Unafiki wa siasa za Zanzibar

Kizibao

JF-Expert Member
Aug 24, 2010
1,002
544
Siungani kabisa na kilichofanywa na wafusi wa CCM kuhusu bango lao na nahisi ya kuwa limevupa mipaka na la kibaguzi na walioandika ni wajinga wa kutokujua demographic makeup ya Zanzibar.Na nimefurahi sana kuona ya kuwa limekemewa na watu wa pande zote. Juu ya yote hayo la kusikitisha Zaidi watu wako too selective. Kwani kampeni za kibaguzi zimeanza siku nyingi sana ZNZ na kusema kweli Zanzibar ubaguzi upo tena umefikia hali mbaya sana na kwa bahati mbaya unasababishwa na wana siasa wa pande zote mbili.

Wale ambao leo wanapiga zogo ya ku ni victim ya huo ubaguzi ukiangalia katika social media zao na katika mikutano yao utasikia Balozi seif Ali iddi ni nyani aliyekimbia from jozani au wengine wamefika kuandika ya kuwa amekimbia kongo na arudi kwao kutoka kongo. Au utawasikia ya kuwa muda wa machogo kwenda kwao umefika na wamefika mbali zaidi na wengine hata kusema utawala wa mkoloni mweusi umefikia tamati.Sasa yote hayo yako kwenye social media na yanakuwa backed up na viongozi wa chama CUF lakini huyasikii kuzungumzwa au kukemewa utayaona ya maandishi ya bango la kisonge(kijiwe cha CCM) tu ( nayo pia sikubaliani nayo).

Hivi leo Zanzibar ukiwa CCM na ukikosoa policy za CUF utasikia wewe si mzanzibar wewe umekuja tu hapa, na utarudi kwenu Tanganyika baada ya kupata nchi yetu.. sasa jamani hiyo si xenophobic nayo? Au jamaa zangu kutoka Pemba wao siku zote ni wako NOBLE na wengine ambao wana mawazo tofauti nao basi ni makafiri.

Nimesikitishwa na lile bango lakini nimefurahi wamefanya vile... kwani kitendo chao kile ninaamini kitaanzisha mjadala mkubwa sana Zanzibar kuhusu ubaguzi na kitaongeza awareness kwa watu na kuona jinsi gani ubaguzi ulivyotapakaa katika jamii yote ya kizanzibar na kuwafichua wale wanafiki ambao ubaguzi uko katika nafsi zao lakini wakigiswa wao tu wanaanza kulalama kwa sauti kubwa ya kuwa wamebaguliwa huku wakisahau ya kuwa wao walishiriki kikamilifu katika kuweka foundation ya ubaguzi Zanzibar.

P.S Seif Sharif Hamad ili kupata polical supremacy Zanzibar baada ya kufukuzwa CCM alianzisha dhana ya ubaguzi ya upemba kwa kusema aliondolewa CCM kwa sababu ya upemba na hakupewa uraisi 1985 kwa sababu yeye ni mpemba na huku akisahau he own shortcoming ndiyo zilizopelekea demise yake. Wakati hii sasa raisi SHEIN ni mpemba kujitetea kwao wanasema si mpemba sasa sijui kwa vigezo vipi?
 
