Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,901
- 20,410
Angeonekana wa maana sana endapo angepinga vitendo vya CHAMA chake cha CHADEMA kujilipua kwa mabomu, kuwavalisha watoto sare za CCM, kuwavalisha watu sare za POLISI na kusingizia serikali na CCM kuwa wao ndo wanatekeleza vitendo vya mauaji wakati ni wao.