Hongera sana Dr Helen Kijo Bisimba,nakupongeza kwa kuwa mwanaharakati halisi kwa kutetea haki halisi za Watanzania na kuandaa maandamano kufungua kesi dhidi ya serikali ya Tanzania katika Mahakama ya The Hegue
Kwa siku za karibuni umeonekana kuwa kinara wa kuipinga Serikali na Jeshi la Polisi,haya yote unayafanya ili uandikwa kwenye vyombo vya habari,wenzako walifanya yote kwa moyo wa uzalendo na sio kuuza sura,bdo maana wakatunukiwa TUZO mbalimbali,nona wewe kama sio mchumia TUMBO napenda kukukubusha baadhi ya majukumu yenu,wew pamoja na wanahakati wenzako
Tanzania kuna majanga mengi kuhusu haki za binadamu,kwa kufupi naona huyajui na unaingilia mambo ya kisiasa na kulumbana na wanasiasa na serikali nakusahau wajibu wako kwa ujumla
Kuna ukiukwaji mkubwa wa yafuatayo:
1.Mauaji ya Albino ambayo yameliti doa utanzania wetu ukiwamo mimi na wewe ambapo watu wa nje ya Tanzania wanaona hatuna dhamira za kweli katika kupamabana na janga hili,kwani wanahakati wote mpo kimya,angalau waandishi wa habari ndo wanajitahidi kulipigia kelele,LAKINI WEWE NA WENZAKO KIMYA
2.Ukeketaji wa wanawake kwa jamii za Wakurya,nalo ni janga,LAKINI WEWE SIJAKUSIKIA KULIPIGIA KELELE
3.Ukiukwaji wa sheria kwa watu ambnao wanakataza PLOSI wasitende wajibu wao kisheria,mfano CHADEMA Arusha kutaka kuvamia kituo cha polisi Arusha,ambapo matokeo yake watu wawili walifARIKI
4.Kifo cha mwangosi Irunga kilitokea baada ya yeye(mareahemu) kutaka plosi wamwachie mwanahabari wa nipashe ambaye alikuwa amekamatwa nakuwekwa chini ya ulinzi pale Nyororo,hili lilipelekea polisi ku llose temper kwa kuwa MWANGOSI HANA NGUVU KISHERIA kukataza polisi wasitimize jukumu lao la kulinda amani
5.Mauaji ya VIKONGWE Kanda ya Ziwa
6.Wewe umejionyesha ya kuwa ni kada wa chama fulani kwa kuwa umekuwa msitari wa mbele kukitetea popote pale kinapofanya mambo bila kufuata sheria.
7.Mapigano ya Wakulima na Wafugaji mikoa ya Morogoro na Mbeya
Katika kuonyesha ya kwamba kazi zako hazina mashiko na ulimwengu unakuona hauna dhamira ya wazi katika kutetea haki za binadamu,Kiongozi mpya wa Mahakama ya The HEGUE alipokuja nchini hakutaka hata kuonana na nyinyi angalau kwa dakika chache alijua nyinyi ni wanasiasa kwa kuwa mambo yote mnayoyapigia kelele hakuna hata moja ambalo linawagusa watanzania MOJA KWA MOJA
Mwisho unaonekana ya kuwa,NENO HAKI ZA BINADAMU KWAKO NI KUPINGANA NA SEREIKALI NA HAUNA DHAMIRA ZA DHATI KUTOKA MOYONI,NA KUTETEA UMMA WA WATANZANIA WENYE MATATIZO YA KISHERIA
Mfano mzuri juzi Waziri Mkuu amesema watu wote ambao wanajiona ni wajeuri na hawataki kutii sheria bila shuruti wapigwe,mmekuja juu,MNGEONEKANA ALAU NA CHEMBE YA BUSARA KAMA MNGEWAKEMEA WALE AMBAO HAWATALKI KUTII SHERIA HALALI YA POLISI,NDO ANGALAU MNGEJADILI KAULI YA MH.PINDA