CCM Zenji-620x308.jpg

WEWE NI MIONGONI MWA WALE WALIOANDIKA LILE BANGO LA UBAGUZI>>>>
 
View attachment 316490
WEWE NI MIONGONI MWA WALE WALIOANDIKA LILE BANGO LA UBAGUZI>>>>
Tatizo lako unashindwa kusoma vizuri maada au una akili za kuchangiwa. Mimi walioandika hilo bango kama ikiwezekana kuwashtaki washtakiwe. Lakini lazima ukweli uelezwe kwani hilo bango just ni tip of an iceberg tu kwa hali iliyokuwapo Zanzibar hivi unajua kwa mtu kutoka Unguja kununua ardhi Pemba ni ndoto kama huna mzee hata mmoja ambae anatoka Pemba kwani hutouziwa hata siku moja au bahati yako iwe nzuri. lakini leo mtu wa Pemba anaweza kukaa na kununua ardhi sehemu yeyote ya Unguja.Mimi sijawahi kushiriki polical rally yeyote na hata kura sijawahi kupiga. lakini nina matumaini ya kuwa society ya Zanzibar inalijadili hili suala la ubaguzi kwa kina zaidi..na kuwekewa sharia. Hebu kama una jamaa yako ambae ana asili ya T. bara na kama si muislmu muulize hali halisi ya maisha yake ya Zanzibar.
 
Siungani kabisa na kilichofanywa na wafusi wa CCM kuhusu bango lao na nahisi ya kuwa limevupa mipaka na la kibaguzi na walioandika ni wajinga wa kutokujua demographic makeup ya Zanzibar.Na nimefurahi sana kuona ya kuwa limekemewa na watu wa pande zote. Juu ya yote hayo la kusikitisha Zaidi watu wako too selective. Kwani kampeni za kibaguzi zimeanza siku nyingi sana ZNZ na kusema kweli Zanzibar ubaguzi upo tena umefikia hali mbaya sana na kwa bahati mbaya unasababishwa na wana siasa wa pande zote mbili.

Wale ambao leo wanapiga zogo ya ku ni victim ya huo ubaguzi ukiangalia katika social media zao na katika mikutano yao utasikia Balozi seif Ali iddi ni nyani aliyekimbia from jozani au wengine wamefika kuandika ya kuwa amekimbia kongo na arudi kwao kutoka kongo. Au utawasikia ya kuwa muda wa machogo kwenda kwao umefika na wamefika mbali zaidi na wengine hata kusema utawala wa mkoloni mweusi umefikia tamati.Sasa yote hayo yako kwenye social media na yanakuwa backed up na viongozi wa chama CUF lakini huyasikii kuzungumzwa au kukemewa utayaona ya maandishi ya bango la kisonge(kijiwe cha CCM) tu ( nayo pia sikubaliani nayo).

Hivi leo Zanzibar ukiwa CCM na ukikosoa policy za CUF utasikia wewe si mzanzibar wewe umekuja tu hapa, na utarudi kwenu Tanganyika baada ya kupata nchi yetu.. sasa jamani hiyo si xenophobic nayo? Au jamaa zangu kutoka Pemba wao siku zote ni wako NOBLE na wengine ambao wana mawazo tofauti nao basi ni makafiri.

Nimesikitishwa na lile bango lakini nimefurahi wamefanya vile... kwani kitendo chao kile ninaamini kitaanzisha mjadala mkubwa sana Zanzibar kuhusu ubaguzi na kitaongeza awareness kwa watu na kuona jinsi gani ubaguzi ulivyotapakaa katika jamii yote ya kizanzibar na kuwafichua wale wanafiki ambao ubaguzi uko katika nafsi zao lakini wakigiswa wao tu wanaanza kulalama kwa sauti kubwa ya kuwa wamebaguliwa huku wakisahau ya kuwa wao walishiriki kikamilifu katika kuweka foundation ya ubaguzi Zanzibar.

P.S Seif Sharif Hamad ili kupata polical supremacy Zanzibar baada ya kufukuzwa CCM alianzisha dhana ya ubaguzi ya upemba kwa kusema aliondolewa CCM kwa sababu ya upemba na hakupewa uraisi 1985 kwa sababu yeye ni mpemba na huku akisahau he own shortcoming ndiyo zilizopelekea demise yake. Wakati hii sasa raisi SHEIN ni mpemba kujitetea kwao wanasema si mpemba sasa sijui kwa vigezo vipi?
Lile la jana limeonekana kwa public, ushahidi upo! Nadhan ingependeza andiko lako lingekuwa justified na picha!
 
wamefika mbali zaidi na wengine hata kusema utawala wa mkoloni mweusi umefikia tamati.

