Unafiki wa Hellen Kijo Bi Simba

Unafiki wa Hellen Kijo Bi Simba

Status
Not open for further replies.
Nikweli ccm wanamtumia sana huyu Bi Simba!

Mpaka Pinda anajiandaa kupelekwa segerea!

Ngoja nimwambie Nyapara mkuu wa Segerea ajiandae kumpoke Mw......!
 
Kiherehere cha ukubwani kinamsumbua
Huyo atakuwa Helena Bi Pusi muda si mrefu!!
 
Hakuna sheria inayotamka polisi wapige raia. Ila raia akifanya vurugu anatakiwa kukamatwa na kufikishwa mahakamani ha ndani ya saa 24......Polisi anaweza kutumia nguvu kiasi katika kukamata iwapo raia wanakuwa wakaidi......Pinda kama Wakili aliyehitimu degree ya law 1974 pale UDSM, namshangaa kwa kauli yake ya "kupiga" as if hajui principle ya presumption of Innocence"
 
Huyu kijo bisimba pamoja na chama chake cha chadema hakuna mwenye mtazamo hata mmoja na kibaya zaidi waliowengi ni wajane kwa kuanzia na kijo mwenyewe kwa hiyo mda wote anawaza umbea tu.
 
Mungu kama upo kweli na unawaona hawa jamaa wakiendelea kutuibia raslimali zetu kwa kulindwa na majeshi yetu Mtwara kwa kweli tunasikitika tunakuomba MUNGU ufanye Jambo ili kutuokoa na hali hii. Mungu uliweza kuwavusha wana wa Israeli kutoka utumwani Misri, sasa nasi hatuna cha kusema tunakuomba utuonyeshe jambo moja tu kabla mwaka haujaisha huu, Sasa tumefikishwa mahali ambapo hatuwezi vumiliatena wakati wao wakipanda ndege na kuwapokea wanyang'anyi kwa jina zuri la wawekezaji. EE MUNGU SIKIA KILIO CHETU.
 
mkuu wanapigwa tuu
wanapelekwa hospitali hakuna huduma nzuri maisha yao yanakuwa hatarini
tunataka pinda ashitakiwe tumechoka
 
Ujinga wa vijana wa Lumumba, hata masuala ya msingi kikatiba wao hutanguliza Buku 7. Natamani ningejua wapi wanaishi niwaonjeshe nusu ya mateso wanayopata watu wa Mtwara. 2010 CCM ilikomba kura nyingi sana toka kwa Wamakonde, leo hii hawataki kuwasikiliza, wametuma JW kwenda kuwapiga na kuwabaka. Nyie waji nga wa Lumumba, siku utapewa sumu kumuua ndugu yako, ukikataa ndipo thamani yako itakwisha na watakutesa sana. Lazima mjue siri ya watesaji
 
Nendeni Lumumba mkajadiliane hoja hizo na kutengeneza utetezi badala ya kutokwa mapovu hapa JF, mtakutana nae mahakamani.
 
signature ya inviceble inasema, ficha upumbavu wako usifiche hekima yako.
 
Huna tofauti na jeshi la polisi linalo mshambulia mbowe personally kwa tamko la kamati kuu alilotoa awali.

Legal and Human Right Centre ni taasisi, na Helen Kijo-Bisimba ni mtendaji ndani ya taasisi hiyo.
Sasa wewe unavyomshambulia Helen Kijo-Bisimba personally kwa kazi inayofanywa na taasisi ni upuuzi uliopitiliza.

Hivi nyie watumwa wa Mwigulu Nchemba tutawafundisha siasa mpaka lini muelewe????

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Mkuu taasisi gani itaendelea kama hakuna driving force hasa ya man power?
BI.SIMBA pale alipo ndio taasisi ya haki za ninadamu.Yeye nabeba taasisi ndio maana ikiyokea taasisi imekwenda mrama kama hivi yeye anakuwa responsible.Pia kumbuka Kijo Bi simba ni mtendaji mkuu ndani ya Taasisi hiyo.

