John Okello
JF-Expert Member
- Sep 24, 2014
- 459
- 207
*Mtandao wao wa kumchafuwa na kumpoteza Lowassa wazidi kuparaganyika
kwa wasiofahamu Samweli Sita ni kiongozi Pekee aliyethibitika kuwahi kumuudhi Mwalimu Nyerere kiasi cha kupoteza Imaan naye...... akiwa mwanafunzi chuo kikuu Udsm kitivo cha Sheria Samweli Sitta aliendesha Mapambano ya wazi kupinga Mfumo wa uendeshaji wa Chuo hicho.... Dhahiri shahiri akidai baadhi ya huduma kutokidhi ubora kwa mahitaji ya wanachuo hao....
J.okello nakumbuka Mwalimu akiwa katika ziara yake chuoni udsm alikutana na maandamano ya vijana wa chuo kikuu udsm maanadamano yalioongozwa na mzee Samwel Sitta akibeba bango lililoongoza kuonyesha hasira za wanafunzi kwa serekali ya mwalimu bango la sita lilikuwa likidai "Aheri Mkoloni Mweupe kuliko mkoloni mweusi" kauli hii ilijengeka katika madai ya sitta na wenzie kudai kupatiwa chai na mkate au uji wenye blue band na maziwa
Hii inaonyesha namna sitta alivyoanza uasi kwa serekali akiwa kijana mdogo kabisa wa makamo.... Na kama unavyofahamu jasiri haachi asili........ Siasa za sita za usaliti na unafiki hazikuishia katika viunga vya udsm aliendelea nayo hata pale alipokuwa kiongozi wa chama na serekali
Mara kwa mara Samweli Sitta amekuwa rafiki ndumi lakuili kwa wapinzani wa ccm sababu ya siasa zake za upinzani dhidi ya serekali ya chama chake, john Okello nakumbuka Mzee Samweli Sita alikuwa moja ya wanamtandao waliompigania JK kuingia madarakani Mwaka 2005 huku akitarajia kupewa nafasi ya Uwaziri mkuu japo hakuwa na sifa hiyo.......Jk alipoingia madarakani alimwacha samweli sitta na kumtaka akagombee uspika wa bunge na haya yalikuwa maazimio ya mtandao.......
Samweli alionyesha kukasirishwa na uwamuzi wa kamati kuu ya mtandao wao,alikubali kugombea uspika kwa shingo upande, kazi kubwa aliyoifanya sitta ni kuihujumu serekali ya ccm chini ya jk.......issue kubwa ikiwa ni uwaziri mkuu
Kuibana na kuruhusu mijadala isiyo na tija bungeni ilikuwa ni ishara ya chuki za wazi na dhahiri kwa jk na timu yake ya mawaziri na ishu kubwa ikiwa ni uwaziri mkuu.......alichokifanya samweli sitta ndani ya chama ni kuungana na walewote walio mpinga na kumkataa jk wengine wakiwa wale walio tamka wazi wazi ya kwamba jk hawezi kuwa raisi wa tanzania na ikitokea hivyo wataama nchi na ndani ya bunge aliungana na wabunge walioongoza kampeni za kumkataa jk na kuweka wazi hawawezi kuongozwa na mtu mgonjwa........urafiki kati ya Samweli sita na Mwakyembe au Samweli Sita na nape Unaondoa Mashaka juu ya Mahusiano yenye dhamira ya kukikwamisha ccm na serekali yake.....
Mwaka 2008 katika sakata la Richmond sita na mwakyembe na jasusi mmoja aliyekuwa naibu waziri wa wakati huo walitumika kuihujumu serekali ya ccm kwa kupanga mbinu na mikakati ya kuibua tuhuma ya richmond kuisimamia na mpaka kupatikana kwa matokeo ya tuhuma hiyo....... Ikumbukwe hapa ndio mwanzo wa uswahiba wa samweli sitta Mwakyembe na Membe ulipozidi kukuwa kwa kasi.....