Tulizowea watu weupe ndio Wakoloni lakini leo sio siri tena Tanganyika inaikoloni Zanzibar nadhani hio ndio tafsiri yao.
 
According to BARAKA SHAMTE ''Historically Unguja na Pemba zilikuwa ni nchi mbili tofauti". Kama hivyo ni kweli, kwanini kuanzia sasa Wapemba wasirudi kwenye history badala ya kutaka kutawala Zanzibar na sasa Kuaza Kuaza kampeni rasmi ya kitaifa na kimataifa kwa kutumia nguvu ya sheria ya Kimataifa kudai Pemba iwe nchi kamili yenye kujitawala itakayotambulika kimataifa. Hii inatokana na ubaguzi na unyanyasaji mkubwa wanafanyiwa Wapemba kisiasa, kijamii na kiuchumi. Leo hii ukijulikana kama ww mpemba iwe ktk taasisi ya umma au binafsi hata ktk jamii basi unaanza kunyanyaswa. The only solution now ni kuanzisha national and international campaign legally kudai kisiwa cha ili kiweze kujitawala kiwe na rais wale na mamlaka zake zitazojiongoza. Ujumbe huu ufike kwa maalim Seif aachane na kuwang'anga'ania ccm hawa wamenuwia hawatoi serikali kwa ambaye sio zuzu na mbumbu hata cku moja. Kama hamuamini, angalieni uchaguzi wa marejeo mtaona cha mtemakuni.

Wacha uwongo huo.. mpemba gani ananyanyaswa wakti unaweza kusema inakaribia nusu ya makatibu wakuu na wakurugenzi wa SMZ ni wapemba.Na huyo Baraka Shamte hiyo historia haijui.. Na kama ukitaka kama hivyo hata Tanganyika yote mwanzo haikua ncho moja na imekuwa nchi moja baada ya kukwatwa mipaka na wakoloni.
 
Ingia mzalendo.net soma Makala zao na maoni yao utajua naongea nini
Mdau watu wa visiwani kwa asili ni wabaguzi,iwe mpemba iwe muunguja,wabaguzj sana,BAGUANENI SASA,hata watanganyika wanaokuja kufanya kazi huko wamekua wakilalamikia sana UBAGUZI wa watu wa visiwani.SASA NAONA UBAGUZ WENU UMEANZA KUFANYA KAZI
 
Nahic umekosea sana kasema makatibu wakuu wa smz ni Wapemba hebu naomba ufanye tena hiyo research yako ww inaonesha hajui smz vzuri ulishawahi ukisikia tu.
Hapo sijakosea wapo makatibu wakuu wengi sana wa CCM Zanzibar ni kutoka Pemba au wana Asili ya Pemba.wewe ndiyo huwajui
 
Siungani kabisa na kilichofanywa na wafusi wa CCM kuhusu bango lao na nahisi ya kuwa limevupa mipaka na la kibaguzi na walioandika ni wajinga wa kutokujua demographic makeup ya Zanzibar.Na nimefurahi sana kuona ya kuwa limekemewa na watu wa pande zote. Juu ya yote hayo la kusikitisha Zaidi watu wako too selective. Kwani kampeni za kibaguzi zimeanza siku nyingi sana ZNZ na kusema kweli Zanzibar ubaguzi upo tena umefikia hali mbaya sana na kwa bahati mbaya unasababishwa na wana siasa wa pande zote mbili.

Wale ambao leo wanapiga zogo ya ku ni victim ya huo ubaguzi ukiangalia katika social media zao na katika mikutano yao utasikia Balozi seif Ali iddi ni nyani aliyekimbia from jozani au wengine wamefika kuandika ya kuwa amekimbia kongo na arudi kwao kutoka kongo. Au utawasikia ya kuwa muda wa machogo kwenda kwao umefika na wamefika mbali zaidi na wengine hata kusema utawala wa mkoloni mweusi umefikia tamati.Sasa yote hayo yako kwenye social media na yanakuwa backed up na viongozi wa chama CUF lakini huyasikii kuzungumzwa au kukemewa utayaona ya maandishi ya bango la kisonge(kijiwe cha CCM) tu ( nayo pia sikubaliani nayo).

Hivi leo Zanzibar ukiwa CCM na ukikosoa policy za CUF utasikia wewe si mzanzibar wewe umekuja tu hapa, na utarudi kwenu Tanganyika baada ya kupata nchi yetu.. sasa jamani hiyo si xenophobic nayo? Au jamaa zangu kutoka Pemba wao siku zote ni wako NOBLE na wengine ambao wana mawazo tofauti nao basi ni makafiri.

Nimesikitishwa na lile bango lakini nimefurahi wamefanya vile... kwani kitendo chao kile ninaamini kitaanzisha mjadala mkubwa sana Zanzibar kuhusu ubaguzi na kitaongeza awareness kwa watu na kuona jinsi gani ubaguzi ulivyotapakaa katika jamii yote ya kizanzibar na kuwafichua wale wanafiki ambao ubaguzi uko katika nafsi zao lakini wakigiswa wao tu wanaanza kulalama kwa sauti kubwa ya kuwa wamebaguliwa huku wakisahau ya kuwa wao walishiriki kikamilifu katika kuweka foundation ya ubaguzi Zanzibar.

P.S Seif Sharif Hamad ili kupata polical supremacy Zanzibar baada ya kufukuzwa CCM alianzisha dhana ya ubaguzi ya upemba kwa kusema aliondolewa CCM kwa sababu ya upemba na hakupewa uraisi 1985 kwa sababu yeye ni mpemba na huku akisahau he own shortcoming ndiyo zilizopelekea demise yake. Wakati hii sasa raisi SHEIN ni mpemba kujitetea kwao wanasema si mpemba sasa sijui kwa vigezo vipi?
Ni kweli mkuu ubaguz zanzibar upo toka zaman sana na kinachoendelea sasa hv ni muendelezo tu wa ubaguz,kwahiyo swala la watu wachama flani kuandika bango la kibaguzi kwa siasa za zanzibar ni kawaida sna hakuna cha ajababu cha umuhimu swala hilo la kibaguz likemewe kwa watu wote si chama tu hata mtu na mtu maana zanzibar mtu ukiwa unaabudu dini nyingine unaonekana kafiri na huna maana hata kidogo ukiwa umetoka tanganyika unaonekana huna haki ya kuishi zanzibar mpemba kwa muunguja hana haki na muunguja kwa mpemba hana haki kwahyo hapo ni KUKEMEA KWA NGUVU ZOTE UBAGUZI WA NAMANA HIYO KAMA ULIVYOKEMEWA NA VIONGOZI WETU WA MATAIFA HAYA MAWILI MWL JULIUS NYERERE NA ABEID KARUME TANZANIA HAINA DINI ILA WATANZANIA TUNA DINI TUSIBAGUANE KWA RANGI, UDINI,WALA UKABILA SISI SOTE NI NDUGU
 
Ni kweli mkuu ubaguz zanzibar upo toka zaman sana na kinachoendelea sasa hv ni muendelezo tu wa ubaguz,kwahiyo swala la watu wachama flani kuandika bango la kibaguzi kwa siasa za zanzibar ni kawaida sna hakuna cha ajababu cha umuhimu swala hilo la kibaguz likemewe kwa watu wote si chama tu hata mtu na mtu maana zanzibar mtu ukiwa unaabudu dini nyingine unaonekana kafiri na huna maana hata kidogo ukiwa umetoka tanganyika unaonekana huna haki ya kuishi zanzibar mpemba kwa muunguja hana haki na muunguja kwa mpemba hana haki kwahyo hapo ni KUKEMEA KWA NGUVU ZOTE UBAGUZI WA NAMANA HIYO KAMA ULIVYOKEMEWA NA VIONGOZI WETU WA MATAIFA HAYA MAWILI MWL JULIUS NYERERE NA ABEID KARUME TANZANIA HAINA DINI ILA WATANZANIA TUNA DINI TUSIBAGUANE KWA RANGI, UDINI,WALA UKABILA SISI SOTE NI NDUGU
Kwenye hili ccm hamuwezi kukwepa lawama.
 
