Unafiki wa Sitta na Mwakyembe

Unafiki wa Sitta na Mwakyembe

Hotuba ya ripoti ilisomwa kwa mbwembwe nyingi, aliejiuzulu alijiuzulu kwa jazba, na tuliambiwa kuwa yapo mengi ambayo hayakuzungumzwa. Sasa tumejua baadhi ya ambayo hayakuzungumzwa, kilichokuwa haramu hatimae kimekuwa halali. Kweli kitanda hakizai haramu.
 
Sitta na Mwakyembe hawatakiwi kulaumiwa juu ya hili, wao walikuwa sahihi kabisa katika kusimamia wizi wa fedha za serikali kilichofanyika hapa ni kwamba Sitta na Mwakyembe ndio waliozungukwa na Serikali kwani kama tulivyoshuhudia wizi wa rasilimali zetu wakiwemo wanyama walio hai lakini hakuna kauli thabiti na madhubuti iliyotolewa na viongozi/kiongozi wa juu wa nchi juu ya haya yote, kwa hiyo kilichotokea kwa RICHMOND ni usanii tu kwani hata tunaposema wameshinda kesi ni akina nani hawa na je hizi fedha zinalipwa kwa nani na ni kweli serikali yetu haijui RICHMOND ni nani?
 
hakuna mwenye hoja ya msingi zaidi ya wote hapo juu kuzungumza kile kinachoitwa (speculations).. Huwezi sema eti walitudanganya watanzania.. so na zile taarifa za EPA ni uhasama wa kisiasa au ni kwa sababu hoja ilitoka huko ambako mnathibitisha kuwa na mahaba nako..!!???? Hakuna siri juu ya upuuzi wa dowans.. ni dhahiri kabisa wanasheria husika wakishirikiana na hao mnaowaita wahanga wa uhasama wa KISIASA kushiriki pamoja kuihujumu nchi..!!
 
Mchango wao ni wa kawaida sana ambao hata mtanzania mwingine akipewa nafasi anaweza akafanya tena zaidi ya wao walivofanya, so stop expanding this mada


Mbona unakuwa na roho ya kichawi! Hao Watanzania unao wasema walikuwepo mbona Reli ya kati hatukuona ikibeba abiria mpaka Mwanza? Mbona sijawahi ona meli za kimataifa zikikamatwa kwa wizi wa samaki? Sijawahi sikia Mtanzania mwingine akimwambia Rais wa nchi kwaujasiri mkubwa bila unafiki awemkali kwa watendaji wazembe mbele ya hadhara!
 
Mbona unakuwa na roho ya kichawi! Hao Watanzania unao wasema walikuwepo mbona Reli ya kati hatukuona ikibeba abiria mpaka Mwanza? Mbona sijawahi ona meli za kimataifa zikikamatwa kwa wizi wa samaki? Sijawahi sikia Mtanzania mwingine akimwambia Rais wa nchi kwaujasiri mkubwa bila unafiki awemkali kwa watendaji wazembe mbele ya hadhara!

Sitaki malumbano lakini nachokuambia hao akina Magufuli na Mwakyembe wanafanya kazi za kawaida ambazo hata waTanzania wengine wakipewa nafasi wanaweza kufanya tena zaidi ya hao ndugu.
-Magufuli ameuza nyumba za umma kipindi cha Mkapa mpaka sasa mawaziri wengine ni juzi wametoka kwenye mahoteli ya kifahari tuliyowapangishia kwa kuwa walikosa nyumba za kuishi za hadhi ya uwaziri
-Mwakyembe mnafiki mpaka leo hajawaeleza waTanzania kwa nini report ya Richmond hakuisoma yote eti kwa kuhofia serikali kutikisika sasa inatikisika sasa
Kwangu wote wanafiki tu, treni hiyo ya reli ya kati wewe unaisema ipi? Si tena kabla ya Mwakyembe tulikuwa tunaenda bara kutokea Dar mara tatu kwa wiki sasa hivi ni mara mbili tu.TAZARA imemshinda zile kumbi za kusubiria wasafiri na zile za kupumzikia kusubiri kusafiri sasa zimegeuka kuwa kumbi za harusi, sendoff na kitchen party sasa nimsifie kwa lipi?NARUDIA TENA WAPO WATANZANIA WANAOWEZA KUFANYA VIZURI TENA ZAIDI YA HAWA MWAKYEMBE NA MAGUFULI
 