Kubwa ilikuwa wafanikiwe kuihujumu serekali ya jk na waziri wake mkuu bwana edward lowassa, mtandao huu uliratibiwa kwa ujasiri ujasusi na umakini mkubwa mno katika kufanikisha dhamira yao ya kumhuju jk kupitia kwa waziri mkuu wake......
*Dhambi ya Usaliti yaanza kuwarudia na kuwatesa
Baada ya kufanikisha misheni yao kila mmoja alirudi katika nafasi yake ilikutafuta maslai yake binafsi mwakyembe na sita waliendelea kuwa wamoja mpaka pale mwakyembe alipochaguliwa kuwa waziri katika serekali ya mtu aliyemuita dhaifu na hafai kuwa mkuu wa nchii huku akimuunga mkono mwandosya....
Jasusi mbobezi yeye baada ya kumaliza kazi ya kwanza ya kumfitinisha jk na wanamtandao wenzie kina rostam na Lowassa alihamia ndani ya chama akichochea kuni ya dhana mpya ya vua gamba iliopandikizwa kimafia na wanamtando waliojiunga makusudi kummaliza lowassa ndani ya chama.....
Huku pia akitumia mbinu za kikachero kuwamaliza baadhi ya wanamtandao hofu yake kubwa ikiwa ni uchaguzi wa mwaka 2015, hapa ndipo dhambi ya usaliti ilipomtesa mwakyembe baada ya kukumbwa na dhahama ya magonjwa ya kutengenezwa na majasusi yeye na mfuasi wake mwandosya ambao wao Walikuwa wakifanya kampeni chafu ya kusema Jk Hafai kuwa rahisi wa nchi hii kwa sababu ni mgonjwa, kazi ya jasusi kutoka rondo iliwamaliza mwakyembe na mwandosya
Baada ya uchaguzi wa mwaka 2010 mbobezi alikuwa na kazi ya kuwashughulikia baadhi ya makada wakubwa katika chama wasirudi bungeni, jasusi wa rondo alifanya kwa muzihiri akafanikiwa na akafanya kwa Samweli Sita Japohakufanikiwa ila aliweza kuweka mazingira magumu..., utakumbuka mke wa Samweli sita Alikamatwa na Rushwa akigawa simu kwa wananchi hii ilikuwa ni kazi ya bm.....
Sita alihujumiwa na bm kwa kiasi kikubwa dhamira ya bm alijua ameshammaliza lowassa sasa Awamalize mwakyembe mwandosya na sita ili kufanikiwa 2015... Kutaka kuanzishwa kwa ccj kupitia nape aliyepewa kazi ya kumwingiza mkenge sitta ni dalili ya mpango kazi wa bm kumaliza sitta,kumbuka nape ni kijana mtiifu wa bm kila alichokuwa akikifanya ni mpango ulioratibiwa kibobezi na bm......
*Kinachofanywa na sitta sasa kwa mwakyembe ni kudhirisha yeye ni mnafiki katika siasa za msimamo
Tangu samweli aondolewe katika uspika nguvu yake kubwa ilipotezwa akakosa mahala pa kusimama imara ili kufanya siasa ngazi ya kitaifa jina lake likafifia......hata alipopelekwa wizara ya afrika mashariki alikwenda kusoma magazeti tuu maana hakukuna na kazi ya kumoa uhalali katika jamii
Kugeuka kwa Samweli sitta ni trick anayoitumia kupata umaarufu wa kisiasa kwa kumfanya mwakymbe ngazi au daraja lake kuvuka 2015...... Tangu kuingia wizara ya uchukuzi na usafirishaji wizara aliyokuwepo mwakyembe sitta amekuwa akimshughulikia vilivyo makwembe..... kwanza alianza kwa kufanya reshefle ya kuowaondoa watendaji mbalimbali waliowekwa na mwakyembe pili kuibua ufisadi uliofanyemwa na mwakyembe.....hapa kwa haraka haraka kuna picha inajengeka
Kwangu mimi john okello ni dalili ya uasi na urafiki wa mashaka ya kisaliti kwa hawa wanamtandao waliowahi kufanya kazi pamoja kwa nyakati tofauti ya kumharibia na kumpoteza lowassa
Ni mimi
Raia wa uganda niliyeshiriki mapinduzi ya zanzibar
John okello
kwa wasiofahamu Samweli Sita ni kiongozi Pekee aliyethibitika kuwahi kumuudhi Mwalimu Nyerere kiasi cha kupoteza Imaan naye...... akiwa mwanafunzi chuo kikuu Udsm kitivo cha Sheria Samweli Sitta aliendesha Mapambano ya wazi kupinga Mfumo wa uendeshaji wa Chuo hicho.... Dhahiri shahiri akidai baadhi ya huduma kutokidhi ubora kwa mahitaji ya wanachuo hao....