" Nimesikitishwa na lile bango lakini nimefurahi wamefanya vile".....Kwa kauli hii nashindwa kuelewa je popo ni ndege au mnyama?
Si useme tu hatuwapendi machotara ambao tunawaita masalia ya Hizbu?
 
Kwenye hili ccm hamuwezi kukwepa lawama.
Hamana hata mmoja aliyesema CCM hawafai kulaumiwa ispokuwa mjadala huu usiishie hapa tu kwani ubaguzi umeota mizizi Zanzibar na lile bango just ni tip of an iceberg. Najua mtakuja hapa na kusema siyo tatizo ubaguzi Zanzibar lakini hilo suala lipo na linaumiza society viabaya mno.
 
Kwenye hili ccm hamuwezi kukwepa lawama.
Hamana hata mmoja aliyesema CCM hawafai kulaumiwa ispokuwa mjadala huu usiishie hapa tu kwani ubaguzi umeota mizizi Zanzibar na lile bango just ni tip of an iceberg. Najua mtakuja hapa na kusema siyo tatizo ubaguzi Zanzibar lakini hilo suala lipo na linaumiza society viabaya mno.
 
" Nimesikitishwa na lile bango lakini nimefurahi wamefanya vile".....Kwa kauli hii nashindwa kuelewa je popo ni ndege au mnyama?
Si useme tu hatuwapendi machotara ambao tunawaita masalia ya Hizbu?
Naona umechukua segment ndogo ya maneno yangu na hukutaka kusoma kwa nini nimefurwahishwa na matokeo yake ukaweka sababu unayoitaka mwenyewe.

"Nimesikitishwa na lile bango lakini nimefurahi wamefanya vile... kwani kitendo chao kile ninaamini kitaanzisha mjadala mkubwa sana Zanzibar kuhusu ubaguzi na kitaongeza awareness kwa watu na kuona jinsi gani ubaguzi ulivyotapakaa katika jamii yote ya kizanzibar na kuwafichua wale wanafiki ambao ubaguzi uko katika nafsi zao lakini wakigiswa wao tu wanaanza kulalama kwa sauti kubwa ya kuwa wamebaguliwa huku wakisahau ya kuwa wao walishiriki kikamilifu katika kuweka foundation ya ubaguzi Zanzibar"
 
Naona umechukua segment ndogo ya maneno yangu na hukutaka kusoma kwa nini nimefurwahishwa na matokeo yake ukaweka sababu unayoitaka mwenyewe.

"Nimesikitishwa na lile bango lakini nimefurahi wamefanya vile... kwani kitendo chao kile ninaamini kitaanzisha mjadala mkubwa sana Zanzibar kuhusu ubaguzi na kitaongeza awareness kwa watu na kuona jinsi gani ubaguzi ulivyotapakaa katika jamii yote ya kizanzibar na kuwafichua wale wanafiki ambao ubaguzi uko katika nafsi zao lakini wakigiswa wao tu wanaanza kulalama kwa sauti kubwa ya kuwa wamebaguliwa huku wakisahau ya kuwa wao walishiriki kikamilifu katika kuweka foundation ya ubaguzi Zanzibar"
Mkuu kubali umekanyaga ganda LA ndizi!... huwezi kusikitishwa at the same moment ukafurahishwa! Hii haiwezi kutokea kwa mtu mtimilifu wa akili, huwezekana mwa vichaa tu! Even logic can not buy it!

Katika kuoesha matamanio yako ya kulaumu pande mbili katika andishi lako, alipaswa kutafuta namna nyingine ya kuwa neutral na sio kwa jinsi uliyotumia!

