Ehud
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 2,685
- 337
Katibu mkuu wa CCM amesema kuwa katika kikao kikuu cha halmashauri kuu ya CCM iliyokaa mjini Dodoma haikumtaja mwanachama yoyote wa chama hicho kuwa ni fisadi! Pia alitolea mfano dhana ya kujivua gamba ni sawa na yai linavyoatamiwa na kisha kutoa kifaranga.Ndiyo kusema sasa hivi CCM baada ya kujivua gamba imekuwa kifaranga!
My take: Kwa mtaji huu CCM haiwezi kuaminiwa kwa jinsi inavyojigeuza geuza kama kinyonga
My take: Kwa mtaji huu CCM haiwezi kuaminiwa kwa jinsi inavyojigeuza geuza kama kinyonga