Unafiki wa Sitta na Mwakyembe

Unafiki wa Sitta na Mwakyembe

bucho

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2010
Posts
5,172
Reaction score
3,265
Dowans wameshinda kesi ya Kimataifa , fedha wanalipwa, mitambo walioisema chakavu imeuzwa na ndiyo inatumika mpaka leo.

Hawa wameisababishia taifa hasara kubwa sana. Kama serikali ingenunua hii mitambo tungekuwa tumekwepa kununua umeme kwa gharama kubwa sana.

Hawa watu hawastaili kuwa viongozi kabisa. Chuki walizokuwa nazo kwa Lowassa zimekuja kuigharimu nchi.

HAWA WATU NI HATARI KWA TAIFA HILI NI WAKUOGOPWA KULIKO UKIMWI
 
Ukifata nyuki unaweza ukala asali au ukaishia kuota nundu
 
walitaka ku-mfix lowassa kwa sababu zao wanazozijua wao.

Shida ilikuwa ni uwaziri mkuu hadi wakaamua kuliingiza taifa kwenye hasara ambayo haikupaswa kuwepo.
 
Naona unachanganya vitu viwili
1. Kuikataa Mitambo ya Dowans
2. Kwamba, kwa sababu ya kusimamia maslahi binafsi, lowasa aliingilia mchakato wa kuipa zabuni kampuni fake ya Richmond.
 
ni kweli na hii ni gharama ya kushabikia wanasiasa bila kuangalia historia zao

Kwenye hili Mwakyembe na Sitta tunataka wawajibike kwa kuwaingiza watanzania kwenye hasara kubwa na kuleta report ya uongo kwa maslahi yao binafsi
 
Tumepigwa kiini macho kingine kwa ushabiki bila kufikiria
 
nyie! huu mziki wao wote wa juu wanaujua.,majuhaa wachache hawajashituka, game la kikubwa hili..wale wenzangu na mimi kina nani? ndio vimbele front walifanyiwa mbuzi wa shughuli..simple life is healthier than egonism..remember you can`t beat the history, but you can shape the future.......
 
Hili mapema zitto aliliona akashauri serikali inunue ile mitambo,lakini kwa sababu nchi ya wanasiasa kila kitu kinaendeshwa kwa siasa hakuna cha maana,tunakuja kukumbuka shuka kushakucha,mambo mengine yakitaalamu wangeachiwa wataalamu wanasiasa wangekaa pembeni,lakini kila kitu tunaamuliwa na wanasiasa maendeleo yatakuja mwaka 3000
 
Hili mapema zitto aliliona akashauri serikali inunue ile mitambo,lakini kwa sababu nchi ya wanasiasa kila kitu kinaendeshwa kwa siasa hakuna cha maana,tunakuja kukumbuka shuka kushakucha,mambo mengine yakitaalamu wangeachiwa wataalamu wanasiasa wangekaa pembeni,lakini kila kitu tunaamuliwa na wanasiasa maendeleo yatakuja mwaka 3000

Wanasiasa wanahujumu maendeleo ya hii nchi kwa manufaa ya kutafuta uongozi kwa lazima. Sijui lini tutawaachia wataalam wafanye kazi yao.
 
Dowans wameshinda kesi ya Kimataifa , fedha wanalipwa, mitambo walioisema chakavu imeuzwa na ndiyo inatumika mpaka leo.

Hawa wameisababishia taifa hasara kubwa sana. Kama serikali ingenunua hii mitambo tungekuwa tumekwepa kununua umeme kwa gharama kubwa sana.


Hawa watu hawastaili kuwa viongozi kabisa. Chuki walizokuwa nazo kwa Lowassa zimekuja kuigharimu nchi.

HAWA WATU NI HATARI KWA TAIFA HILI NI WAKUOGOPWA KULIKO UKIMWI

Mkuu, na option nzuri iliyokuwepo na ingetuokoa wakati ule ilikuwa ni Kuinunua ile Mitambo kama alivyosgauri Zitto Kabwe. Lakini watu wakaanza kumwona siyo!
 
Mkuu, na option nzuri iliyokuwepo na ingetuokoa wakati ule ilikuwa ni Kuinunua ile Mitambo kama alivyosgauri Zitto Kabwe. Lakini watu wakaanza kumwona siyo!


Na hiyo ndio ilikuwa njia sahihi ya kufanya tokea mwanzo ila sababu ya unafiki wa hawa wajamaa wakaamua kuingiza taifa kwenye gharama zisizo na msingi.
 
Dowans wameshinda kesi ya Kimataifa , fedha wanalipwa, mitambo walioisema chakavu imeuzwa na ndiyo inatumika mpaka leo.

Hawa wameisababishia taifa hasara kubwa sana. Kama serikali ingenunua hii mitambo tungekuwa tumekwepa kununua umeme kwa gharama kubwa sana.

Hawa watu hawastaili kuwa viongozi kabisa. Chuki walizokuwa nazo kwa Lowassa zimekuja kuigharimu nchi.

HAWA WATU NI HATARI KWA TAIFA HILI NI WAKUOGOPWA KULIKO UKIMWI
qK?kp
kudadadeki aisee yaani hii mijamaaa imeshinda na tunawalipa...daaaah!!!!!
 
Na hiyo ndio ilikuwa njia sahihi ya kufanya tokea mwanzo ila sababu ya unafiki wa hawa wajamaa wakaamua kuingiza taifa kwenye gharama zisizo na msingi.


NI MIMI NA WEWE TU WENYE UPEO MDOGO WA KUFIKIRI TULIOJAA UPUMBAVU NDO TUNAONA ILIFAA SERIKALI IINUNUE MITAMBO HII TOKA MWANZO LAKINI WENYE AKILI PEVU NA PANA KIMTAZAMO WALISHAONA KUWA MITAMBO HII ILIPASWA KUBINAFSISHWA BURE BILA YA KUTOA HATA SHILINGI ILA KWA KUWA TUNA VIONGOZI WEPESI NA DHAIFU KIUTENDAJI NDO WALIOSABABISHA YOTE HAYA MPAKA TUNATAKIWA KULIPA FIDIA NA GHARAMA ZA KESI ZA DOWANSI. SASA KOSA NI LA NANI HAPO?

1. Mwakyembe na Sita - waliounda na kuwa katika tume ya kubaini ukweli wa jambo husika Richmond
2. Lowasa na Rostam - wamiliki wa Richmond na Dowans
3. Bunge - Taasisi iliyojadili na kutolea uamuzi suala hisika la Richmond na Dowans
4. Serikali - Taasisi iliyotakiwa kutekeleza maazimio ya bunge ikiwemo kubinafsisha mitambo

SASA KAMA UNA AKILI PANA UTAPATA JIBU KUWA NI NO.4 LAKINI KAMA NA WEWE UNA AKILI SAWA NA MIMI KIAKILI JIBU LAKE HAPO NI NO.1

NA WENYE JIBU NO. 1 WOOOTE NDIO HAO WALIYOKO CCM WANAOTULETEA MAJANGA NDANI YA TAIFA LETU.
 
Back
Top Bottom