Ni kweli Watu wa unguja na Pemba ni wabaguzi, amabao unahistoria pana kwa taifa hilo LA kisiwa. Lakini kujenga hoja kwa kusapoti hiki kilichofanywa na waanda.anaji wale wa CCM ktk sherehe ambazo wao wanaita " mapinduzi matukufu" haukuwa sawa. Period
 
Siungani kabisa na kilichofanywa na wafusi wa CCM kuhusu bango lao na nahisi ya kuwa limevupa mipaka na la kibaguzi na walioandika ni wajinga wa kutokujua demographic makeup ya Zanzibar.Na nimefurahi sana kuona ya kuwa limekemewa na watu wa pande zote. Juu ya yote hayo la kusikitisha Zaidi watu wako too selective. Kwani kampeni za kibaguzi zimeanza siku nyingi sana ZNZ na kusema kweli Zanzibar ubaguzi upo tena umefikia hali mbaya sana na kwa bahati mbaya unasababishwa na wana siasa wa pande zote mbili.

Wale ambao leo wanapiga zogo ya ku ni victim ya huo ubaguzi ukiangalia katika social media zao na katika mikutano yao utasikia Balozi seif Ali iddi ni nyani aliyekimbia from jozani au wengine wamefika kuandika ya kuwa amekimbia kongo na arudi kwao kutoka kongo. Au utawasikia ya kuwa muda wa machogo kwenda kwao umefika na wamefika mbali zaidi na wengine hata kusema utawala wa mkoloni mweusi umefikia tamati.Sasa yote hayo yako kwenye social media na yanakuwa backed up na viongozi wa chama CUF lakini huyasikii kuzungumzwa au kukemewa utayaona ya maandishi ya bango la kisonge(kijiwe cha CCM) tu ( nayo pia sikubaliani nayo).

Hivi leo Zanzibar ukiwa CCM na ukikosoa policy za CUF utasikia wewe si mzanzibar wewe umekuja tu hapa, na utarudi kwenu Tanganyika baada ya kupata nchi yetu.. sasa jamani hiyo si xenophobic nayo? Au jamaa zangu kutoka Pemba wao siku zote ni wako NOBLE na wengine ambao wana mawazo tofauti nao basi ni makafiri.

Nimesikitishwa na lile bango lakini nimefurahi wamefanya vile... kwani kitendo chao kile ninaamini kitaanzisha mjadala mkubwa sana Zanzibar kuhusu ubaguzi na kitaongeza awareness kwa watu na kuona jinsi gani ubaguzi ulivyotapakaa katika jamii yote ya kizanzibar na kuwafichua wale wanafiki ambao ubaguzi uko katika nafsi zao lakini wakigiswa wao tu wanaanza kulalama kwa sauti kubwa ya kuwa wamebaguliwa huku wakisahau ya kuwa wao walishiriki kikamilifu katika kuweka foundation ya ubaguzi Zanzibar.

P.S Seif Sharif Hamad ili kupata polical supremacy Zanzibar baada ya kufukuzwa CCM alianzisha dhana ya ubaguzi ya upemba kwa kusema aliondolewa CCM kwa sababu ya upemba na hakupewa uraisi 1985 kwa sababu yeye ni mpemba na huku akisahau he own shortcoming ndiyo zilizopelekea demise yake. Wakati hii sasa raisi SHEIN ni mpemba kujitetea kwao wanasema si mpemba sasa sijui kwa vigezo vipi?
Mkuu swala la watanganyika kuambiwa kuwa watarudi kwao hata huku tanganyika wapemba wanaambiwa watarudi kwao hata jana kunarafiki yangu aliwaambia vijana wa kiznz mbele yangu kuwa mutarudi kwenu hata humu jf kila mara maandiko hayo yanaandikwa.
Pia nimeshudia maadiko mengi ya kibaguzi yanayo wabaguwa watu wa kaskazini.
Hata maadiko machafu kuhusu mzee wasira sio balozi idi tu.
Kwahiyo kwa ujumla wtz wanapaswa kubadilika kuhusu hizi hulka na siasa chafu.
 
Back
Top Bottom