J.okello nakumbuka Mwalimu akiwa katika ziara yake chuoni udsm alikutana na maandamano ya vijana wa chuo kikuu udsm maanadamano yalioongozwa na mzee Samwel Sitta akibeba bango lililoongoza kuonyesha hasira za wanafunzi kwa serekali ya mwalimu bango la sita lilikuwa likidai "Aheri Mkoloni Mweupe kuliko mkoloni mweusi" kauli hii ilijengeka katika madai ya sitta na wenzie kudai kupatiwa chai na mkate au uji wenye blue band na maziwa
Hii inaonyesha namna sitta alivyoanza uasi kwa serekali akiwa kijana mdogo kabisa wa makamo.... Na kama unavyofahamu jasiri haachi asili........ Siasa za sita za usaliti na unafiki hazikuishia katika viunga vya udsm aliendelea nayo hata pale alipokuwa kiongozi wa chama na serekali
Mara kwa mara Samweli Sitta amekuwa rafiki ndumi lakuili kwa wapinzani wa ccm sababu ya siasa zake za upinzani dhidi ya serekali ya chama chake, john Okello nakumbuka Mzee Samweli Sita alikuwa moja ya wanamtandao waliompigania JK kuingia madarakani Mwaka 2005 huku akitarajia kupewa nafasi ya Uwaziri mkuu japo hakuwa na sifa hiyo.......Jk alipoingia madarakani alimwacha samweli sitta na kumtaka akagombee uspika wa bunge na haya yalikuwa maazimio ya mtandao.......
Samweli alionyesha kukasirishwa na uwamuzi wa kamati kuu ya mtandao wao,alikubali kugombea uspika kwa shingo upande, kazi kubwa aliyoifanya sitta ni kuihujumu serekali ya ccm chini ya jk.......issue kubwa ikiwa ni uwaziri mkuu
Kuibana na kuruhusu mijadala isiyo na tija bungeni ilikuwa ni ishara ya chuki za wazi na dhahiri kwa jk na timu yake ya mawaziri na ishu kubwa ikiwa ni uwaziri mkuu.......alichokifanya samweli sitta ndani ya chama ni kuungana na walewote walio mpinga na kumkataa jk wengine wakiwa wale walio tamka wazi wazi ya kwamba jk hawezi kuwa raisi wa tanzania na ikitokea hivyo wataama nchi na ndani ya bunge aliungana na wabunge walioongoza kampeni za kumkataa jk na kuweka wazi hawawezi kuongozwa na mtu mgonjwa........urafiki kati ya Samweli sita na Mwakyembe au Samweli Sita na nape Unaondoa Mashaka juu ya Mahusiano yenye dhamira ya kukikwamisha ccm na serekali yake.....
Mwaka 2008 katika sakata la Richmond sita na mwakyembe na jasusi mmoja aliyekuwa naibu waziri wa wakati huo walitumika kuihujumu serekali ya ccm kwa kupanga mbinu na mikakati ya kuibua tuhuma ya richmond kuisimamia na mpaka kupatikana kwa matokeo ya tuhuma hiyo....... Ikumbukwe hapa ndio mwanzo wa uswahiba wa samweli sitta Mwakyembe na Membe ulipozidi kukuwa kwa kasi.....
Kubwa ilikuwa wafanikiwe kuihujumu serekali ya jk na waziri wake mkuu bwana edward lowassa, mtandao huu uliratibiwa kwa ujasiri ujasusi na umakini mkubwa mno katika kufanikisha dhamira yao ya kumhuju jk kupitia kwa waziri mkuu wake......