PLZ rudi darasani kasome Organization Theory
 
Last edited by a moderator:
Taswira
Sidhani kwamba unauwezo kamili wa kutathimini, kutafakali na kuchambua mambo mbali mbali hususani siasa na haki za binadamu

Kibanda
Unaushahidi wowote kuthibitisha tuhuma zako kwa Bisimba na hicho chama cha siasa? Hapa hakuna hoja yoyote zaidi ya majungu na propaganda za kipuuzi za akina Nape, Mwigulu, Kinana na malehem mtalajiwa ccm. Kama wewe na ccm yako mnaushahidi nendeni mahakamani

Kifo Cha Ally Zona
Kama unadhani polisi na ccm hawa kuhusika wewe ni mpuuzi tu wala utanzania wako haunamaana kwa walengwa na waathirika wa vipigo na mauwaji ya utekelezaji wa mikakati ya ccm kupitia polisi na Jeshi
-Kombe aliuwawa na polisi Arusha
-Kolimba aliuwawa Dodoma-ccm
-Mwangosi kauliwa na polisi
-Ally zona kauliwa na Polisi
-Ccm imeuwa Igunga, Ndago-Singida, Usariver-Arusha, mabom ya soweto-Arusha nk

Pinda na matukio
-liwalo na Liwe, ulimboka chali
-Wapigwe, watu wanapingwa nakuuliwa

Pinda na uwongo
-chadema na mkasa wa Arusha, rejea maelezo ya G. Lema
-Jairo na rushwa-wizara ya nishati na madini nk,nk

Kwa kifupi mama Bisimba na timu yake wapo sahihi 100%. Tunahitaji viongozi wanaoheshim watanzania, maana wanatuendesha kwa kodi zetu na sisi ndio tuliowaweka madarakani. Viongozi aina ya pinda ni mizigo wamelewa madaraka na hawatufai kabisa. Ccm kupitia wajinga hawa akina Pinda, Mwigulu, Nape, kinana nk haitufai na kuipigia debe ni uupuzi kama kumuimbia maiti mziki ukitraji atainuka kucheza
 
Taswira
Sidhani kwamba unauwezo kamili wa kutathimini, kutafakali na kuchambua mambo mbali mbali hususani siasa na haki za binadamu

Kibanda
Unaushahidi wowote kuthibitisha tuhuma zako kwa Bisimba na hicho chama cha siasa? Hapa hakuna hoja yoyote zaidi ya majungu na propaganda za kipuuzi za akina Nape, Mwigulu, Kinana na malehem mtalajiwa ccm. Kama wewe na ccm yako mnaushahidi nendeni mahakamani

Kifo Cha Ally Zona
Kama unadhani polisi na ccm hawa kuhusika wewe ni mpuuzi tu wala utanzania wako haunamaana kwa walengwa na waathirika wa vipigo na mauwaji ya utekelezaji wa mikakati ya ccm kupitia polisi na Jeshi
-Kombe aliuwawa na polisi Arusha
-Kolimba aliuwawa Dodoma-ccm
-Mwangosi kauliwa na polisi
-Ally zona kauliwa na Polisi
-Ccm imeuwa Igunga, Ndago-Singida, Usariver-Arusha, mabom ya soweto-Arusha nk

Pinda na matukio
-liwalo na Liwe, ulimboka chali
-Wapigwe, watu wanapingwa nakuuliwa

Pinda na uwongo
-chadema na mkasa wa Arusha, rejea maelezo ya G. Lema
-Jairo na rushwa-wizara ya nishati na madini nk,nk

Kwa kifupi mama Bisimba na timu yake wapo sahihi 100%. Tunahitaji viongozi wanaoheshim watanzania, maana wanatuendesha kwa kodi zetu na sisi ndio tuliowaweka madarakani. Viongozi aina ya pinda ni mizigo wamelewa madaraka na hawatufai kabisa. Ccm kupitia wajinga hawa akina Pinda, Mwigulu, Nape, kinana nk haitufai na kuipigia debe ni uupuzi kama kumuimbia maiti mziki ukitraji atainuka kucheza
Yani mambulula kama wewe natamani wakunase halafu wakutengeneze ili uache ujinga huu taifa hili linaongozwa kwa adabu na utii siyo kama chadema hakuna mkubwa wala mdogo.
 
Keep it up,pitia basi buku 7 Lumumba kwa ajili ya viroba na mataputapu,mp..mba...vu kama Pnder.
 
Taswira anachowinda hapo ni bk 7 ya siku + laki 2 mwisho wa mwezi. Wachangiaji wa mada wanavyokuwa wengi ndiyo anazidi kupata uhakika wa hiyo laki 2 vinginevyo kwake haijalishi kama mnamponda kwa ----- aliopost ama la.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom