Duh, ni wazo zuri lakiniKwa hali ilivyo sasa CDM twapaswa kujadili namna ya kupata ufumbuzi na si kuwabeza watazamaji ambao wanaehangilia mpira unaochezwa na CDM Kikubwa labda ni kusitisha mechi.
Mmwagie tindikali, au mlishe sumumnafiki ni ww nape nnauye
Mkuu, kwani wewe hulioni anguko la CHADEMA? Au mpaka kwenye ballot box ndo utathibitisha kuwa hakika hiki chama kimesambaratika. Huwezi kumfukuza ZITTO bado kajifariji kuwa chama kiko imara
Hahaaa fisi anasubiri mkono udondoke mpaka anaingia ndani anauwawa. Cdm sio zitto wala mbowe ni nguvu ya umma.
Mzee aliyekaa chini ua mti anaona mbali kuliko kijana aliyejuu ya mti!
Mzee aliyekaa chini ua mti anaona mbali kuliko kijana aliyejuu ya mti!
Mzee aliyekaa chini ua mti anaona mbali kuliko kijana aliyejuu ya mti!
kwani Lowasa ni mwanachama wa chama gani? Huku ni kukata tamaa mkuu. Maana umechunguliaaaa ukagundua kuwa ndani ya chama chako hakuna mtu wa kukivusha kutwaa nchi badala yake unadandia wanasiasa wa ccm
Bwana ameshaamka, hakikisha viatu vyake vinang'aaNape wakanye Lowasa na JK wasiwaharibie chama chenu, wenzenu wamegeuza chimbo wawe unabwatabwata na chadema,
Kwataarifa yako chadema haitakufa kwa wewe kupiga kelele mitandaoni, kinyume chake nikuwa Chadema imeushinda udharimu wenu,
Haya kijana wenu Zitto tushampiga chini, mchukueni agombee uenyekiti huko ccm .
Mkuu ZZK ameshakuonyesha tayari kwa kupiga deal,huko ndo boss wako anakopata fedha za kuwalipa mishahara vikaragosi kama wewe na alivyo mjinga amekiri kuwa yeye haachi fedha yoyote ile anachukua hata kama iwe haramuNape wakanye Lowasa na JK wasiwaharibie chama chenu, wenzenu wamegeuza chimbo wawe unabwatabwata na chadema,
Kwataarifa yako chadema haitakufa kwa wewe kupiga kelele mitandaoni, kinyume chake nikuwa Chadema imeushinda udharimu wenu,
Haya kijana wenu Zitto tushampiga chini, mchukueni agombee uenyekiti huko ccm .
!
Kilichonistua ni degree ya unafiki inayojidhihirisha kila kukicha ya viongozi wengi wa CHADEMA. Kupinga ufisadi kwa mdomo mpana halafu unaendesha Chama kwa pesa hizohizo huu ni unafiki wa ajabu! Tunajifunza nini kwa kiongozi wa Chama anayesema pesa ni pesa tu inategemea unaitumiaje!!? Ha! Kwahiyo unaweza kuuza nchi ilimradi unapewa pesa!!?
Mkuu, kwani wewe hulioni anguko la CHADEMA? Au mpaka kwenye ballot box ndo utathibitisha kuwa hakika hiki chama kimesambaratika. Huwezi kumfukuza ZITTO bado kajifariji kuwa chama kiko imara