reference yeyote ya kitaalam zaidi ya kubwabwaja tu na hata ukimuuliza specifications za mitambo anayoizungumzia yeye hajui. Na hapo ndio nchi yetu ilipofika wakiongea wanasiasa ndio wanasikilizwa maana wao wanayo Platform ya kuzungumzia nani anawasikiliza wataalam waliopo vyuoni? ndio maana na wao wanataka kuwa wanasiasa siku hizi wanatafuta majimbo. Hawa wakina Sitta ni watu hatari sana we were two steps ahead wameturudisha 10 steps back , thank god tunaye rais ambaye ni mvumilivu otherwise wangekuwa CCJ sasa hivi.

Watanzania mmejaliwa UNAFIKI!! Kwa hili hata rais Kikwete hachomoki kwani ni kipi ambacho hakukijua kuhusu issue ya Richmond/Dowans?
 
Oooh,mitambo hiyo ni chakavu haifai,bora tuagize mipya.
Mkurugenzi wa tanesco akasema tuinunue...aah wapi sheria ya manunuzi inakataa kununua vitu chakavu,MY FEET.
 
Back
Top Bottom