Sitaki malumbano lakini nachokuambia hao akina Magufuli na Mwakyembe wanafanya kazi za kawaida ambazo hata waTanzania wengine wakipewa nafasi wanaweza kufanya tena zaidi ya hao ndugu.
-Magufuli ameuza nyumba za umma kipindi cha Mkapa mpaka sasa mawaziri wengine ni juzi wametoka kwenye mahoteli ya kifahari tuliyowapangishia kwa kuwa walikosa nyumba za kuishi za hadhi ya uwaziri
-Mwakyembe mnafiki mpaka leo hajawaeleza waTanzania kwa nini report ya Richmond hakuisoma yote eti kwa kuhofia serikali kutikisika sasa inatikisika sasa
Kwangu wote wanafiki tu, treni hiyo ya reli ya kati wewe unaisema ipi? Si tena kabla ya Mwakyembe tulikuwa tunaenda bara kutokea Dar mara tatu kwa wiki sasa hivi ni mara mbili tu.TAZARA imemshinda zile kumbi za kusubiria wasafiri na zile za kupumzikia kusubiri kusafiri sasa zimegeuka kuwa kumbi za harusi, sendoff na kitchen party sasa nimsifie kwa lipi?NARUDIA TENA WAPO WATANZANIA WANAOWEZA KUFANYA VIZURI TENA ZAIDI YA HAWA MWAKYEMBE NA MAGUFULI


Haya kwasababu Magufuli alitoka nyumbani kwake nakutangaza kuuza zile nyumba bila ridhaa ya wakuu wake basi anastahili lawama zako yeye binfsi,vilevile Mwakyembe kama aliikuta Reli inasafari tatu kwa wiki na sasa ina safari mbili basi naye anastahili lawama zako! Na kwakuwa wewe na hao wenzako mnauwezo wa kuleta mabadiliko ndani ya muda mfupi,nitamshauri mkuu wangu wa nchi akupe nafasi,tunawahitaji sana watu kama wewe!
 
Labda Magufuri lakini Sitta na Mwakyembe bomu litakalowalipukia ni Richmond/Dowans/Symbion kama hawatachukua hatua yoyote.
 
Haya kwasababu Magufuli alitoka nyumbani kwake nakutangaza kuuza zile nyumba bila ridhaa ya wakuu wake basi anastahili lawama zako yeye binfsi,vilevile Mwakyembe kama aliikuta Reli inasafari tatu kwa wiki na sasa ina safari mbili basi naye anastahili lawama zako! Na kwakuwa wewe na hao wenzako mnauwezo wa kuleta mabadiliko ndani ya muda mfupi,nitamshauri mkuu wangu wa nchi akupe nafasi,tunawahitaji sana watu kama wewe!

Wewe si unasema kuwa Makufuli anaweza kumshauri rais na akasimika kama Jamie Carragher beki wa Liverpool sasa kwa nini hakusimika kipindi cha Ben? Na vipi kuhusiana na riport ya Richmond ambayo Mwakyembe aliisoma nusu wakati walitumwa Huston - Marekani kwa kodi zetu ili waje kusoma report kamili?Vipi TAZARA kugeuzwa kumbi za harusi, kitchen party na Sendoff? Tanzania ina watu wanaoweza kufanya kazi nzuri kuliko hao akina Makufuli na Mwakyembe sema nchi yeti ni technical know who badala ya technical know how
 
Back
Top Bottom