*Dhambi ya Usaliti yaanza kuwarudia na kuwatesa
Baada ya kufanikisha misheni yao kila mmoja alirudi katika nafasi yake ilikutafuta maslai yake binafsi mwakyembe na sita waliendelea kuwa wamoja mpaka pale mwakyembe alipochaguliwa kuwa waziri katika serekali ya mtu aliyemuita dhaifu na hafai kuwa mkuu wa nchii huku akimuunga mkono mwandosya....
Jasusi mbobezi yeye baada ya kumaliza kazi ya kwanza ya kumfitinisha jk na wanamtandao wenzie kina rostam na Lowassa alihamia ndani ya chama akichochea kuni ya dhana mpya ya vua gamba iliopandikizwa kimafia na wanamtando waliojiunga makusudi kummaliza lowassa ndani ya chama.....
Huku pia akitumia mbinu za kikachero kuwamaliza baadhi ya wanamtandao hofu yake kubwa ikiwa ni uchaguzi wa mwaka 2015, hapa ndipo dhambi ya usaliti ilipomtesa mwakyembe baada ya kukumbwa na dhahama ya magonjwa ya kutengenezwa na majasusi yeye na mfuasi wake mwandosya ambao wao Walikuwa wakifanya kampeni chafu ya kusema Jk Hafai kuwa rahisi wa nchi hii kwa sababu ni mgonjwa, kazi ya jasusi kutoka rondo iliwamaliza mwakyembe na mwandosya
Baada ya uchaguzi wa mwaka 2010 mbobezi alikuwa na kazi ya kuwashughulikia baadhi ya makada wakubwa katika chama wasirudi bungeni, jasusi wa rondo alifanya kwa muzihiri akafanikiwa na akafanya kwa Samweli Sita Japohakufanikiwa ila aliweza kuweka mazingira magumu..., utakumbuka mke wa Samweli sita Alikamatwa na Rushwa akigawa simu kwa wananchi hii ilikuwa ni kazi ya bm.....
Sita alihujumiwa na bm kwa kiasi kikubwa dhamira ya bm alijua ameshammaliza lowassa sasa Awamalize mwakyembe mwandosya na sita ili kufanikiwa 2015... Kutaka kuanzishwa kwa ccj kupitia nape aliyepewa kazi ya kumwingiza mkenge sitta ni dalili ya mpango kazi wa bm kumaliza sitta,kumbuka nape ni kijana mtiifu wa bm kila alichokuwa akikifanya ni mpango ulioratibiwa kibobezi na bm......
*Kinachofanywa na sitta sasa kwa mwakyembe ni kudhirisha yeye ni mnafiki katika siasa za msimamo
Tangu samweli aondolewe katika uspika nguvu yake kubwa ilipotezwa akakosa mahala pa kusimama imara ili kufanya siasa ngazi ya kitaifa jina lake likafifia......hata alipopelekwa wizara ya afrika mashariki alikwenda kusoma magazeti tuu maana hakukuna na kazi ya kumoa uhalali katika jamii
Kugeuka kwa Samweli sitta ni trick anayoitumia kupata umaarufu wa kisiasa kwa kumfanya mwakymbe ngazi au daraja lake kuvuka 2015...... Tangu kuingia wizara ya uchukuzi na usafirishaji wizara aliyokuwepo mwakyembe sitta amekuwa akimshughulikia vilivyo makwembe..... kwanza alianza kwa kufanya reshefle ya kuowaondoa watendaji mbalimbali waliowekwa na mwakyembe pili kuibua ufisadi uliofanyemwa na mwakyembe.....hapa kwa haraka haraka kuna picha inajengeka
Kwangu mimi john okello ni dalili ya uasi na urafiki wa mashaka ya kisaliti kwa hawa wanamtandao waliowahi kufanya kazi pamoja kwa nyakati tofauti ya kumharibia na kumpoteza lowassa
Ni mimi
Raia wa uganda niliyeshiriki mapinduzi ya zanzibar
John okello