Unafiki wa Sitta na Mwakyembe

Unafiki wa Sitta na Mwakyembe

Hivi hapa kosa la Mwakyembe na Sitta ni lipi? Kamati ya bunge iliyoongozwa na Mwakyembe kazi yake kubwa ilikuwa ni kuchunguza uhalali wa mkataba wa Richmond pamoja na uwezo wa kampuni yenyewe wa kuzalisha umeme na ilidhihirika kwamba mkataba ulikuwa na matatizo na kampuni yenyewe haikuwa na uwezo, kwa hiyo hapo kosa la hao watu ni lipi?
 
we unashangaa wao kushinda, toka lini mwenye njaa akasimama kushindana na aliyeshiba? ninani wakili wakuisimamia serikali hadi ishinde kama ananjaa? akipigwa cheki ya M-kadhaa kunauwakili tena hapo!!!mi cjui ila kuna mengi behind the scene.
 
Hivi hapa kosa la Mwakyembe na Sitta ni lipi? Kamati ya bunge iliyoongozwa na Mwakyembe kazi yake kubwa ilikuwa ni kuchunguza uhalali wa mkataba wa Richmond pamoja na uwezo wa kampuni yenyewe wa kuzalisha umeme na ilidhihirika kwamba mkataba ulikuwa na matatizo na kampuni yenyewe haikuwa na uwezo, kwa hiyo hapo kosa la hao watu ni lipi?

Kosa lao kubwa ni kumwangusha Lowasa pekee na kuilinda serikali kwa kuficha mambo waliyoyaona. Kama serikali wakati ule ingeanguka, ni kweli tungepata hasara fulani lakini pia watu wangejifunza kuwajibika na huu utapeli usingeenelea kama ilivyo leo.
 
ni kweli na hii ni gharama ya kushabikia wanasiasa bila kuangalia historia zao


Ndiyo maana kuna wakati ninafika naona kwa kweli pamoja na mambo mengine rais Kikwete ni mvumilivu. Ebu jaribu kuwaza jinsi watu hawa walivyokuwa wanatangaza kila mahali wanataka kuuliwa na kwamba wanachukiwa sana kwa kuwa ni wapenda haki na wafichua mafisadi. Lakini rais kwa kujua ni njaa zao tu na uchu wa madaraka alipowapa uwaziri wote wametulia kana kwamba hawajawahi kuliletea taifa hili hasara za ajabu. Hivi mitambo hii si ndiyo ile Zitto alisema serikali iinunue wakamjia juu. Sasa kiko wapi? Sitta na Mwakyembe wana kesi ya kujibu kama siyo hapa duniani basi mbinguni. Halafu mbaya zaidi sana wote ni wanasheria.
 
Mkurugenzi mkuu wa TANESCO wakati ule alisema mitambo ile mizuri tununue. Wanasiasa uchwara sasa "oooh mitambo mitumba ile mibovuuu imechokaa hatuwezi kununua mitumba", huyu mwanasiasa anayewaambia hivi hata hana ushahidi wowote au hajatumia reference yeyote ya kitaalam zaidi ya kubwabwaja tu na hata ukimuuliza specifications za mitambo anayoizungumzia yeye hajui. Na hapo ndio nchi yetu ilipofika wakiongea wanasiasa ndio wanasikilizwa maana wao wanayo Platform ya kuzungumzia nani anawasikiliza wataalam waliopo vyuoni? ndio maana na wao wanataka kuwa wanasiasa siku hizi wanatafuta majimbo. Hawa wakina Sitta ni watu hatari sana we were two steps ahead wameturudisha 10 steps back , thank god tunaye rais ambaye ni mvumilivu otherwise wangekuwa CCJ sasa hivi.
 
Ndiyo maana kuna wakati ninafika naona kwa kweli pamoja na mambo mengine rais Kikwete ni mvumilivu. Ebu jaribu kuwaza jinsi watu hawa walivyokuwa wanatangaza kila mahali wanataka kuuliwa na kwamba wanachukiwa sana kwa kuwa ni wapenda haki na wafichua mafisadi. Lakini rais kwa kujua ni njaa zao tu na uchu wa madaraka alipowapa uwaziri wote wametulia kana kwamba hawajawahi kuliletea taifa hili hasara za ajabu. Hivi mitambo hii si ndiyo ile Zitto alisema serikali iinunue wakamjia juu. Sasa kiko wapi? Sitta na Mwakyembe wana kesi ya kujibu kama siyo hapa duniani basi mbinguni. Halafu mbaya zaidi sana wote ni wanasheria.


Kweli mkuu hawa jamaa wanakesi ya kujibu. Siku zote njia za waongo ni fupi.
 
Kuna watu sifahamu ni kulewa uzalendo wa chama/vyma vyao vya kisiasa au ni kutumiwa na mafisadi ndiko kunawapelekea kutumia ufinyu wa kutafakari mambo kudharau au hata kupuuzia mchango mkubwa ambao MH. Mwakyembe, Sitta na Maagufuli wameuleta katika zama hizi ngumu.. Unapotumia mahaba ya kichama kuliko ubongo matokeo yake huwa ni kuwa mtumwa wa fikra na ueledi.. TAIFA KWANZA, CHAMA BAADAE...!!


NB:Najua kuna wale wepesi wa hoja na wazito wa mantiki wataandika comment za ina ya "project Lumumba".. Thibitisheni udogo wa uelewa wenu kwa kuundika kile ambacho ninakitegemea.
 
We ni zaidi ya mpuuzi.ni --------.nyau we.lete hoja na si umbea
 
Kuna watu sifahamu ni kulewa uzalendo wa chama/vyma vyao vya kisiasa au ni kutumiwa na mafisadi ndiko kunawapelekea kutumia ufinyu wa kutafakari mambo kudharau au hata kupuuzia mchango mkubwa ambao MH. Mwakyembe, Sitta na Maagufuli wameuleta katika zama hizi ngumu.. Unapotumia mahaba ya kichama kuliko ubongo matokeo yake huwa ni kuwa mtumwa wa fikra na ueledi.. TAIFA KWANZA, CHAMA BAADAE...!!


NB:Najua kuna wale wepesi wa hoja na wazito wa mantiki wataandika comment za ina ya "project Lumumba".. Thibitisheni udogo wa uelewa wenu kwa kuundika kile ambacho ninakitegemea.

Mchango wao ni wa kawaida sana ambao hata mtanzania mwingine akipewa nafasi anaweza akafanya tena zaidi ya wao walivofanya, so stop expanding this mada
 
Kuna watu sifahamu ni kulewa uzalendo wa chama/vyma vyao vya kisiasa au ni kutumiwa na mafisadi ndiko kunawapelekea kutumia ufinyu wa kutafakari mambo kudharau au hata kupuuzia mchango mkubwa ambao MH. Mwakyembe, Sitta na Maagufuli wameuleta katika zama hizi ngumu.. Unapotumia mahaba ya kichama kuliko ubongo matokeo yake huwa ni kuwa mtumwa wa fikra na ueledi.. TAIFA KWANZA, CHAMA BAADAE...!!


NB:Najua kuna wale wepesi wa hoja na wazito wa mantiki wataandika comment za ina ya "project Lumumba".. Thibitisheni udogo wa uelewa wenu kwa kuundika kile ambacho ninakitegemea.

Ulikua unajaribu kuandika nini?
 
Kuna watu sifahamu ni kulewa uzalendo wa chama/vyma vyao vya kisiasa au ni kutumiwa na mafisadi ndiko kunawapelekea kutumia ufinyu wa kutafakari mambo kudharau au hata kupuuzia mchango mkubwa ambao MH. Mwakyembe, Sitta na Maagufuli wameuleta katika zama hizi ngumu.. Unapotumia mahaba ya kichama kuliko ubongo matokeo yake huwa ni kuwa mtumwa wa fikra na ueledi.. TAIFA KWANZA, CHAMA BAADAE...!!
NB:Najua kuna wale wepesi wa hoja na wazito wa mantiki wataandika comment za ina ya "project Lumumba".. Thibitisheni udogo wa uelewa wenu kwa kuundika kile ambacho ninakitegemea.
Mchango wa Sita ni kujenga office ya Spika Ulambo Tabora, Mwakyembe kuingiza Tanesco mkenge kuvunja mkataba na Dowans = fine 90 billion USD, Magufuli kubomoa petrol station, Mahakama kuu kuamuru sarikali ilipe zaidi ya Billion 20. Hiyo ndio baadhi ya michango yao kwa jamii
 
Hivi ww -------- hapa kuna mtu kaongelea ccm au cdm? Watu wamejenga hoja kwamba mwakiembe na sita ni watu'hatari sana tatizo huna kazi ndio maana kila kitu kwako ni siasa tu
 
Mchango wa Sita ni kujenga office ya Spika Ulambo Tabora, Mwakyembe kuingiza Tanesco mkenge kuvunja mkataba na Dowans = fine 90 billion USD, Magufuli kubomoa petrol station, Mahakama kuu kuamuru sarikali ilipe zaidi ya Billion 20. Hiyo ndio baadhi ya michango yao kwa jamii

KWA AKILI KAMA YA KWAKO NAAMINI WW NI FISADI WA KUFIKIRI( UBONGO). UMEFIKA MWANZA UKAONA BARABARA ILIYOPANGIKA IKAKUBALI MPK KUIPA JIJI CHATI?
 
Mchango wa Mwakyembe ni kula deal na ccm kuunda kampuni Jitegemee ltd kisha kupewa tender na TPA kinyemela
 
Ni upumbavu kuanza kutetea mapimbi hawa wametuingiza ktk hasara kubwa hivi kwasababu ya uhasama wa kisiasa! Ukisha kuwa kiongozi lazima usimamie maslahi mapana ya nchi yako,hawa wenzetu walisahau yote haya wakatumia hila kuwaangamiza mahasimu wao na ikawa hasara kwa nchi yetu!
 
Kama ni kumsafisha huyo Lowasa basi rudi ukamwambie akufungashie na brush kabisa

Mkuu hapa tunaangalia hasara ambazo zingeweza kukwepwa kama ile mitambo ingenunuliwa na serikali.hakuna mtu anasafishwa wala kuogeshwa hapa.
 
Back
Top Bottom